Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
jaman sioni kama kunautifauti na bajaji maana kama itakuw inabeba watu 3 sa na bajaji zitakuw zinafanya nini si bora tukapande bajaji maaan watakuw wanakufa wengi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu,huwa najiuliza na huwa sipati majibu ila leo nimeona nivunje ukimya. Hawa wakimbiza mwenge kitaifa huwa wana sifa(vigezo) gani?,nikiimaanisha je ili mtu yeyote ateuliwe kukimbiza...
0 Reactions
30 Replies
14K Views
Wanajamvi,ni yangu imani kuwa mko poa,binafsi naamini hakuna nchi kubwa inaweza fanya mambo bila sababu za msingi na zenye faida kwao aidha kisiasa,kijeshi ama kiuchumi.hivyo basi,kwa wanaofahamu...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ahmale Lerato Bonginkosi alias Umkontho We Sizwe: 26 July 1984-07 March 2018
6 Reactions
308 Replies
20K Views
Habari zenu wakubwa! Ni muda sasa umepita tokea kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Ukimwi iliporipotiwa mwaka 1981, ambapo katika THE GLOBAL HIV/AIDS PANDEMIC,2006 REPORT takribani watu 65 million...
4 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu;Baada ya makala ya brain programming leo nimekuja na hii kanuni ya 18:40:60. Hivi karibuni tumeona ujio wa mabilionea wengi vijana wadogo duniani hasa katika sekta...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wakuu, Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali...
10 Reactions
357 Replies
33K Views
H
Hi! Please join me on WowApp. Visit my personal page at WowApp - Doing Good Through the Power of Sharing and see what it is all about. Thank you.
0 Reactions
3 Replies
868 Views
Habari wakuu, Nimekaa Nikajiuliza sana hili swali, Naamini kabisa kuna wadau amabao wameshavuka miaka hiyo hapo juu, na wengine bado hawajafika umri huo,na wengine tuko katika kipindi hicho,kwa...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari zenu wadau Leo katika kupitia baadhi ya mambo mtandaoni nikakutana na kisa cha "Republic of Taured". Ipo hivi, miaka ya 1950 ilitokea kisa cha kijana wa makamo katika airport moja huko...
4 Reactions
47 Replies
10K Views
Habari za humu ndani. Miongoni mwa vitu ambavyo nimewahi kuvisikia na kushindwa kuvielewa ni hii iitwayo "Gödel's incompleteness theory" ambayo licha ya kupitia sehemu mbalimbali kama Youtube na...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Christopher Cyrilo Moja kati ya mashushushu hodari kuwahi kutokea katika historia ya jumuia ya kiintelijensia nchini Israel, ni Eliyahu (Eli) Cohen na Wolfgang Woltz ambao, kwa sababu ya kazi...
10 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakati UNAFIKIRIA,.. ...unafikiri UNAFIKIRIA jinsi UNAVYOKIFIKIRIA unachokifikiri? Na kama kuna MISINGI ya jinsi ya KUFIKIRIA KITU,... ....labda unauhakika kila mtu anapatia jinsi ya kufikiria...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar-es-Salaam Paul Makonda ameamua kulivalia njuga suala la biashara ya mihadarati nchini. Bwana Makonda anaamini kwamba mkoa wa Dar-es-Salaaam ndiyo unaoongoza kwa biashara hii...
6 Reactions
18 Replies
4K Views
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo...
4 Reactions
167 Replies
18K Views
An unidentified flying object, or UFO, in its most general definition, is any apparent anomaly in the sky that is not identifiable as a known object or phenomenon. Such anomalies may later be...
0 Reactions
650 Replies
112K Views
Habari wadau, Hi ni kwa watalaam wa magari na wapenzi wa magari pia. Mimi naomba ushauri wenu au wakunielekeza wapi niende,mimi hapa na toyota corolla E110 ya 1998,engine 4aFe speed 220km/h gari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Israel ndio inajulikana kama taifa teule la Mungu na kuna ushahidi mwingi mitandaoni kuwa dunia ilianzia mashariki ya kati.... Mengi yanayoandikwa kuhusu hizi dini mbili zinazomtambua Mungu...
17 Reactions
131 Replies
16K Views
Katika mapokeo ya Mwanzo 11 Babeli ulikuwa mji wa kwanza uliojengwa baada ya gharika kuu. Binadamu waliamua kuwa na jengo kubwa katika mji na kilele chake kifike mbinguni. Mpango huu haukumpendeza...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Kama mada inavyojieleza, Nimekua nikisikia na kusoma katika maandiko ya vitabu vitakatifu kwamba kufa ni pumziko la milele, yani ukishakufa ndo basi tena unapotea jumla. Lakini maandiko hayo...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom