Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Siku ya Tarehe 25/6/2025 kutakua na ligi kubwa itakayofanyika DODOMA ligi hiyo itawakutanisha mafundi wa drafti kutoka sehemu tofauti tofauti hapa nchini ZAWADI KWA WASHINDI...
9 Reactions
102 Replies
3K Views
Alichokiandika Meneja Habari Wa Azam ZakazaKazi Baada Ya Yanga Kuishinda Simba… SASA NI TANO KWA TANO Agosti 9, 2023 Azam FC ilifungwa 2-0 na Yanga kwenye Ngao ya Jamii jijini Tanga, Shabiki...
13 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc...
25 Reactions
153 Replies
14K Views
Nimepata habari za chini chini kuwa , Bodi ya Ligi inapanga kutumia staili na busara iliyotumika katika derby ya Al ahly na Zamaleki. Bodi ya Ligi Haina mpango wa kumpokonya Yanga point 15. Kwa...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Msimamo wa makombe msimu huu kwa kilabu ya 5imba mpaka sasa Ngao ya jamii ❌ Cafcc ❌ Muungano ❌ CRDB cc ❌ NBC Premier League ❌
9 Reactions
17 Replies
933 Views
Simba imechangia kwa 100% katika ubingwa wa yanga msimu uliopita,wamegawa utamu kotekote,nyumbani na ugenini,alama 6 kwa mpinzani wake waliekuwa wanapigania ubingwa Lakini ukiangalia kwa umakini...
3 Reactions
6 Replies
677 Views
Anawaambia watoe hoja zenye mashiko zitazomfanya afikirie kujiuzulu👇
10 Reactions
23 Replies
1K Views
"Mchezaji mwenye matumizi bora ya Mguu wa Kushoto ni Mohamed Hussein (Simba), Mchezaji bora matumizi Mguu wa kulia ni yeye Feisal Salum (Azam FC), Mmaliziaji bora amemtaja Prince Dube (Young...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amezungumza kuhusu matokeo ya derby ya jana na kujibu kuhusu baadhi ya maoni ya mashabiki wa klabu yake kuto kumuamini na kumtaka aondoke kwenye uongozi.
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Klabu ya paok imethibitisha kuachana na Samatta siku ya jana
13 Reactions
44 Replies
3K Views
Arsenal inapigana vikumbo na wapinzani wao wa Kaskazini mwa London, Tottenham katika mbioz za kumsajili kiungo wa Crystal Palace na England, Eberechi Eze, 26, ambaye anatajwa kuwa na thamani ya...
1 Reactions
8 Replies
705 Views
Nilikuwa najua ni utani wa Ally Kamwe tu kumbe kweli bwana. Aisee kwa hali hii nadhani mzee Mangungu atupishe tu. Ikumbukwe pia Feitoto na Jonathan Soah tayari wamesha saini Yanga.
2 Reactions
4 Replies
854 Views
wakuu ==== kuna taarifa zinasambaaa kuhusu kocha wa simba Fadlu Davis kuondoka unyamani zinaukweli kama ni kweli viongozi wa simba watakuwa wamefeli kwa asilimia ngapi?
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu Singida Black Stars imefanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake kinachoanza dhidi ya Wananchi, Young Africans Sc katika dimba la KMC Complex. Wachezaji wazawa 7 wamepewa nafasi ya...
1 Reactions
9 Replies
762 Views
Hili jambo limenisikitisha sana, Kwa zile mbwembwe za kamati za kujiita 'ubaya ubwege' na jinsi walivyokuwa wakitoa vitisho na kuonekana wamepania na kujipanga haswa nje na ndani ya uwanja...
6 Reactions
9 Replies
655 Views
Wengi tumejikita kwenye habari za kanuni na mabaunsa ila ngoja nipanue kidogo mjadala wa kwa nini derby ya Simba na Yanga haikuchezwa tarehe 08/03/2025. Msichukulie huu uzi serious sanaaana ila...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
USHAURI KWA KLABU YA SIMBA SC PAMOJA NA MCHEZAJI WAO JEAN CHARLES AHOUA! Sio rahisi sana isipokuwa anafanya kazi kwa bidii zaidi na kuboresha baadhi ya udhaifu: 1. Timu inapopoteza mipira...
1 Reactions
4 Replies
815 Views
1.Camara ( vs coastal union,Vs Yanga,Vs Azam) 2.Kijiri( vs Yanga) 3.Chasambi (vs Fonten gate) 4. che Malone( vs Azam)
9 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari wadau. Prince Dube kwa kweli ni mzigo kwa yanga. Ni bora atolewe kwa mkopo kwenda timu zingine. Pamoja na Yanga kushinda dhidi ya Simba na kutwaa ubingwa . Dube ameichelewesha sana yanga
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Ligi kuu ya Tanganyika inazidi kushika kasi huku miamba wawili wakitunishiana misuli kunyakua ubingwa wa NBC premier league. Hizi hapa mechi ambazo watazicheza away. Yanga vs 🦁 Namungo vs 🦁...
5 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom