Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

Wakuu,ni aina gani ya simu unayoitumia? Weka screenshot ya aina ya simu Yako hapa
1 Reactions
2 Replies
336 Views
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikikutana na picha au michoro mbalimbali ambayo wakati fulani ni vigumu sana kuelewa maana yake. Karibu na wewe uweke picha ambayo unadhani mpaka leo imekusumbua sana...
14 Reactions
127 Replies
16K Views
Kalivyo handsome jamani wanakalaani Bure tu 💔😢
15 Reactions
38 Replies
2K Views
Ikiingia kwenye kundi la bongo fleva ni beat ya mganda bushbaby ft blue 3, ambayo ilitamba vilivyo enzi zake kwenye luninga za Afrika mashariki Anayeweza pls atuwekee hapa kupitia youtube
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Weka cartoon au mchoro wenye maudhui mapana katika jamii. Ukiweza kufafanua itapendeza sana.
6 Reactions
17 Replies
831 Views
Ifuatayo ni orodha ya walimbwende ambao kwa mtizamo wangu naamini ni warembo bora kabisa hapa nchini Tanzania. Orodha hii ina mjumuisho wa warembo ambao ni Vipusa waliopita wa Tanzania...
3 Reactions
343 Replies
107K Views
Walio zaliwa mjini atahisi hapo ni dukani
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Can someone switch off the light he want to see something!
4 Reactions
82 Replies
6K Views
Steve Nyerere ndani ya Kisarawe
9 Reactions
83 Replies
21K Views
Wanajukwaa wenzangu! Lugha ya picha imekuwa kivutio sana kwa wasomaji wa magazeti na hata mitandao ya kijamii!! Lakini je licha ya mvuto huo watu wanaelewa maana za lugha hizo hasa za mtaalamu...
2 Reactions
6 Replies
840 Views
Najaribu kumtazama huyu afande wa magereza simpatii picha. Najaribu hapa chini kuona mawazo yake 1. Huyu jamaa ni kiumbe ( specie) wa aina gani? 2. Tusamehe ni majukumu tu 3. Huyu mtu anajiamini nini?
1 Reactions
3 Replies
533 Views
Salam wakuu. Nimekuwa nikimpima huyu kijana wangu mara kwa mara ila nahuzunika kuona hawezi kumaster mtiririko wa masaa na kalenda. Mfano leo nimemjaribu na mazungumzo yakawa hivi; Mimi...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Kwa wasiojua Masau Bwire ni Mwalimu mahiri wa somo la Hisabati (Mathematics). Mara nyingi utakuta na simu sita, na tablet juu.
5 Reactions
9 Replies
940 Views
Love is beautiful thing 🥰❣️ Je, wewe na huyo mwenzako mnaenjoy na kupata vitu vitamu kama hivi???
3 Reactions
8 Replies
734 Views
Back
Top Bottom