My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,335
Taarifa za kijasusi zinadai kuwa, baadhi ya mawaziri wa Tanzania, Uganda na Kenya wapo kwenye Payroll ya siri ya Misri.
Misri mara kadhaa imekuwa ikiapa kuwa itayalinda maji ya mto Nile hata kwa nguvu za kijeshi.
Kutumia nguvu za kijeshi ni gharama kubwa mno kuliko kufanya, kutumia ujasusi.
Ziwa Victoria ndo humwaga maji mto Nile, bila Ziwa Victoria hakuna mto Nile, na bila mto Nile hakuna Misri.
Mto Nile ni mungu wa Misri, Misri inautegemea mto Nile 100%.
Ukitaka kuiteketeza Misri, haribu mto Nile....
ITAENDELEA...
Misri mara kadhaa imekuwa ikiapa kuwa itayalinda maji ya mto Nile hata kwa nguvu za kijeshi.
Kutumia nguvu za kijeshi ni gharama kubwa mno kuliko kufanya, kutumia ujasusi.
Ziwa Victoria ndo humwaga maji mto Nile, bila Ziwa Victoria hakuna mto Nile, na bila mto Nile hakuna Misri.
Mto Nile ni mungu wa Misri, Misri inautegemea mto Nile 100%.
Ukitaka kuiteketeza Misri, haribu mto Nile....
ITAENDELEA...