Wakuu!
Kabla hili la Yanga SC halijapoa, tuzungumze kidogo kuhusu kilichotokea.
Labda wengi hawakutarajia kwamba klabu maarufu ya Yanga (Wananchi) ingejikuta katikati ya mjadala mkubwa wa...
Hawa walitakiwa wawe wamechapwa hata 5 mpaka sasa. Hawana team kabisa. Ni kama wamekusanywa kusanywa mtaani wakaletwa waje wacheze.
Very disorganized hawajielewi kabisa. Hamna team hapo.
Kwakuwa hata Ibada ya Katoliki niliyohudhuria hii leo inasema kuhusu Mtume Jeremiah alivyochukiwa na kuadhibiwa kwa kuwa Mkweli hata Mimi GENTAMYCINE kama kawaida yangu ya kuwa Msema Ukweli...
Hivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri...
Wakati nchi nzima imechachamaa kutokana na mchango wa shilingi milioni 100 ilizotoa klabu ya Yanga kusapoti kampeni za CCM, kuna jambo lingine lilipita kimya kimya katika Harambee ile na ambalo...
Humu ndani naona Feisal Salum ndiye mchezaji anayepambwa sana kuwa ni mchezaji kiwango sana kupita wachezaji wengine wazawa.
Lakini sikuwahi kusikia kuna timu nje iliyoonyesha nia ya kumchukuwa...
Kikosi kilicho anza leo kimesheheni wanzazibari, pipino , fey, shekhan, Ibrahim baka, na yule straiker alie funga goli likawa offside.
Tulitegemea aya nimashindano ya ya kuonyesha vipaji vya...
Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amewataka Watanzania kufurika na kuujaza Uwanja wa Mkapa kwenye michuano ya CHAN
Msigwa ameshangaa uzito wa Watanzania kwenda uwanjani kuishangilia taifa...
Rasmi
Naomba muelewe mambo ya kutuana vidole vya macho ooh karia kaipendelea timu fulan naomba niwajulishe tumefanya mabadiliko na sasa rasmi
Bodi ya ligi itajitegemea na sisi tutasimamia...
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana
Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama...
Siku kadhaa zilizopita kulitokea sintofahamu baada ya chama la Yanga kuchangia kwenye harambee ya CCM Tsh milion 100 ni mengi sana yaliibuka na yanaendelea kuibuka.
Kuna wale wanaoichukia Yanga...
"Kila ninapoingia hapa, siwezi kujizuia kumkumbuka namna alivyotembea, alivyotawala mpira. Lilikuwa jambo la kipekee kabisa; tofauti na lolote nililowahi kuona."
Hayo ni maneno ya mmoja wa...
Sisi ndio Host kwenye haya mashindano...na mwenyeji ana haki zake...
Haki zake ni pamoja na kuhusishwa kupanga muda sahihi wa mechi kuchezwa katika nchi yake.
Kucheza saa mbili usiku sio desturi...
Rais wa Yanga Eng Hersi Said ni genius katika uongozi wa football
Ni kiongozi Bora Taifa limepata Ameitengeneza Yanga imara sana
Leo tazama wachezaji maingizo mapya
1. Mohamed Doumbia
Huyu jamaa...
BINGWA: liverpool
MFUNGAJI BORA: halaand
GK BORA: donnaruma
YOUNG PLAYER OF THE YEAR: sesko
MCHEZAJI BORA WA MWAKA: palmer
TOP SIX:
liverpool
Man city
Arsenal
Man Utd
Chelsea
Tottenham
Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema Simba Day waalikwe Yanga lakini wasiweke Kombe maana watawaaribia shughuli Yao.
Ili Simba wajipime fuleshi na kikosi chao kabla ya ngao ya jamii ni shart...