Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
 
Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"
Ungekuwa smart kama ungetoa mifano ya hiyo michanganyo kuliko kuandika vitu kama vile wote tumefundishwa na mwalimu mmoja au tumevisoma wote kwa pamoja hivyo vitabu
Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.
Ni dini gani inakufundisha kuikataa sayansi? Kwa nini unafikiri dini na sayansi vimepingana? Sayansi inaanza na ku observe nature, study it, experiment it na baadae kuja na uvumbuzi. Dini inajaribu kujibu maswali kama tumetoka wapi, kwa nini tuko duniani na hatima yetu kama binadamu ni nini? Hamna sayansi iliyo na majibu ya maswali haya mpaka leo

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaakini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!
Hayo ya wafuasi wa dini kushabikia pande zinazogombana ni matatizo yao binafsi labda na viongozi wao vipofu, at least kwenye mafundisho ya Biblia nina uhakika hakuna mahali inatuambia kushabikia upande wa Israeli inapofanya mauaji ya wasio na hatia.

Lakini pia sijaona sayansi ikija na suluhisho la huo mgogoro. Halafu 86% ya wamarekani hawana dini umetoa wapi hizi takwimu. Yani hata kwa ku google tu from different sources utaona stats zao zinasema US has above 50% only Christians.

Hao wavumbuzi wa technologies mbalimbali wote hawana dini? Technologies nyingi za leo zimewezekana kwa sababu ya sayansi iliyofanyiwa kazi na wanasayansi walioamini katika uwepo wa Mungu kuanzia kina Isaac Newton mpaka kina Albert Einstein. Nimesema hivi kwa sababu umegusia Atheism, labda kama ungetofautisha dini na theism.

Leo hii kuna shule na vyuo vikuu vingi vilivyoanzishwa na taasisi za dini ambavyo vime produce wanasayansi wakubwa duniani.

Ungeweka hapa details kidogo tujifunze vizuri hoja yako lakini kukataa uwepo wa Mungu au dini jumla jumla bila hoja yoyote hakukufanyi wewe au watu wa aina yako kuwa na akili.
 
Ungekuwa smart kama ungetoa mifano ya hiyo michanganyo kuliko kuandika vitu kama vile wote tumefundishwa na mwalimu mmoja au tumevisoma wote kwa pamoja hivyo vitabu

Ni dini gani inakufundisha kuikataa sayansi? Kwa nini unafikiri dini na sayansi vimepingana? Sayansi inaanza na ku observe nature, study it, experiment it na baadae kuja na uvumbuzi. Dini inajaribu kujibu maswali kama tumetoka wapi, kwa nini tuko duniani na hatima yetu kama binadamu ni nini? Hamna sayansi iliyo na majibu ya maswali haya mpaka leo


Hayo ya wafuasi wa dini kushabikia pande zinazogombana ni matatizo yao binafsi labda na viongozi wao vipofu, at least kwenye mafundisho ya Biblia nina uhakika hakuna mahali inatuambia kushabikia upande wa Israeli inapofanya mauaji ya wasio na hatia. Lakini pia sijaona sayansi ikija na suluhisho la huo mgogoro. Halafu 86% ya wamarekani hawana dini umetoa wapi hizi takwimu. Yani hata kwa ku google tu from different sources utaona stats zao zinasema US has above 50% only Christians.

Hao wavumbuzi wa technologies mbalimbali wote hawana dini? Technologies nyingi za leo zimewezekana kwa sababu ya sayansi iliyofanyiwa kazi na wanasayansi walioamini katika uwepo wa Mungu kuanzia kina Isaac Newton mpaka kina Albert Einstein. Nimesema hivi kwa sababu umegusia Atheism, labda kama ungetofautisha dini na theism.

Leo hii kuna shule na vyuo vikuu vingi vilivyoanzishwa na taasisi za dini ambavyo vime produce wanasayansi wakubwa duniani.

Ungeweka hapa details kidogo tujifunze vizuri hoja yako lakini kukataa uwepo wa Mungu au dini jumla jumla bila hoja yoyote hakukufanyi wewe au watu wa aina yako kuwa na akili.
Ukikubali Mungu wa miujiza ambaye hapingiki wala kuthibitishika kisayansi umeshapingana na sayansi.

Ukikubali Mungu anayepimika na kuthibitishika kisayansi, umeshamuondoa huyo Mungu kwenye uungu na kumuweka kwenye kanuni ya sayansi tu.
 
Ukikubali Mungu wa miujiza ambaye hapingiki wala kuthibitishika kisayansi umeshapingana na sayansi.
Hapana, mpaka pale sayansi itakapothibitisha kuwa Mungu wa miujiza hayupo ndo imani juu ya Mungu itakuwa imepingana na sayansi. Kumbuka wanaoamini katika Mungu hasa kwenye ukristo na uislamu mfano, huamini kuwa Mungu yupo toka milele anajua yote lakini sayansi haijui yote, kila baada ya muda fulani ndo wanasayansi wanakuwa wamepiga hatua fulani katika kufanya uvumbuzi. Sayansi inakua lakini Mungu hana cha kuongeza anajua yote from beginning.

Ukikubali Mungu anayepimika na kuthibitishika kisayansi, umeshamuondoa huyo Mungu kwenye uungu na kumuweka kwenye kanuni ya sayansi tu.
Hii ni kweli kabisa. Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha kisayansi uwepo wa Mungu. Kumjua Mungu kunahitaji neema ya Mungu mwenyewe kwa mtu husika lakini pia wanaomsema Mungu hujaribu kutumia physical evidences za matokeo ya kuamini au kutoakuamini kwa binadamu na kukuacha wewe utumie akili ya kuzaliwa kuamini kama wanachosema ni kweli ikiwa umeshawishika moyoni mwako vya kutosha.

Ndo maana wanasema mambo ya Mungu ni ya mambo ya Imani, lakini haikuzuii mtu kutumia akili au sayansi katika mambo yako. Vyote vinaweza kufanya kazi pamoja.
 
Hapana, mpaka pale sayansi itakapothibitisha kuwa Mungu wa miujiza hayupo ndo imani juu ya Mungu itakuwa imepingana na sayansi. Kumbuka wanaoamini katika Mungu hasa kwenye ukristo na uislamu mfano, huamini kuwa Mungu yupo toka milele anajua yote lakini sayansi haijui yote, kila baada ya muda fulani ndo wanasayansi wanakuwa wamepiga hatua fulani katika kufanya uvumbuzi. Sayansi inakua lakini Mungu hana cha kuongeza anajua yote from beginning.


Hii ni kweli kabisa. Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha kisayansi uwepo wa Mungu. Kumjua Mungu kunahitaji neema ya Mungu mwenyewe kwa mtu husika lakini pia wanaomsema Mungu hujaribu kutumia physical evidences za matokeo ya kuamini au kutoakuamini kwa binadamu na kukuacha wewe utumie akili ya kuzaliwa kuamini kama wanachosema ni kweli ikiwa umeshawishika moyoni mwako vya kutosha.

Ndo maana wanasema mambo ya Mungu ni ya mambo ya Imani, lakini haikuzuii mtu kutumia akili au sayansi katika mambo yako. Vyote vinaweza kufanya kazi pamoja.
Sayansi haikubali miujiza, hivyo ukimkubali Mungu wa miujiza umepingana na sayansi.
 
Haikubali kwa maneno tu au imewahi kuweka uthibitisho wa kisayansi kuwa Mungu wa miujiza hayupo?
Sayansi haiendani na miujiza, kimsingi kabisa. Sayansi inaendana na mambo yanayoweza kuelezeka, kupimika, kuthibitishika, kufanyiwa majaribio na kurudiwa, kwa kanuni za kisayansi ambazo hazina miujiza.

Ukishaingiza kitu chochote chenye muujiza, hicho kinapingana na sayansi.

Hivyo, Mungu wa miujiza anapingana na sayansi.

Huwezi kusema unaikubali sayansi, halafu hapo hapo unamkubali Mungu wa miujiza.

Hiyo ni contradiction.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaakini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Rubbish
 
Ungekuwa smart kama ungetoa mifano ya hiyo michanganyo kuliko kuandika vitu kama vile wote tumefundishwa na mwalimu mmoja au tumevisoma wote kwa pamoja hivyo vitabu

Ni dini gani inakufundisha kuikataa sayansi? Kwa nini unafikiri dini na sayansi vimepingana? Sayansi inaanza na ku observe nature, study it, experiment it na baadae kuja na uvumbuzi. Dini inajaribu kujibu maswali kama tumetoka wapi, kwa nini tuko duniani na hatima yetu kama binadamu ni nini? Hamna sayansi iliyo na majibu ya maswali haya mpaka leo


Hayo ya wafuasi wa dini kushabikia pande zinazogombana ni matatizo yao binafsi labda na viongozi wao vipofu, at least kwenye mafundisho ya Biblia nina uhakika hakuna mahali inatuambia kushabikia upande wa Israeli inapofanya mauaji ya wasio na hatia. Lakini pia sijaona sayansi ikija na suluhisho la huo mgogoro. Halafu 86% ya wamarekani hawana dini umetoa wapi hizi takwimu. Yani hata kwa ku google tu from different sources utaona stats zao zinasema US has above 50% only Christians.

Hao wavumbuzi wa technologies mbalimbali wote hawana dini? Technologies nyingi za leo zimewezekana kwa sababu ya sayansi iliyofanyiwa kazi na wanasayansi walioamini katika uwepo wa Mungu kuanzia kina Isaac Newton mpaka kina Albert Einstein. Nimesema hivi kwa sababu umegusia Atheism, labda kama ungetofautisha dini na theism.

Leo hii kuna shule na vyuo vikuu vingi vilivyoanzishwa na taasisi za dini ambavyo vime produce wanasayansi wakubwa duniani.

Ungeweka hapa details kidogo tujifunze vizuri hoja yako lakini kukataa uwepo wa Mungu au dini jumla jumla bila hoja yoyote hakukufanyi wewe au watu wa aina yako kuwa na akili.
Hakumfanyi awe na akili napigilia msumari,,,,sayansi imeshindwa kutuambia chanzo cha binaadam afu porojo kibao
 
Ungekuwa smart kama ungetoa mifano ya hiyo michanganyo kuliko kuandika vitu kama vile wote tumefundishwa na mwalimu mmoja au tumevisoma wote kwa pamoja hivyo vitabu

Ni dini gani inakufundisha kuikataa sayansi? Kwa nini unafikiri dini na sayansi vimepingana? Sayansi inaanza na ku observe nature, study it, experiment it na baadae kuja na uvumbuzi. Dini inajaribu kujibu maswali kama tumetoka wapi, kwa nini tuko duniani na hatima yetu kama binadamu ni nini? Hamna sayansi iliyo na majibu ya maswali haya mpaka leo


Hayo ya wafuasi wa dini kushabikia pande zinazogombana ni matatizo yao binafsi labda na viongozi wao vipofu, at least kwenye mafundisho ya Biblia nina uhakika hakuna mahali inatuambia kushabikia upande wa Israeli inapofanya mauaji ya wasio na hatia. Lakini pia sijaona sayansi ikija na suluhisho la huo mgogoro. Halafu 86% ya wamarekani hawana dini umetoa wapi hizi takwimu. Yani hata kwa ku google tu from different sources utaona stats zao zinasema US has above 50% only Christians.

Hao wavumbuzi wa technologies mbalimbali wote hawana dini? Technologies nyingi za leo zimewezekana kwa sababu ya sayansi iliyofanyiwa kazi na wanasayansi walioamini katika uwepo wa Mungu kuanzia kina Isaac Newton mpaka kina Albert Einstein. Nimesema hivi kwa sababu umegusia Atheism, labda kama ungetofautisha dini na theism.

Leo hii kuna shule na vyuo vikuu vingi vilivyoanzishwa na taasisi za dini ambavyo vime produce wanasayansi wakubwa duniani.

Ungeweka hapa details kidogo tujifunze vizuri hoja yako lakini kukataa uwepo wa Mungu au dini jumla jumla bila hoja yoyote hakukufanyi wewe au watu wa aina yako kuwa na akili.
Mkuu miongoni mwa watu wenye upeo mkubwa wa kujibu maswali yanayotatiza miongoni mwa watu na kuonekana kana kwamba hayawezi kujibika ww umeweza kuyajibu kwa usahihi zaidi..

Kuhusu sayansi haiwezi kujibu mambo yote kuhusiana na maisha.

Ikiwa leo kila kitu kinajiendesha kwa utaratibu uliopangwa kwa maana yupo mpangaji(muanzilishi) itawezekanaje kila kitu kwa dunia?

Maana ukisema hakuna dini ni sawasawa na kusema hakuna muumba.

Swali la msingi ni kujua tu ni ipi dini sahihi na ipi sio sahihi, hapa ndipo panapohitajika tafiti za kielimu pasina kuendeshwa na utashi wa nafsi.
 
Back
Top Bottom