Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wakuu. I salute you kinsmen. Huyu kijana ni uwezo wake mkubwa ndio ngumu kuuelezea Alianza kuwa lulu tangu alipokuwa Tabora na sasa ni TRA inaitwa. Leo yupo team kubwa yanga na dakika chache...
1 Reactions
4 Replies
259 Views
Haya wakulugwa uwanja wa Mkapa umeipiga serikali pesa zote hizo ila bado aonekani kama umefanyiwa ukarabati wa bei hiyo. Hatujapigwa kweli na wajanja wa mjini waliko kwenye mifumo...
1 Reactions
12 Replies
937 Views
Oluwasegun, bingwa wa zamani wa kitaifa na Afrika Magharibi katika daraja lake la uzani, alipoteza fahamu katika raundi ya tatu ya pambano lake la Ligi ya Ndondi ya Kulipwa ya Ghana dhidi ya...
1 Reactions
5 Replies
585 Views
Mnyama Leo atashuka dimbani kumenyana na fountain Gate. Majira ya saa 1 usiku #All the best Simba SC 🦁 Ubaya ubwela season 2
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais wa chama cha soka hapa Tanzania (TFF), Wallace Karia siku za karibuni amesikika akitoa matamshi yenye utata kwa kusema kwa kipindi kirefu akiwa Rais wa TFF, yeye na TFF kwa ujumla wake kwa...
3 Reactions
13 Replies
967 Views
NEXT MATCH : Simba Vs Gaborone United CAF champion League Starting Xl ya Simba SC Mchezo muhimu All the best Simba SC 🦁 #nguvu moja.
8 Reactions
151 Replies
6K Views
Niliweka mkeka mkubwa sana kuwa Simba itshinda kwa magoli zaidi ya matano hasa kwa vile nilijuwa usajiri wa fountain gate una walakini Dah nimepoteza kila kitu naomba michango yenu kunisaidia...
9 Reactions
38 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anahitaji klabu...
1 Reactions
8 Replies
554 Views
Singida Black Stars wamepiga hatua kubwa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kushinda mechi yao ya pili mfululizo kwa kuilaza Rayon Sports ya Rwanda 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar...
1 Reactions
3 Replies
336 Views
Wakuu jambo lipo live nina imani Ibenge anaenda kuipa heshima kubwa Azam Fc kimataifa msimu huu nawaona robo fainali kwa mara ya kwanza.
2 Reactions
2 Replies
315 Views
Alphonce Simbu amefungua ukurasa mpya wa celebrities katika Taifa letu. Kwa muda mrefu nilihuzunika kuona jamii ikishereheshwa na wanamuziki, wasanii wa filamu na komedi kiasi kwamba watoto wetu...
4 Reactions
8 Replies
412 Views
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Young Africans (Yanga) jioni ya leo wanaingia uwanjani kukipiga na Timu ya Wiliete kutoka Angola katika mechi ya marudiano. Katika mechi ya...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Dar es Salaam, Tanzania CAF Confederation Cup 2025-2026 Singida Big Stars 2 - 1 Rayon Sports Goal scorer for Singida B. Stars Anthony Tra Bi Tra 58' Idriss Diomande 44' Goal Scorer for Rayon...
1 Reactions
7 Replies
430 Views
Haiwezekani huyu jamaa anavyo tupuna na kutupukutisha asiwe na mnara aisee duh Huyu jamaa hata uji wa mgonjwa haachi achiliambali wa mtoto Haiwezekani mshahara wa mwezi mzima apitenao shwaa...
8 Reactions
36 Replies
1K Views
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeibua mjadala mkali baada ya kutangaza rasmi umiliki wa timu ya soka ya Tabora United na kuibadilisha jina kuwa TRA United Sports Club. Kwa maneno yao wamedai...
17 Reactions
63 Replies
2K Views
Mwanariadha nguli wa mbio fupi duniani, Usain Bolt, amesema kustaafu kumemfanya ajihisi “binadamu wa kawaida” baada ya kukiri kuwa siku hizi huchoka kupumua akipanda ngazi. Bolt mwenye umri wa...
1 Reactions
6 Replies
593 Views
Klabu ya Simba Sports Club imekumbana na adhabu mpya kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) huku ikijiandaa kucheza mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United...
3 Reactions
15 Replies
901 Views
Hatimae kiungo bora mkabaji wa muda wote, Segio Busquets ametangaza kustaafu soka kufikia mwisho wa msimu. Busquets ambaye huwa anacheza kiungo mkabaji, amefikia uamuzi huo katika umri wa miaka...
2 Reactions
2 Replies
277 Views
Kuna watu walichukua jezi nyingi sana badara ya kugawa wakapeleka majumbani kwao mimi nliona mtu kwa macho yangu Temeke kachukua jezi kama 5 ivi kaweka kwenye kibegi. Hii si sawa inashangaza kwa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…