Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara NBC Premier League imeendelea tena leo Mei 17, 2020 ambapo Mbeya kwanza FC walikuwa wakiwakaribisha Geita Gold FC kwenye Dimba la Maji Maji mkoani Songea.
Mchezo ulikuwa wa mkali na wa kusisimua ambapo hadi dakika 90 zinakamilika, Mbeya kwanza FC wamekubali kipigo cha bao moja kwa bila dhidi ya Wageni Geita Gold FC.
Bao la George Mpole kunako dakika ya 12' | Gooal linamfanya mpaka sasa kufikisha mabao 13 na Assist 3 akimzidi Fiston Mayele mwenye mabao 12, hivyo kuwa kwenye Kilele cha ufungaji wa Ligi Kuu hivyo kuwa kwenye nafasi nzuri ya mbio za kuwania kiatu cha ufungaji bora msimu huu wa 2021/22.
Mchezo ulikuwa wa mkali na wa kusisimua ambapo hadi dakika 90 zinakamilika, Mbeya kwanza FC wamekubali kipigo cha bao moja kwa bila dhidi ya Wageni Geita Gold FC.
Bao la George Mpole kunako dakika ya 12' | Gooal linamfanya mpaka sasa kufikisha mabao 13 na Assist 3 akimzidi Fiston Mayele mwenye mabao 12, hivyo kuwa kwenye Kilele cha ufungaji wa Ligi Kuu hivyo kuwa kwenye nafasi nzuri ya mbio za kuwania kiatu cha ufungaji bora msimu huu wa 2021/22.