Mwanamitindo mwenye vituko kibao hivi alikuja nchini kufanya nini nimekuta habari inaishia ishia
picha ya Chini akiwa na mama Jakaya sijui Lugha walikuwa wanaelewana msinimeze nawaza tu ...
Baadhi ya nyumba za lililokuwa Shirika la Reli Tanzania, kwa sasa TRL katika stesheni ya Mikumi. Watumishi wanaendelea kuishi kwenye nyumba hizi. Picha na habari toka kwenye blogu ya kaka Beda wa...
fanya fujo ka huyo mmama hajakutundika vibao !
hata sijui joji alifurahi nini ! WMD au ?
vita hatari sana ! tukuchukueni hatua kabla hatujafika huko ...