🟩🟨[emoji834]Wanatumia hela zao kwenda kucheza michuano ambayo hawamo. Hakika kuna watu wanatumia hela vibaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bora makolo wangekacha...
LEO NILIKUWA NA WANA SIMBA SEHEMU NA HAYA NDIO MANENO YAOOO
KAKA DIDY
NIKWAMBIE TU SHABALALA ALIKUWA CAPTAIN
YULE JAMAA ALIKUWA CLOSE NA VIONGOZI NA KABLA YA KUONDOKA ALITOA BAADHI YA USHAURI...
...Six years after Bruno Fernandes arrived at Manchester United, his impact deserves an assessment that goes beyond praise or Criticism.
Statistically, Bruno has been one of United’s most...
Kipa Robert Sanchez alifanya makosa yaliyosababisha mabao mawili kati ya matatu ya Arsenal katika mechi ya kusisimua ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Carabao lakini Alejandro...
Muda huu Manchester United wapo uwanjani Old Trafford na wanaongoza kwa magoli 3-2 dhidi ya Fulham. Ushindi huu unawafanya kufikisha alama 41 kwenye msimamo wa ligi, huku wakiendeleza rekodi ya...
Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon (FECAFOOT), Samuel Eto’o, amefungiwa kuhudhuria uwanjani kwa mechi nne na kutozwa faini ya dola 20,000 za Marekani (Sh49.6 milioni), akidaiwa kufanya utovu...
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limewasimamisha wachezaji wawili wa timu ya Taifa ya Morocco, Achraf Hakimi (mechi mbili) na Ismaël Saibari (mechi tatu) baada ya...
Sina interest sana ya kukaa kuzungumzia mipira hasa ya Simba na Yanga, matimu ambayo bila aibu yamewasaliti wananchi wa Tanzania ambao ndiyo supporters wao wakubwa. Ila kuna jambo moja nimeliona...
Si mlinipuuza na hadi kunitukana hapa JamiiForums pale niliposema Kisayansi huku nikijiamini kuwa Safari ya Simba SC katika CAFCL imefika tamati baada ya kuharibu katika Mechi zake Tatu za awali...
Marefa wanabet, Wachezaji wanabet, Viongozi wa timu wanabet, mashabiki wanabet.
Ligi inaelekea kukosa mvuto. Magoli yanafungwa marahisi, waamuzi wana makosa ya wazi, mabeki na makipa ni kama...
Haya wale Washamba (Lumpens ) na Majuha (Nincompoops) mliokuwa mnawapongeza Senegal kwa kufanya ule 'Usela Mavi' wao tafadhalini andaeni michango yenu ili muitume huko Senegal kwani hizi Fedha za...
Klabu ya Simba itacheza leo mchezo wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Esperance ya Tunisia, ikiwa ni mechi yake ya tatu katika kundi hilo. Simba iko mkiani mwa msimamo wa kundi...
Nimepita sehemu mbali mbali vijiwen inaonekana watan wagumu.Sana kukubali matokeo na hawana uvumilivu
Kila uliekutana nae anakwambia matokeo ya leo ya.Memuumiza sana moyo
Nikawaonea huruma sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.