Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Jana nilicheki mechi ya Fluminense vs Al Hilal na Leo nikacheki mechi ya PSG vs Bayern Munich Nilichokiona kwenye mechi hizo mbili kimeniambia kwa nini Ligi kama ya Saudi Arabia itaishia kuwa kama...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Yanga waliweka pingamizi Karia kugombea uchaguzi kwasabu ya karia kumaliza muda wake. Lakini kamati ya uchaguzi imetupilia mbali rufaa hiyo kwasababu CEO wa Yanga ndiye aliyesaini pingamizi na...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Wachezaji wa Liverpool wameungana na familia na marafiki katika mazishi ya mchezaji Diogo Jota na kaka yake André Silva, siku mbili baada ya kaka hao kufariki katika ajali ya barabarani nchini...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Huyu muarabu anaonekana ni mshenzi sana yaani wachezaji wote wa Liverpool wamempost jota na wengine wengi wasio wa Liverpool wamepost jota ila huyu jamaa katulia kimya kama hayupo duniani mpaka...
2 Reactions
137 Replies
5K Views
Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu la FIFA (#FIFACWC) mwaka 2025 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
A matter above is concerned, Msimu huu wa NBC premier league umekuwa wa kituko Sana hasa referees wa league yetu ni shida. Moja ya matukio ya ajabu ni offside na watu kufunga hadi na mikono na...
0 Reactions
11 Replies
655 Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kuwafahamisha wadau wa mpira wa miguu na umma kwa ujumla kuwa kuanzia msimu ujao wa 2025/2026 litakuwa na mshirika (partner) wa michezo ya...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Klabu ya Fluminense ya Brazil imeweka historia kwa kuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu la FIFA mwaka 2025 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya...
0 Reactions
2 Replies
620 Views
Mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota, ameripotiwa kufariki dunia katika ajali ya gari huko Uhispania akiwa na umri wa miaka 28, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Ureno. Inaripotiwa kuwa Jota...
10 Reactions
62 Replies
6K Views
Kwanzia sasa Hakuna mchezaji atakaevaa Jezi namba ishirini pale Liverpool, Jezi imestaafishwa kama heshima kwa Diogo Jota. RIP Jota, na Ahsante Liverpool kwa kutambua mchango wake!
4 Reactions
11 Replies
674 Views
Habari waungwana, Napenda kutoa pole kwa wapenzi wote wa soka ulimwenguni ( hasa familia na klabu yake) kwa kuondokewa na kipenzi chao. (Mwenyezi mungu ampe pumnziko la milele - RIP). Kama mdau...
0 Reactions
4 Replies
633 Views
Wachezaji wa Liverpool wameungana na familia na marafiki katika mazishi ya mchezaji Diogo Jota na kaka yake, siku mbili baada ya kaka hao kufariki katika ajali ya barabarani nchini Uhispania.Ibada...
1 Reactions
6 Replies
455 Views
Aliyekuwa kocha wa klabu ya Yanga Sc, Miloud Hamdi kutoka Algeria ametambulishwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Ismaily Sc ya Nchini Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja na chaguo la ongezeko la mwaka...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
ANDIKO LA KWANZA LA AHMED ALLY KUHUSU SIMBA YA SASA..!! . Nianze na pole kwa Wana Simba kumaliza msimu bila ubingwa katika mashindano tuliyoshiriki hususan ligi kuu ya NBC Wana Simba tuepuke...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Klabu ya Fluminense imefanikiwa kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali ya mashindano ya kombe la Dunia la FIFA ngazi ya Klabu baada ya kuichapa Al Hilal mabao 2-1. Mabao ya ushindi yalifungwa...
5 Reactions
5 Replies
894 Views
Kwa taarifa za kiinteligensia inasemekana Yanga Wana kikosi Cha Siri Cha propaganda ambacho huwalisha matangopori ya usajili Simba How does it work??? Ni Kwamba kipindi Cha usajili macho ya...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
@alexngereza._ anasema kuwa wanasimba mnapaswa kumuondoa Mo Dewji kwanza kuliko kupambana na Mangungu. Katiba ya Simba iliipa bodi ya ligi mamlaka makubwa ya kuendesha timu ....bodi hyo ipo chini...
5 Reactions
40 Replies
1K Views
⚽ Timu zinazovaana: 🔵 Wasanii kigoma fc vs 🔴 Buhanda Stars 📍 Eneo: Buhanda Stadium – Kigoma 🗓 Tarehe: Jumapili, 6 Julai 2025 🕓 Muda: Saa 10:00 Jioni (4PM) LENGO LA MECHI: Hii si mechi ya...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Leo Lamine Yamal kavunja record Kwa Jersey mpya namba 10 yenye jina lake ya Barcelona msimu 2025/26 kabla jata kuzinduliwa na kununuliwa Kwa wingi. Haijawahi kutokea kwenye historia ya mpira hata...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…