Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Hii hapa mechi ya kukamilisha ratiba kwa Simba SC dhidi ya Stade Malien kutoka Mali, ambao tayari wameshafuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAFCL) katika...
3 Reactions
58 Replies
1K Views
Kwa heshima na taadhwima wakubwa kwa wadogo napenda kuwaarifu kua endapo mtu au watu watataka nyumba za faraghq na sio hoteli kwa kipindi hiki cha CHAN kwa Zanzibar anitafute utakodishwa kwa bei...
5 Reactions
25 Replies
885 Views
  • Redirect
Yanga inakutana na JS Kabylie kwenye mechi ya CAF Champions League, Group Stage, itakayofanyika kwenye uwanja wa New Amani, Zanzibar, leo Februari 15, 2026 kuanzia 1:00 usiku.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari za asubuhi Gamblers. Nimeshitushwa na ukubwa wa Odd aliyowekewa Yanga kushinda leo na Js Kabylie..... Wakati bookmarkers wengine wameteremsha odd ya Yanga kushinda leo kutoka 1.35 hadi 1.38...
2 Reactions
Replies
Views
HAKIKA WEMA NA FADHILI ZITANIFWATA....AMEN SHIKAMOO MHINDI
2 Reactions
37 Replies
632 Views
Wakuu Mimi ni mkali wa correct scores kwenye mikeka hata ofsini kwangu wananiita Messi wa mikeka Toka huu mwezi uanze Kuna intuition imekaa ndani yangu ikiniambia kuwa Arsenal atabeba ubingwa...
4 Reactions
11 Replies
431 Views
Aziz K Atajwa Kurejea Yanga Baada ya Haya Kutokea Kwa Waarabu. Makala hii inachambua hali ya wachezaji wa Yanga SC wanapojaribu kutafuta mafanikio katika ligi za Kiarabu, kwa kuangazia mfano wa...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Tanzania Benjamin Mkapa Stadium (Dar es Salaam) Ujazo: 60,000 Gharama: $90M (Initial Construction), $12M (Renovations) Maendeleo: Renovations finalizing Vyanzo: IPP Media...
4 Reactions
9 Replies
761 Views
Wasalam. Huyu jamaa Kila nikigusa naambulia kichapo Ushindi wangu sare. Kuna yeyote mwenye ujuzi atupe mbinu
3 Reactions
14 Replies
555 Views
Mjadala wa uwanja wa Dodoma ulianza rasmi mwaka 2016 kufuatia ziara ya Mfalme wa Morocco Mohamed VI nchini, ambapo Hayati Rais John Magufuli alitangaza kuwa Morocco imeahidi kusaidia ujenzi wa...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu, Akizungumza na The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema kwamba taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai...
1 Reactions
4 Replies
294 Views
Ni zaidi ya miaka minne sasa, mambo ndani ya klabu ya Simba yanaonekana kuwaendea kombo. Timu ambayo ilijenga heshima Afrika Mashariki na kutisha kwenye mashindano ya CAF, kila siku inaonekana...
3 Reactions
25 Replies
891 Views
Kenya wamejenga viwanja vya Kisasa hasa ule wa Raila Odinga Stadium Uganda wamejenga uwanja vikubwa na vya kisasa kabisa Sisi Tanganyika viwanja vizuri vinajengea Zanzibar Kwa fedha za...
9 Reactions
21 Replies
650 Views
Hongereni sana majemadari wetu na makomandoo wetu wachezaji wa taifa stars kwa kuionesha Dunia jinsi Gani morocco ni timu MBOVU kupita maelezo. Nina hakika asilimia mia refa kiazi mbatata wa...
6 Reactions
26 Replies
877 Views
  • Redirect
Timu ya ukaguzi kutoka Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) iko nchini Tanzania na inatarajiwa kufanya mkutano muhimu leo Ijumaa ya Februari 13, 2026 kujadili hatua zilizopigwa na changamoto...
0 Reactions
Replies
Views
Tazameni uhalisia wa mambo unavyoenda. Nchi zinazokaribiana na nchi ya Kusadikika ukiangalia project zao wako very serious na hawana porojo. Ukiangalia nchi ya Kusadikika ni kama vile tuko tu...
6 Reactions
28 Replies
592 Views
Hadi leo hakuna michezo/mashindano hayo huku dunia ikiyajadili kila saa ,hapa ndio unaona tofauti ya azam media na makampuni mengine Startimes ,dstv, kanal na wengine wanaonesha ila hawa jamaa wa...
3 Reactions
6 Replies
202 Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora kutumika kwenye michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. TFF...
1 Reactions
4 Replies
258 Views
Juzi hapo Coastal Union kamnyanyasa Prisons na kumfunga magoli manne hakukuwa na kelele kwasababu Prisons wapo katika hali mbaya. Simba kaifunga KMC yenye hali mbaya zaidi goli 2 nimeshangaa sana...
2 Reactions
0 Replies
268 Views
Manchester City did their part last night, beating Fulham and keeping the pressure firmly on the title race. When City win, the message is clear for Arsenal: no room for mistakes. Now it’s...
1 Reactions
0 Replies
134 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…