Jamani
Nimekutana na picha hizi za nchi ya Singapore. Nimeshangaa sana
Hivi Afrika changamoto nini? Mbona hawa jamaa walikuwa sawa kabisa na Tanzania mwaka 1965
Singapore kwa sasa
Kaka Pascal Mayalla, huyu ni Kibo Marreale mtoto wa Mangi Mwitori Petro itossi Marreale, huyu ni fisi na simba na apumzike anapostahili alikuwa mnyama na muuaji
Tukiwa tunaadhimisha miaka minne ya kifo cha Magufuli, aliyepata kuwa Rais wa awamu ya tano.
Leo naomba nifahamishwe kuhusu huyu mlinzi wake, nilikuwa namkubali sana, yuko makini na hana papara...
Mtego waPanya huo....................
UTANI KIDOGO!
KIM JOUNG UN Ameweka Bendera Ya IRAN Korea Kaskazini Ili TRUMP Afikirie Kuwa Ni Iran. apate Kuipiga Korea ya Kaskazini.......
Wanabodi,
Mnaweza kuona jinsi CRDB Tawi la Lumumba lilivyo na "Maua" na bado likapambwa maua!, hivyo huku sio ni kupendeza juu ya kupendeza?!.
Kiukweli ni just imagine, ni raha iliyoje kuhudumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.