jaman sioni kama kunautifauti na bajaji maana kama itakuw inabeba watu 3 sa na bajaji zitakuw zinafanya nini si bora tukapande bajaji maaan watakuw wanakufa wengi
Habari wakuu,huwa najiuliza na huwa sipati majibu ila leo nimeona nivunje ukimya.
Hawa wakimbiza mwenge kitaifa huwa wana sifa(vigezo) gani?,nikiimaanisha je ili mtu yeyote ateuliwe kukimbiza...
Wanajamvi,ni yangu imani kuwa mko poa,binafsi naamini hakuna nchi kubwa inaweza fanya mambo bila sababu za msingi na zenye faida kwao aidha kisiasa,kijeshi ama kiuchumi.hivyo basi,kwa wanaofahamu...
Habari zenu wakubwa!
Ni muda sasa umepita tokea kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Ukimwi iliporipotiwa mwaka 1981, ambapo katika THE GLOBAL HIV/AIDS PANDEMIC,2006 REPORT takribani watu 65 million...
Habari za asubuhi ndugu zangu;Baada ya makala ya brain programming leo nimekuja na hii kanuni ya 18:40:60.
Hivi karibuni tumeona ujio wa mabilionea wengi vijana wadogo duniani hasa katika sekta...
Habari za wakati huu wakuu,
Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali...
Habari wakuu,
Nimekaa Nikajiuliza sana hili swali, Naamini kabisa kuna wadau amabao wameshavuka miaka hiyo hapo juu, na wengine bado hawajafika umri huo,na wengine tuko katika kipindi hicho,kwa...
Habari zenu wadau
Leo katika kupitia baadhi ya mambo mtandaoni nikakutana na kisa cha "Republic of Taured".
Ipo hivi, miaka ya 1950 ilitokea kisa cha kijana wa makamo katika airport moja huko...
Habari za humu ndani.
Miongoni mwa vitu ambavyo nimewahi kuvisikia na kushindwa kuvielewa ni hii iitwayo "Gödel's incompleteness theory" ambayo licha ya kupitia sehemu mbalimbali kama Youtube na...
Na Christopher Cyrilo
Moja kati ya mashushushu hodari kuwahi kutokea katika historia ya jumuia ya kiintelijensia nchini Israel, ni Eliyahu (Eli) Cohen na Wolfgang Woltz ambao, kwa sababu ya kazi...
Wakati UNAFIKIRIA,..
...unafikiri UNAFIKIRIA jinsi UNAVYOKIFIKIRIA unachokifikiri?
Na kama kuna MISINGI ya jinsi ya KUFIKIRIA KITU,...
....labda unauhakika kila mtu anapatia jinsi ya kufikiria...
Mkuu wa mkoa wa Dar-es-Salaam Paul Makonda ameamua kulivalia njuga suala la biashara ya mihadarati nchini.
Bwana Makonda anaamini kwamba mkoa wa Dar-es-Salaaam ndiyo unaoongoza kwa biashara hii...
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo...
An unidentified flying object, or UFO, in its most general definition, is any apparent anomaly in the sky that is not identifiable as a known object or phenomenon.
Such anomalies may later be...
Habari wadau,
Hi ni kwa watalaam wa magari na wapenzi wa magari pia. Mimi naomba ushauri wenu au wakunielekeza wapi niende,mimi hapa na toyota corolla E110 ya 1998,engine 4aFe speed 220km/h gari...
Israel ndio inajulikana kama taifa teule la Mungu na kuna ushahidi mwingi mitandaoni kuwa dunia ilianzia mashariki ya kati....
Mengi yanayoandikwa kuhusu hizi dini mbili zinazomtambua Mungu...
Katika mapokeo ya Mwanzo 11 Babeli ulikuwa mji wa kwanza uliojengwa baada ya gharika kuu. Binadamu waliamua kuwa na jengo kubwa katika mji na kilele chake kifike mbinguni. Mpango huu haukumpendeza...
Kama mada inavyojieleza,
Nimekua nikisikia na kusoma katika maandiko ya vitabu vitakatifu kwamba kufa ni pumziko la milele, yani ukishakufa ndo basi tena unapotea jumla.
Lakini maandiko hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.