Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Hao waliosimama ni lothar mathaus na dunga Mimi: Mathaus Keane Makelele
7 Reactions
51 Replies
955 Views
Mchezaji gani hapa Tanzania anapewa Heshima kubwa ila uwezo wake ni wa kawaida sana !
4 Reactions
38 Replies
1K Views
🟩🟨[emoji834]Wanatumia hela zao kwenda kucheza michuano ambayo hawamo. Hakika kuna watu wanatumia hela vibaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Bora makolo wangekacha...
3 Reactions
13 Replies
414 Views
LEO NILIKUWA NA WANA SIMBA SEHEMU NA HAYA NDIO MANENO YAOOO KAKA DIDY NIKWAMBIE TU SHABALALA ALIKUWA CAPTAIN YULE JAMAA ALIKUWA CLOSE NA VIONGOZI NA KABLA YA KUONDOKA ALITOA BAADHI YA USHAURI...
2 Reactions
5 Replies
412 Views
Nakiuza kwa bei ya kutupa ukiwa na elf50 nakupatia napatikana tabata ya kinyerezi mawasiliano ni 0672266912
1 Reactions
5 Replies
193 Views
...Six years after Bruno Fernandes arrived at Manchester United, his impact deserves an assessment that goes beyond praise or Criticism. Statistically, Bruno has been one of United’s most...
1 Reactions
11 Replies
434 Views
Next match;Simba SC vs Esperance hii ni machinjioni kwa mkapa hatoki mtu All the best Mnyama 🦁 #nguvu Moja💪
7 Reactions
241 Replies
6K Views
Kipa Robert Sanchez alifanya makosa yaliyosababisha mabao mawili kati ya matatu ya Arsenal katika mechi ya kusisimua ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Carabao lakini Alejandro...
4 Reactions
25 Replies
852 Views
Muda huu Manchester United wapo uwanjani Old Trafford na wanaongoza kwa magoli 3-2 dhidi ya Fulham. Ushindi huu unawafanya kufikisha alama 41 kwenye msimamo wa ligi, huku wakiendeleza rekodi ya...
0 Reactions
4 Replies
386 Views
Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon (FECAFOOT), Samuel Eto’o, amefungiwa kuhudhuria uwanjani kwa mechi nne na kutozwa faini ya dola 20,000 za Marekani (Sh49.6 milioni), akidaiwa kufanya utovu...
5 Reactions
24 Replies
968 Views
Full name: Brighton & Hove Albion F.C. Nickname(s): The Seagulls Short name: Brighton Founded: 1901 as Brighton & Hove United | 1901 as Brighton & Hove Albion F.C. Ground: Falmer Stadium...
11 Reactions
249 Replies
14K Views
All d best Mpira ukichezwa kwa haki Hizi ndizo timu za final Hope tumeyao itakuwa uwanjan kushuhudia maana fujo zitakuwepo za kutosheleza
2 Reactions
23 Replies
631 Views
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limewasimamisha wachezaji wawili wa timu ya Taifa ya Morocco, Achraf Hakimi (mechi mbili) na Ismaël Saibari (mechi tatu) baada ya...
3 Reactions
4 Replies
428 Views
Sina interest sana ya kukaa kuzungumzia mipira hasa ya Simba na Yanga, matimu ambayo bila aibu yamewasaliti wananchi wa Tanzania ambao ndiyo supporters wao wakubwa. Ila kuna jambo moja nimeliona...
2 Reactions
7 Replies
494 Views
Si mlinipuuza na hadi kunitukana hapa JamiiForums pale niliposema Kisayansi huku nikijiamini kuwa Safari ya Simba SC katika CAFCL imefika tamati baada ya kuharibu katika Mechi zake Tatu za awali...
3 Reactions
13 Replies
502 Views
Marefa wanabet, Wachezaji wanabet, Viongozi wa timu wanabet, mashabiki wanabet. Ligi inaelekea kukosa mvuto. Magoli yanafungwa marahisi, waamuzi wana makosa ya wazi, mabeki na makipa ni kama...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Haya wale Washamba (Lumpens ) na Majuha (Nincompoops) mliokuwa mnawapongeza Senegal kwa kufanya ule 'Usela Mavi' wao tafadhalini andaeni michango yenu ili muitume huko Senegal kwani hizi Fedha za...
3 Reactions
28 Replies
732 Views
Klabu ya Simba itacheza leo mchezo wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Esperance ya Tunisia, ikiwa ni mechi yake ya tatu katika kundi hilo. Simba iko mkiani mwa msimamo wa kundi...
8 Reactions
299 Replies
5K Views
Mlioenda uwanjan tuambien kiomgozi gani alienda kucheka chooni mzigo wa.pili wa tunisia ulivyoingia 2. Naona ahmed ameshakata tamaa. jaman kasema tujipange tena.mwakan hata wao. wakiingia robo...
3 Reactions
4 Replies
353 Views
Nimepita sehemu mbali mbali vijiwen inaonekana watan wagumu.Sana kukubali matokeo na hawana uvumilivu Kila uliekutana nae anakwambia matokeo ya leo ya.Memuumiza sana moyo Nikawaonea huruma sana...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Back
Top Bottom