Kuelekea Mechi: Ghana vs Panama
Ghana na Panama wataanza kampeni zao za Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwenye Uwanja wa BMO Field kule Toronto, Canada. Mataifa yote mawili yanajua wazi kuwa matokeo...
Kumekuwa na malalamiko kuwa muda wa mechi kuna vipindi vinaendelea. Jambo la msingi ni kujua kuwa ni baadhi tu ya mechi za bure hupewa televisheni za taifa waonyeshe lakini mechi nyingi hupewa...
Messi alimkanyaga mchezaji wa Algeria kutokea nyuma.
Wachambuzi wengi wa soka wanadai Messi alitakiwa apewe kadi nyekundu kwa tukio hilo.
Chakushangaza hata kadi ya njano haikuwepo.
Weka maoni...
Leo Mabingwa watetezi wa Kombe la dunia Argentina Wapo uwanjani kutupa karata yao ya kwanza na vijana kutoka Kaskazini MwaAfrika Algeria.
Bingwa mtetezi kukabwa koo au atampasua vibaya sana...
Zile drama za kitoto tumezoea michezoni hazipo tena. Watu kujitia kuumia, kipa kuleta mbwembwe na mambo ya kuchelewa kurusha mipira hatujayaona WC hii. Sema wameokoa muda kisha wakaongeza...
Katika kipindi chote cha Kombe la Dunia la 2026, viwanja kadhaa vimebadilishwa majina yao kwa muda. Hili si kosa la kiutendaji, bali ni sera kali ya kibiashara ya FIFA iliyowekwa mahususi...
Lionel andres Messi, is an Argentinian professional footballer who plays as a forward for League One club Paris Saint-Germain and the captain the Argentine national team.
Widely regarded as one...
Aiseeee .... Kunatisha watu wamejaa sana viwanjani. Kombe limevutia sana. Tulisema halitakuwa na watu lakini tumeona hali ilivyo huko USA, Canada na Mexico.
Hongera zao kwa kweli.
Kama USA imemrudisha refa wa Somalia, basi ile ni isue ndogo sana kwa Marekani, hili la Urusi Gen Z na millenia hamjui.
Urusi haishiriki Kombe la Dunia la 2026 kwa sababu FIFA iliweka kizuizi...
Uzi maalumu wa kulinganisha mafanikio
Ya wakongwe hawa
1.Pele
2.Maradona
3.Ronaldinho
4. Messi
Wingi wa makombe
Pele 36
Messi 25
Gaucho 18
Màradona 12
Kwa upande wa makombe makubwa yenye hadhi...
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA...
Weka hapa ratiba matokeo kombe la dunia mana unaweza kuta mechi imewekwa saa saba sasa unakuta huelewi mchana au usiku weka kama ni PM au AM
NAWASILISHA
Klabu ya Real Madrid imethibitisha rasmi kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Santiago Bernabéu hadi Juni 30, 2028 akitokea Manchester...
Hewe we go afrika mashariki mwakilishi pekee katika ukanda huu akimkabiri mreno pale houston stadium pale texas marekani.
Game itakua saa mbili usiku kwa saa za afrika mashariki .
Mchezo huu...
Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea.
Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya.
Tanzania ilicheza...
Kama unajijua una zamu za Kutangaza na Kuchambua Mechi za Usiku mwingi tafadhali pumzika mapema Kwako na hakikisha kabla hujaenda Studio basi unywe hata Kahawa ili ikusaidie kutokusinzia wakati...