CAF yaipiga Simba SC faini ya Tsh. Milioni 23 kwa kufanya ‘tambiko hatarishi’ wakati wa mchezo wao dhidi ya Orlando Pirates

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeipiga faini ya USD 10,000– (Takriban Tsh. Milioni 23) Klabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kufanya ‘tambiko hatarishi’ katika mchezo dhidi ya Orlando Pirates

Kabla ya mchezo huo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho, Wachezaji wa Simba walionekana kukusanyika katikati ya uwanja na baadaye moshi kutokea katikati ya kundi hilo.

Taarifa kutoka CAF imesema Maafisa wa mchezo walionesha katika ripoti zao kwamba “Wachezaji wa Simba waliwasha moto katikati ya uwanja wakati wakijifanya kuomba kabla ya mechi. Ilitubidi kumwaga maji ili kuuzima moto”

29AF30E6-FF0B-4330-96A5-6B42F0684A6E.jpeg
51B1955F-161B-43CC-A39B-C5017CE1C6D0.jpeg

=====
Tanzania heavyweights Simba SC have been fined by Caf after being found guilty of performing a ritual in the second leg of the Confederation Cup quarter-final against Orlando Pirates at Orlando Stadium on April 24.

Wekundu wa Msimbazi had won the first leg at the Benjamin Mkapa Stadium by a solitary goal and Bucs needed a positive outcome in the second leg to advance.

Prior to the game, the East Africans were seen forming a huddle at the centre of the pitch before smoke appeared from the middle of the group.

However, the Soweto giants won the match by a solitary goal to make it 1-1 on aggregate before winning the shootout to advance. They then wrote to Caf complaining about the act by Simba.

"The officials of the [Orlando Pirates-Simba SC] match indicated in their reports that: Simba SC players lit the fire in the center circle exactly at the starting point as they pretended to pray before the match started," read a statement from Caf obtained by GOAL.

"We had to pour water on the fire to put it out before we could start the game. Furthermore, Orlando Pirates club sent a complaint about the incident and the damage which occurred to the pitch.

"Photos and footage of the incident were also shared by Caf officials."

Wekundu wa Msimbazi were asked to explain the incident but it seems they did not convince the Caf Disciplinary Board beyond reasonable doubt that they are not guilty and action against them has now been taken.

"After having heard the arguments of the parties concerned, analysed the videos and images in its possession, Caf Disciplinary Board has decided to impose the following sanctions for failure to comply and implement existing safety rules: $10,000 for the performance of hazardous rituals by your players before the start of the match," the Board decided.

Pirates have since made it to the final of the Caf Confederation Cup where they will play RS Berkane

Sources: Goal.com
 
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeipiga faini ya USD 10,000– (Takriban Tsh. Milioni 23) Klabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kufanya ‘tambiko hatarishi’ katika mchezo dhidi ya Orlando Pirates

Kabla ya mchezo huo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho, Wachezaji wa Simba walionekana kukusanyika katikati ya uwanja na baadaye moshi kutokea katikati ya kundi hilo.

Taarifa kutoka CAF imesema Maafisa wa mchezo walionesha katika ripoti zao kwamba “Wachezaji wa Simba waliwasha moto katikati ya uwanja wakati wakijifanya kuomba kabla ya mechi. Ilitubidi kumwaga maji ili kuuzima moto”

View attachment 2227273View attachment 2227275
=====
Tanzania heavyweights Simba SC have been fined by Caf after being found guilty of performing a ritual in the second leg of the Confederation Cup quarter-final against Orlando Pirates at Orlando Stadium on April 24.

Wekundu wa Msimbazi had won the first leg at the Benjamin Mkapa Stadium by a solitary goal and Bucs needed a positive outcome in the second leg to advance.

Prior to the game, the East Africans were seen forming a huddle at the centre of the pitch before smoke appeared from the middle of the group.

However, the Soweto giants won the match by a solitary goal to make it 1-1 on aggregate before winning the shootout to advance. They then wrote to Caf complaining about the act by Simba.

"The officials of the [Orlando Pirates-Simba SC] match indicated in their reports that: Simba SC players lit the fire in the center circle exactly at the starting point as they pretended to pray before the match started," read a statement from Caf obtained by GOAL.

"We had to pour water on the fire to put it out before we could start the game. Furthermore, Orlando Pirates club sent a complaint about the incident and the damage which occurred to the pitch.

"Photos and footage of the incident were also shared by Caf officials."

Wekundu wa Msimbazi were asked to explain the incident but it seems they did not convince the Caf Disciplinary Board beyond reasonable doubt that they are not guilty and action against them has now been taken.

"After having heard the arguments of the parties concerned, analysed the videos and images in its possession, Caf Disciplinary Board has decided to impose the following sanctions for failure to comply and implement existing safety rules: $10,000 for the performance of hazardous rituals by your players before the start of the match," the Board decided.

Pirates have since made it to the final of the Caf Confederation Cup where they will play RS Berkane

Sources: Goal.com
Hallelujah!
 
Simba wamefanikiwa kuwa vinara wa JUJU katika Mashindano ya CAF.

Kwa Sasa Simba imetambuliwa rasmi kwenye Dunia ya soka Kwa Umahiri wao katika JUJU bila kujari wako ugenini au nyumbani.

Hongereni wa wakilishi wa Tanzania katika soka tunawaomba CAf watukabidhi kombe letu la Juju.
 
Alifukia au alifukua? Djuma Shaban alifukua kitu kilichowekwa na mchezaji wa Prisons
Acha uongo mkuu. Djuma alikuwa anafukia mzoga wa mjusi.. Msiwapakazie Tz prison kwa jambo mlilolifanya wenyewe. Na kama alifukua , hatima ya hiyo mechi ilikuwaje?
 
Alifukia au alifukua? Djuma Shaban alifukua kitu kilichowekwa na mchezaji wa Prisons
Alifukia na camera zote zilimuonesha akifukua fukua afu akatumbukiza kitu kwenye shimo kisha akafukia

si ndivyo alivyo agizwa na mganga wenu
 
Back
Top Bottom