Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Muda utafika tutagundua udhamini wa GSM kwa timu zingine wala sio tatizo, muda utafika tutagundua Marefa wanaweza kutoka hata Ulaya ila kama huna uwezo utafungwa tu, muda utafika utagundua hao...
15 Reactions
55 Replies
2K Views
Camara, Mukwala na Mpanzu kwa Wageni wabaki na kwa Wenyeji abakie tu Kagoma, Tshabalala ila wengine Watemwe.
8 Reactions
21 Replies
1K Views
Ni ngumu sana kutegemea propaganda kukuvusha badala ya kufanya usajili Bora na makini, Ni ngumu sana kutegemea waandishi machawa kukufanyia promo kwamba timu yako ni Bora wakati wanakupoteza! Na...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
Na kilichoniuma zaidi ni kwamba 95% ya waliokuwa 'wakimbeza' Mitandaoni hata Mpira wa Chandimu tu hawajacheza!!!
2 Reactions
13 Replies
840 Views
Wanasimbaaa, Kwa ufupi Yanga tumewashindwa! Hata hizi danki danki za majuzi ni uoga wetu tu. Fact ni tuache janja janja GSM atatufanya anachotaka hadi tupate uwekezaji serious ili tujenge timu...
14 Reactions
39 Replies
2K Views
CV ya Fadlu inaonyesha huwa anazifunga timu zinazo park bus na sio timu zinazo shambulia.. Fadlu ukitaka aonekane kocha wa maana wewe park bus. Ila ukimshambulia hanaga ujanja wowote. Timu...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
🔥 27 wins out of 30 games! 🤩 Unreal numbers in a competitive league like the NBC Premier League. 👏 You have to give credit where it’s due — Yanga SC delivered an incredible season. From the...
1 Reactions
1 Replies
573 Views
Nashindwa kuelewa huzuni na malalamiko ya Mashabiki wa Simba yanapotoka. Yanga imekuwa ikijipanga kwa ajili ya ubingwa huku Simba imekuwa ikifurahia ranks za CAF. Msimu huu Yanga imeishia...
2 Reactions
6 Replies
466 Views
Rais wa Yanga SC Engineer Hersi Said kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ujumbe wa kuwashukuru Mashabiki na Wanachama wa Klabu hiyo baada ya kutwaa Ubingwa wa ligi kuu ya NBC Msimu huu...
7 Reactions
5 Replies
552 Views
wakuu Yanga imewaita waandishi wa habari kwenye mkutano wa masimango, wanaenda kumsimanga nani?
8 Reactions
5 Replies
345 Views
Kutokana na mapungufu mengi ambayo yalitokana na Waamuzi, Bodi ya ligi na kamati zake,basi TFF unapewa lawama kubwa sana kealuyafumbia macho hasa kama msimamizi wa mpira nchini. Kwa musimu ujao...
5 Reactions
11 Replies
664 Views
Ameyasema hayo muda mfupi baada ya game ya Yanga vs Simba ambapo Yanga iliidungua Simba bao 2:0. Ameongeza kuwa katika misimu minne mfululizo, Simba ndiyo timu inayo ongoza kwa kufungwa na Yanga...
8 Reactions
12 Replies
790 Views
Mimi ni mtanzania lakini kule uingereza ni mshabiki wa Arsenal. Kama ningekuwa mwamuzi na kuambiwa nikachezeshe mechi kati ya arsenal na Manchester united lazima ningeipendelea Arsenal tu. Kule...
3 Reactions
14 Replies
807 Views
KARIAKOO DERBY | Leo Jumamosi kwa Mkapa kinapigwa, Yanga SC Vs Simba SC Saa 1:15 usiku | 🔴 LIVE updates hapa Je, Simba anakwenda kufungwa kwa mara ya 5 mfululizo na Yanga? Ama kukata uteja…!🫣🤯...
5 Reactions
150 Replies
9K Views
Napenda kuipongeza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi (TPLB) kwa uamuzi mzuri na wa kizalendo wa kuwaleta marefa wa kimataifa kusimamia baadhi ya mechi za Ligi Kuu...
3 Reactions
4 Replies
375 Views
Wachezaji wa Simba sisi mashabiki wenu tunawadai kimoja kati ya vitu vitatu vifuatavyo na ikiwezekana vyote 1. Kumfunga Berkane na kuchukua shirikisho 2. Kuwafunga " hatuchezi fc na kuchukua...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Hakuna umafia wa aina yoyote kwenye mpira ambao Marehemu Hans Pope hakuwahi kuufanya. Kuanzia Usajili,fitina za ubingwa na kucheza dabi.Jamaa alijitoa sana kwa mali zake na muda wake hakutaka...
3 Reactions
11 Replies
682 Views
habari za leo nyie MADUNDUKA A.K.A MAKOLO na UTOPOLO A.K.A CHURA...... Wakati wenzetu Wakenya wanajitokeza barabarani wakipigania haki zao, uhuru wa kisiasa, mabadiliko ya kiuchumi...
6 Reactions
17 Replies
963 Views
Simba imemaliza utata wa Dabi ya Kariakoo baada ya kuweka taarifa za kuwa tayari kucheza mchezo huo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. Simba ilikua kimya kwa muda mrefu kuhusu mchezo...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Frankly speaking, mimi kama shabiki wa Simba,naona kabisa tunapoelekea na aina ya uchezaji wa team ni ngumu sana kwenye mechi za Champions league baada ya makundi!(Kama tutapita). Tuna expect...
12 Reactions
40 Replies
2K Views
Back
Top Bottom