salamu ndugu zangu..!?
al masry kwa nilivyowaona wanacheza mchezo mzuri wa fair play.
katika mchezo uliopita pengine unaweza kusema walikuwa na uhitaji wa magori mengi lakini hili nakataa...
Mwamba babu tale mbunge wa morogoro kusini akitetemeka balaa nakuomba ardhi ipasuke alipokuwa akimkabidhi malaika tuzo ya bongo music award Kwa niaba ya Harmonize December 2024.
Senior JF body...
Hii ni moja ya picha (MJ look-alike) inayo trend sana hivi sasa mitandaon, inasemekana jamaa ni mtu kutokea Mexico, amefanana kinoma noma na The late Michael Jackson.
Watu wanadai hakuna video...
Picha imepigwa kutoka upande wa Lake Tanganyika Hotel nyakati za jioni kabisa jua likielekea kuzama, mandhari nzuri kabisa ya muonekano wa ziwa Tanganyika hakika Kigoma kunapendeza sana by Kigoma...
Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa? Au unapelekeshwa Kama boya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.