Wakuu,
Akizungumza na The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema kwamba taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai...
Ni zaidi ya miaka minne sasa, mambo ndani ya klabu ya Simba yanaonekana kuwaendea kombo. Timu ambayo ilijenga heshima Afrika Mashariki na kutisha kwenye mashindano ya CAF, kila siku inaonekana...
Kenya wamejenga viwanja vya Kisasa hasa ule wa Raila Odinga Stadium
Uganda wamejenga uwanja vikubwa na vya kisasa kabisa
Sisi Tanganyika viwanja vizuri vinajengea Zanzibar Kwa fedha za...
Hongereni sana majemadari wetu na makomandoo wetu wachezaji wa taifa stars kwa kuionesha Dunia jinsi Gani morocco ni timu MBOVU kupita maelezo.
Nina hakika asilimia mia refa kiazi mbatata wa...
Timu ya ukaguzi kutoka Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) iko nchini Tanzania na inatarajiwa kufanya mkutano muhimu leo Ijumaa ya Februari 13, 2026 kujadili hatua zilizopigwa na changamoto...
Tazameni uhalisia wa mambo unavyoenda.
Nchi zinazokaribiana na nchi ya Kusadikika ukiangalia project zao wako very serious na hawana porojo. Ukiangalia nchi ya Kusadikika ni kama vile tuko tu...
Hadi leo hakuna michezo/mashindano hayo huku dunia ikiyajadili kila saa ,hapa ndio unaona tofauti ya azam media na makampuni mengine
Startimes ,dstv, kanal na wengine wanaonesha ila hawa jamaa wa...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora kutumika kwenye michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.
TFF...
Juzi hapo Coastal Union kamnyanyasa Prisons na kumfunga magoli manne hakukuwa na kelele kwasababu Prisons wapo katika hali mbaya.
Simba kaifunga KMC yenye hali mbaya zaidi goli 2 nimeshangaa sana...
Manchester City did their part last night, beating Fulham and keeping the pressure firmly on the title race. When City win, the message is clear for Arsenal: no room for mistakes.
Now it’s...
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya...
Baada ya kuaga rasmi mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Simba SC sasa wanarejea kwenye majukumu ya Ligi Kuu ya NBC, wakitarajiwa kukipiga dhidi ya KMC, maarufu kama Watoza Ushuru wa...
Klabu ya Yanga inashuka Dimbani katika mchezo wake wa tano wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Far Rabat ya Morocco majira ya saa 4:00 Usiku kwenye uwanja wa Stade Olympique...
Hapo vip!
Kwa kawaida hata katika maisha ya kawaida hauwezi kunyooshewa kidole wewe kila siku eti usiwe na kosa.
Mangungu kwa taarifa za ndani ndio chanzo cha Club ya Simba kufanya vibaya.
1...
Tatizo la Simba linaanzia kwenye familia ya Dewj; ni kama timu yao.
Mangungu anachezewa mchezo mchafu na familia ya Dewj ili kulinda brand ya mo enterprises. Yaani kama timu inafanya vibaya...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla Jumanne Februari 04, 2026 ametangazwa kuundwa kwa Kamati Saba Maalumu kwaajili ya maandalizi ya Michuano ya Mpira wa Miguu kwa Mataifa ya Afrika...
...
Manchester United missed the chance to make it five Premier League wins in a row, settling for a 1–1 draw with West Ham after conceding late before rescuing a point in stoppage time. The...
Timu yako inahitaji ushindi, na dakika za lala salama imepata freekick karibu na goli la mpinzani. Unamchagua nani kati ya hawa kupiga mpira huo wa adhabu ndogo ili kuhakikisha ushindi?
UEFA, EPL, KOMBE LA DUNIA, CAF, N.K. Ni mpira huu unaotuunganisha watu wengi sana
kipindi cha mapumziko, kinaweza kugeuzwa jukwaa la burudani na wasanii kwa kutumia umaarufu wao kutoa ujumbe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.