Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Hello Taifa Stars Fans ! Wadau tuna tukio Zito na zuri na uzuri wake ni kwa sababu ya kumtupa Morocco nje ya CHAN2024. Binafsi nimeandaa Tickets 1000 plus Usafiri kwa ajili ya mashabiki lengo ni...
6 Reactions
54 Replies
2K Views
Kwa asilimia kubwa wachezaji wa Simba na Yanga waliopo katika kikosi cha Taifa Stars kinachoshiriki michuano ya CHAN huenda wakaukosa mchezo wa ngao ya Jamii utakaopigwa Septemba 16 Soma pia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hizi nchi za Afrika Mashariki ziache kulazimisha ubingwa kwa njia za panya. Katika mechi ya Uganda vs South Africa, goli la kwanza la Uganda lilikuwa clear offside. Inakuwaje mshika kibendera...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Katika zama hizi za taarifa za haraka, tumeshuhudia tabia inayozidi kuenea ya “kuiba” mafanikio ya watu kwa misingi ya asili ya wazazi, badala ya ukweli wa uraia na uwakilishi halisi. Mfano ni...
2 Reactions
15 Replies
821 Views
1. Nani aliyekuambia kuwa Simba SC ikitangaza Kufungwa Mechi zake za Pre Season huko Misri ni vibaya kwa Mashabiki? 2. Kama umesema Watu wa Kitengo cha Habari Simba SC mmekubaliana msitoe Taarifa...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Haya Tukutane kwenye michuano ya wadogo, muwachape kama mnavyojiita wakubwa.
2 Reactions
5 Replies
979 Views
Kama inanvyosemekana Kwamba wananchi ndo icon/ deep state ya soka hapa nchini .......Baada ya sowah kufanya ujinga kwenye urambulisho wa makolo Maazimio yaliyotoka ni kuwa ....sowah hata...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
Swali: Je Nchi zinahiari ya kushiriki mashindano ya CAF? Maana Hawa Jamaa baada ya Kutolewa na Uganda wanatapatapa eti walipeleka kikosi Cha 3 lakini nacho kimeonewa. Ukweli uko wapi...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Tukutane tarehe 16 Septemba ni Simba SC vs Yanga SC
1 Reactions
11 Replies
831 Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ngao ya Jamii Kuzindua Rasmi Msimu Mpya wa Mashindano ya TFF Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kuwataarifu wadau na mashabiki wa soka kuwa mechi...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Sitaki nirejee nukuu ya Rage alivotupatia jina letu pendwa. Sisi wanasimba Leo tumebubujikwa na machozi ya furahia kama Mwashamba kutoka jukwaa la siasa baada ya ushindi fake wa Wallace Karia...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Nimetengeneza kundi la wasap nimewaunganisha watu 100 na kuwaomba sana ijumaa mtoko ni Lupaso tu not otherwise. Chonde chonde mtanzania Morroco atakufa kWa umoja na mshikamano Waganda wako juu...
1 Reactions
25 Replies
933 Views
Simba SC imefungwa mabao 4-3 na ENPPI SC ya Misri katika mchezo wa pili kirafiki uliochezwa Jumapili, Agosti 17,2025 kujiandaa na msimu mpya wa 2025/2026. Mabao ya ENPPI SC mawili yalifunwa kwa...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu hili kitendo kimenishtua sana Mimi kama mdau wa soka no 1 Africa Professionally Ahmed ally ni mkuu wa kitengo Cha habari Cha wanasimba so why timu iwe misri yeye awe bongo??...nani...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Achana na magoli ya Pacome,Boyeli na Nondo,achana na kasi ya umeme ya Ecua na Chikola ila naomba tuzungumzie “Romain Folz Ball” Mechi ya kwanza ya ushindani ya Folz wote tumeiona,anataka timu...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Mashindano ya Chan ambayo ni mashindano yanayohusisha wachezaji wnaocheza ligi za ndani kwa nchi za Africa Kwa nchi za Africa Misri ndio nchi yenye ligi yenye ubora kwa miaka mingi Lakini cha...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Na kama Jibu ni Taifa Stars sasa kwanini kila Kiongozi akizungumza baada ya Kufuzu AFCON Jana anatumia Sekunde 20 Kuipongeza, ila anatumia Dakika Saba ( 7 ) hadi Kumi ( 10 ) Kumpongeza Rais Samia...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya kumsikia Mtu wako wa Karibu akisema unataka Kurudi Tanzania namtafuta Mganga akufunge Akili usirejee TZA.
1 Reactions
11 Replies
770 Views
Sio habari nzuri na huwa sipendi kutia watu matumaini Naandika kile nachokiamin Naoona final ya chan Tanzania vs 🇰🇪 Ft Kenya anakuwa bingwa All dbest Mawazoo haya n yangu hayafungamani na...
0 Reactions
4 Replies
594 Views
Tukiwa tunamalizia msimu huu, baadhi ya timu zimeshaanza kutoa jezi mpya kwa msimu ujao. Timu kubwa ya kwanza kuachia jezi zao ni Bayern Munic. Uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya kadri...
20 Reactions
255 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…