Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Ndugu wana FJ, Naandika uzi huu ili uweze kumfikia Mkurugenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Siku chache zilizopita nilikwenda katika hospitali ya Mkoa kuchukua...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
World Cup imemalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana Jamvi karibuni tena Katika Mada pendwa Za Ulimwengu wa Kiroho.. leo Ningependa tupeane Mbinu za Hawa Watu wenye Wivu aka Wachawi mana Hawana Faida Yeyote ile zaidi ya Kukuonea Wivu na...
5 Reactions
54 Replies
13K Views
Moja kati ya mashushushu hodari kuwahi kutokea katika historia ya jumuia ya kiintelijensia nchini Israel, ni Eliyahu (Eli) Cohen na Wolfgang Woltz ambao, kwa sababu ya kazi zao za kuhudumia...
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Vincent Willem van Gogh (30 Machi 1853 - 29 Julai 1890 ) alikuwa mchoraji kutoka Uholanzi. Huhesabiwa kati ya waanzilishaji wa uchoraji wa kisasa. Aliacha picha 864 na vichoro zaidi ya elfu moja...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Je’ ni kweli kila kitu ni mpango wa Mungu? Kwa muujibu wa biblia yapo maandiko mengi ambayo kwakweli yana hitaji tafakari nzito, kuyaelewa. baadhi ya maandiko ya biblia…Ni kama haya. 4 ‘’Bwana...
2 Reactions
536 Replies
34K Views
Source: Daily News, Friday, 24th October 2008, Page 22. Public Notice Application for Content Services Licences (Broadcasting Licences) to TCRA. Name of Station: ABC Television P.O. Box...
3 Reactions
164 Replies
38K Views
Ni suala ambalo nimekuwa nikijiuliza sana, nimejaribu ku-google lakini sijafanikiwa kupata chochote kulingana na swali linavyouliza hapo juu. Sana sana nilichokutana nacho ni Most Powerful...
1 Reactions
139 Replies
44K Views
Baraka za CCM kinga ya ufisadi Benki Kuu Lula wa Ndali-Mwananzela Januari, 16, 2008 HIVI nikikuuliza ndugu msomaji ni mbunge gani wa CCM ambaye jina lake linaweza kukujia mara...
1 Reactions
69 Replies
14K Views
Wanadamu hawakuanza Kunena kwa Lugha (Glossolalia) iliyonje ya uelewa wao pale Yerusalem kama ilivyoandikwa kwenye baadhi ya Vitabu Vitakatifu. Miaka Mingi BC kuna matukio kadhaa ya watu kunena...
7 Reactions
55 Replies
11K Views
HUENDA hujawahi kumsikia Abū ‘Alī al-asan ibn al-Haytham. Katika nchi za Magharibi anafahamika kwa jina la Kilatini Alhazen, linalotokana na jina lake la kwanza la Kiarabu, al-Hasan. Iwe...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
The alleged tanzanite-terrorist connection In November 2001, Wall Street Journal reporters, the late Daniel Pearl and Robert Block, travelled to the African nation of Tanzania to...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa watu mnaomfahamu huyu bwana ni mchango gani ametoa kwa maisha ya Watanzania.kwenye blogu ya Michuzi amemwita Sir George.Sr inapewa na Queen wa UK kwa mchango katika jamii...
1 Reactions
188 Replies
52K Views
GCX Ultra Thin quadriceps so that you have obtained to proceed right away to the areas for steadiness it would be miles excessive-quality further most extra as a rule take you up as a methods as...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yoshua ni kiongozi wa taifa la Israeli linalojulikana hasa kupitia kitabu cha sita kati ya vitabu vya Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) na vya Agano la Kale katika Biblia ya Ukristo. Kitabu...
2 Reactions
72 Replies
10K Views
Kuna Siri kubwa kwenye umbaji Na uzao wa mwanamme Na mwanamke . ebu fikiri pale mti wa matunda utapo mea kwenye kipande cha udongo chenye chumvi , ukosefu wa mbolea maji Na Kila Aina ya takataka...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Inafahamika kwamba Ninjitsu ni staili au aina ya martial arts ambayo uki quilify unaitwa NINJA. Ninapenda kuwa NINJA ila sijui ni wapi nawezapata mahali wanapofundisha huo mchezo kwa hapa Tanzania.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hiyo si dhana tena bali ni uhalisia! Katika ULIMWENGU huu wa kijasusi ni vyema sote tukatambua kwamba popote na vyovyote tufanyacho ni onekani kwa wasioonekana! Leo hii hata muuza maji ya...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Picha ya mzimu. Picha ya Pepo ( Demon ) NINI TOFAUTI KATI YA MZIMU NA PEPO ? Watu wengi hawajui tofauti iliyopo kati ya mzimu ( Ghost ) na pepo ( Demon ). Tofauti...
2 Reactions
39 Replies
41K Views
MWANZONI mwa mwaka wa 2017 wanasayansi walitoa tangazo lenye kuogopesha. Mwezi Januari, kikundi cha wanasayansi kilitangaza kwamba ulimwengu umekaribia kupatwa na janga kubwa zaidi kuwahi kutokea...
0 Reactions
4 Replies
971 Views
Back
Top Bottom