Makabila yote yanaweza shindwa maisha mjini na kukimbia na kuwaachia mji wamasai,sasa najiuljza huwa wanaishije?
Natamani nishinde na mmasai kuanzia asubuhi hadi jioni anapoenda kulala kwa mwezi...
Mwaka jana nilikuwa na boss wangu Mjerumani. Siku moja aliniambia mnajua nyinyi wa Africa mko mwisho katika jamiii zote 4 duniani? Yani 1 wazungu 2 Mongolians (Chinese&Japanese& Koreans) na wote...
Baada ya kufanya jaribio lake la pili kampuni ya Space X inayoongozwa na ELON MUSK la kurusha rocketi ya Falcon Heavy kuna kitu kipya kimeanza kusumbua akili ya “Alien Mask” ambapo kampuni yake...
Salaam Wandugu!
Ni Jambo ambalo najiuliza kila Uchao, kama kweli Uumbaji wa Mungu Ulikuwa ni wa Haki, Kwanini Kuliwekwa Matabaka ya Ngozi muonekano, yaani Nyeupe na Nyeusi? Mbaya Zaidi, Ngozi...
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.
But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness)...
Habari za wakati huu wakuu, heri njema ziwe nanyi.
Nimejaribu kufikiria jinsi mwanadamu anavyoiendesha dunia kwa muda mrefu sasa pasipo ushindani wowote utokao kwa viumbe wengine mfano...
Mara tu unapozaliwa elimu ya kwanza nikuanza kukuprogramu kuwa mtu mwingine ambaye jamii inamwitaji hivyo jamii itakupa jina,watakuamulia lugha, na wataanza kukufundisha neno la kwanza la kutamka...
Kinachoifanya Dunia viumbe hai waezee kuisha ni kuwepo kwa Magnetic field na Ozone layer
Magnetic field
Jua linatoa miale ya mwanga ambayo inatumika Kama mwanga dunia na inakuja na upepo...
Ukisoma vizuri asili ya waafrika na sehemu mojawapo ambayo sisi waafrika tumekuwa tukijivunia kila tunapozungumzia ustaarabu tutagundua kuna sehemu hatupo sawa. Misri ni moja ya nchi za kale sana...
Naamini Mungu yupo, na ndo ametujaalia akili na utashi wa kupambanua mambo. Mara zote linapokuja suala la kuhoji origin ya hivi vitabu vitakatifu, viongozi wetu wa dini wanakimbilia neno moja tu...
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili...
Tuna ndugu zetu wana asili ya kiarabu ila ni wazawa tangu ukoloni na ni wasomi kama huko Urambo,Sikonge na kwingineko,sheria inasemaje kuhusu wao kujiunga na depo CCP na kuwa askari polisi ikiwa...
Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazoongoza duniani kwa kuathirika na kuwepo kiwango kikubwa cha madini ya Fluoride (Fluorine) ambayo husababisha Ugonjwa wa Fluorosis. Mwaka 2008, Tanzania iliamua...
Na. Belvin Kagoma
Miaka ya 1970 nchi ya marekani walipitisha Sheria maalumu ya Uhuru wa Kupata Taarifa (Freedom of Information Act). Moja wapo ya vipengele vya Sheria hii ni kulitaka Shirika la...
Msiogope !! Covid 19 sio mwisho wa dunia.
Mwisho wa dunia will be like around the year 2100 to the year 2500.
And these are my reasons.
The world can only contain 10 billion people. In other...
Nikola Tesla anasema Energy ni kitu kinachopaswa kupatikana Dunia na kuwa transferred wireless anauunda mnara mkubwa huko New york kwa ajili ya kufeed electrical energy maeneo mbalimbali bila wire...
Mwaka 2011 Wachina walitamba sana waliporusha satelite yao ijulikanayo kama Tiangong-1 kwenda angani.
Satelite hiyo ilishindwa kukaa kwenye trajectory yake na hivyo kupungua speed kadri siku...
NJIA KUMI ZA KUMTAMBUA MTU ANAYESEMA UONGO WAKATI UNAONGEA NAYE.
kuna msemo unasema kwamba kila mtu ni muongo hapa duniani yaani , hakuna mtu ambaye ameshawahi kuishi bila kusema uongo kabisa...
Poleni na Majukumu wana JF wote, zaidi wale mashabiki wa jukwaa la Jamii intelligence.
Nilipenda kutupia UZI (thread) huu katika jukwaa la Great thinkers, kwa imani kule wapo Wasomi, Wazee wenye...