Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kama Ureno haijacheza hakuna kombe la dunia , nawaonya wa Tanzania wanaopoteza usingizi wao bure mpaka sasa
16 Reactions
74 Replies
757 Views
Kuelekea Mechi: Ghana vs Panama Ghana na Panama wataanza kampeni zao za Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwenye Uwanja wa BMO Field kule Toronto, Canada. Mataifa yote mawili yanajua wazi kuwa matokeo...
3 Reactions
2 Replies
219 Views
Kumekuwa na malalamiko kuwa muda wa mechi kuna vipindi vinaendelea. Jambo la msingi ni kujua kuwa ni baadhi tu ya mechi za bure hupewa televisheni za taifa waonyeshe lakini mechi nyingi hupewa...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Messi alimkanyaga mchezaji wa Algeria kutokea nyuma. Wachambuzi wengi wa soka wanadai Messi alitakiwa apewe kadi nyekundu kwa tukio hilo. Chakushangaza hata kadi ya njano haikuwepo. Weka maoni...
2 Reactions
10 Replies
180 Views
Leo Mabingwa watetezi wa Kombe la dunia Argentina Wapo uwanjani kutupa karata yao ya kwanza na vijana kutoka Kaskazini MwaAfrika Algeria. Bingwa mtetezi kukabwa koo au atampasua vibaya sana...
2 Reactions
33 Replies
537 Views
Zile drama za kitoto tumezoea michezoni hazipo tena. Watu kujitia kuumia, kipa kuleta mbwembwe na mambo ya kuchelewa kurusha mipira hatujayaona WC hii. Sema wameokoa muda kisha wakaongeza...
3 Reactions
8 Replies
316 Views
  • Featured
Katika kipindi chote cha Kombe la Dunia la 2026, viwanja kadhaa vimebadilishwa majina yao kwa muda. Hili si kosa la kiutendaji, bali ni sera kali ya kibiashara ya FIFA iliyowekwa mahususi...
6 Reactions
13 Replies
915 Views
Lionel andres Messi, is an Argentinian professional footballer who plays as a forward for League One club Paris Saint-Germain and the captain the Argentine national team. Widely regarded as one...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Aiseeee .... Kunatisha watu wamejaa sana viwanjani. Kombe limevutia sana. Tulisema halitakuwa na watu lakini tumeona hali ilivyo huko USA, Canada na Mexico. Hongera zao kwa kweli.
8 Reactions
5 Replies
363 Views
Kama USA imemrudisha refa wa Somalia, basi ile ni isue ndogo sana kwa Marekani, hili la Urusi Gen Z na millenia hamjui. Urusi haishiriki Kombe la Dunia la 2026 kwa sababu FIFA iliweka kizuizi...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Uzi maalumu wa kulinganisha mafanikio Ya wakongwe hawa 1.Pele 2.Maradona 3.Ronaldinho 4. Messi Wingi wa makombe Pele 36 Messi 25 Gaucho 18 Màradona 12 Kwa upande wa makombe makubwa yenye hadhi...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA...
40 Reactions
290 Replies
34K Views
  • Redirect
Weka hapa ratiba matokeo kombe la dunia mana unaweza kuta mechi imewekwa saa saba sasa unakuta huelewi mchana au usiku weka kama ni PM au AM NAWASILISHA
0 Reactions
Replies
Views
Rashford ni mchezaji wa kiwango cha juu sana. Mchambuzi huyu wa clouds tafadhali hii irudie watu waisikie kuhusu Rashid wa man united
1 Reactions
3 Replies
171 Views
Klabu ya Real Madrid imethibitisha rasmi kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Santiago Bernabéu hadi Juni 30, 2028 akitokea Manchester...
1 Reactions
0 Replies
102 Views
  • Redirect
Hewe we go afrika mashariki mwakilishi pekee katika ukanda huu akimkabiri mreno pale houston stadium pale texas marekani. Game itakua saa mbili usiku kwa saa za afrika mashariki . Mchezo huu...
2 Reactions
Replies
Views
Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea. Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya. Tanzania ilicheza...
1 Reactions
0 Replies
59 Views
Kama unajijua una zamu za Kutangaza na Kuchambua Mechi za Usiku mwingi tafadhali pumzika mapema Kwako na hakikisha kabla hujaenda Studio basi unywe hata Kahawa ili ikusaidie kutokusinzia wakati...
2 Reactions
0 Replies
71 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…