Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kichwa cha habari kimebeba maneno ya Msemaji Ahmed Ally akiongelea usajili wa kiungo mpya mkabaji wa Simba Kante. Sitaki kuhafifisha maneno yake maana namuheshimu Sana, lakini kwa hili Kagoma...
1 Reactions
3 Replies
448 Views
Moroko huyu anayebebwa na wenzake. Aliyeishindwa Namungo. Viongozi wanatukomesha tuchukue hatua
4 Reactions
21 Replies
974 Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewatangazia wadau wa mpira wa miguu na umma kwa ujumla kuwa Hafla ya Tuzo za TFF 2025 itafanyika mwanzoni mwa mwezi Desemba. Soma > Mwenye taarifa...
0 Reactions
4 Replies
638 Views
Kuna kiongozi mmoja wa Simba alimtisha kocha Fadlu Davids kuwa watamfukuza kazi kama Simba itakosa ushindi kwenye Mchezo wowote ule Ujao na kama timu haitocheza vizuri ndani ya mechi mbili zijazo...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa makocha wote waliopita Simba ni yeye pakee ndio hupata matokeo mazuri. Ata akiwa na wachezaji wadogo kabisa. Lakini likija swala la upigaji kwenye mikataba, Juma Mgunda malipo yake yatakuwa...
0 Reactions
7 Replies
663 Views
🇹🇿 LIGI KUU TANZANIA BARA . 16:00 KMC FC - Singida Black Stars BETWAY PREMIERSHIP 20:30 Siwelele - Orlando Pirates 🇪🇸 LA LIGA 20:00 Athletic Bilbao - Girona 20:00 Espanyol - Valencia 22:30...
1 Reactions
1 Replies
404 Views
Klabu ya Simba imemtangaza rasmi Hemed Suleiman, anayejulikana zaidi kama Morocco, kuwa Kocha wa muda (Caretaker) kwa mechi za Kimataifa. Uamuzi huu umefikiwa baada ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids...
2 Reactions
9 Replies
670 Views
Nimesikitishwa sana na kitendo cha mwanariadha Mtanzania Gabriel Geay kutomaliza mbio za Boston Marathon na kuachia katikati mara baada ya kuvuka 21km. Huu ni ukosefu wa uzalendo na kukata tamaa...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Simba imepokea kipigo cha 6 mfululizo na coach Fadlu akifingwa mara 4 mfulilizo peke yake bila kupata goli lolote Kwa Yanga, Coach Fadlu amefungwa na makocha 4 tofauti wa Yanga Gamondi kamfunga...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
viongozi waliopewa dhamana hawajali timu, wanachojali ni matumbo yao. Kwa muda mrefu viongozi walikuwa wakinufaika na 10 percent za usajili wa wachezaji, huo mlango umefungwa, kinachoendelea...
0 Reactions
12 Replies
566 Views
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na kocha Mkuu Fadlu Davids baada ya kuhudumnu na timu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Makubaliano haya ni matakwa binafsi ya kocha...
2 Reactions
9 Replies
776 Views
Kulingana na mapendekezo ya Mkurugenzi wa Michezo na tathmini ya jumla iliyofanywa na kamati ya michezo kuhusu hatua ya maandalizi ya msimu huu wa sasa, pamoja na mechi za kwanza rasmi, Klabu ya...
1 Reactions
17 Replies
823 Views
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kwa kushirikiana na Bodi ya Ligi (TPLB) na Kampuni ya JUSTFIT, leo Septemba 22, 2025 wamezindua rasmi mpira maalumu utakaotumika katika michezo yote ya Ligi Kuu...
2 Reactions
3 Replies
360 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akimkabidhi zawadi ya gari golikipa wa Timu ya Taifa, Taifa Stars na Klabu ya Simba, Yacoub Mohamed, aliyoahidiwa wakati wa mashindano ya CHAN.
3 Reactions
6 Replies
428 Views
Mnaotafuta Kocha kuna huyo Romuald Rakotondrabe pale Madagascar ✍️👊 Mwalimu sana huyu! Nabi Nessredine pia hana kazi kwa sasa✅ Jose Riveiro naye hakijaeleweka saaana ✅ Miloud Hamdi atafukuzwa...
4 Reactions
13 Replies
812 Views
Kombe la Ngao ya Jamii limekuwa na maana kubwa kwa nchi yetu, si tu kama pazia la kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu, bali pia kama sehemu ya kurudisha kwa jamii kupitia mapato ya viingilio. Lakini...
1 Reactions
4 Replies
299 Views
Kocha mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, ameondoka rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya kuripotiwa kutimkia Morocco kujiunga na Raja Casablanca. Taarifa zinaeleza kuwa Davids, ambaye awali aliwahi...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
wJ9xEV WanaJF mnaocheza fantasy ya UEFA champions league jiungeni humo kila mtu aoneshe umahuri wake wa kupanga kikosi
2 Reactions
2 Replies
290 Views
"Leo tunatangaza kwa furaha kubwa ushirikiano rasmi kati ya MO na Klabu ya Coastal Union kwa msimu wa 2025/2026! Kwa MO, kauli mbiu yetu imekuwa daima: Tunagusa Maisha Yako. Na leo, dhamira hiyo...
1 Reactions
10 Replies
711 Views
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha. Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…