Hii ni kwa sababu nina chuki na serikali ya Tanzania iliyoingia madarakani kwa mauaji
Timu zetu zikishinda sifa wanapewa wauaji walioingia madarakani kwa damu za maelfu ya Wananchi.
Usijaribu...
Hizi ni fikra zangu tu binafsi, kuwashangilia na kuwatambua kwa ghafla, kuwazawadia, kuwatumia ndege, kuwajazia waheshimiwa tele, huenda vijana wetu wakaingia ubaridi hofu na woga, maana...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya...
HERE WE GO!
Kwa mujibu wa Fabrizio Romano na Sky Sport Manchester United imefikia makubaliano ya Kumunua kiungo wa mpira kutoka Atalanta ya Italy kwa kiasi cha €45 sawa na £39 na nyongeza...
Mashindano ya Africa Cup of Nations (AFCON) kwa vijana wa umri chindi ya miaka 17, mwaka 2026 yameanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia tarehe 13 May, 2026.
Sisi Tanzania, vijana wetu wa...
Endapo Arsenal itatwwa ubingwa wa EPL mambo mengi yanaweza kutokea/kubadilika. Haya 👇ni baadhi tu.
1. Paul kagame atakuwa kibonge maana Arsenal ndo club aioendayo duniani.
3. Mashabiki wa...
Kwa wenzangu mnaofuatilia soka la kina mama hapa Tanzania na huko duniani je hao wachezaji wa kike nao wana watoto na huku bado wachezaji?
Nafikilia ajira ya mpira wa miguu kwa wanawake na jinsi...
Soka la sasa limetawaliwa na peni zaidi kuliko vipaji kwaiyo msimu huu tusitegemee namba 9 asili,tusitemegee kuona wapiga vichwa hodari,tusitegemee wawinga wengi wanaokimbia kushoto na kulia...
Wakuu
Bila shaka unakumbuka vizuri kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu jijini Dodoma, ambao ulitangazwa kuwa ni miongoni mwa miradi ya kimkakati kwa ajili ya...
Ni siku nyingine kubwa na ya kihistoria kwa soka la Afrika ambapo miamba miwili inakutana uwanjani. Serengeti Boys ya Tanzania inashuka dimbani kumenyana na mmoja wa majitu ya soka barani Afrika...
Watu wengi kwenye betting wanaogopa odds kubwa lakini ukweli ni kwamba kuna baadhi ya special options zina odds ndogo kabisa kama 1.2–1.4 ila ndio zina mitego ya ajabu sana
Zinaonekana rahisi...
Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand ameweka wazi kuwa kwa sasa kazi zake zinamfanya alipwe kiwango kikubwa mara mbili ya kili alichokuwa akikipata alipokuwa...
Mfalme wa safu ya kiungo ya PSG. Ndiye pekee kati ya viungo watatu wa kwanza wa PSG aliyedumu dakika zote 120.
Na katika muda wa nyongeza, alikuwa tishio kubwa zaidi la PSG katika mashambulizi...
Pia soma...
~ Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati
~ Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu...
Mjadala huu umekuwa mkubwa hasa kutokana na viwango walivyoonesha makipa wote.
Je, kocha wa Uhispania aendelee kumuamini Unai Simón ambaye amekuwa chaguo la kwanza kwenye mechi zote za kufuzu...
Hata wenyewe mmeona, wanatumiwa nauli na kupewa posho nzito akina Drogba, lakini nyinyi mliotoa Jasho na damu kwa ajili ya Nchi yenu mnaendelea kupigwa vumbi
Pole Lunyamila na wenzako, Tenda Wema...