Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Habari wanawake wenzangu, Poleni na majukumu, leo nimependa niwaletee huu ujuzi kidogo ambao nina ushuhuda nao, niliona post sehemu nikajaribu na ikanipa majibu ndani ya siku 3. Kuna wanawake...
7 Reactions
36 Replies
24K Views
Naomba anayefahamu ninapoweza kuusaidiwa matatizo ya ngozi, miaka mingi sasa vikiota usoni kama chunusi basi ni vijipu, kwapa huota kama vijipu vidogo vdogo, sehemu za masikio vile vile, na sehem...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Habar wakuu nauliza mtoto wangu Umri maiak9,tumeingia kwenye kipimo Cha MRI kwa ajili ya tatizo lake la mgongo Sasa mtoto anasumbua kweli hatulii kwenye mashine nikulia tu mwanzo mwisho, Je kuna...
0 Reactions
3 Replies
390 Views
Salaam, mimi nilie mdogo kati yenu nawasalimu. Kwanza kabisa napenda kutambua mchango mkubwa na matokeo chanya yatokanayo na kampeni ya huduma za kibingwa katika Hospitali za wilaya na baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Habarini ndugu Zangu, mwaka juzi nilikuja kuomba msaada hapa jukwaani wa kukosa uwezo wa kishiriki tendo la ndoa. Watu mbali mbali walijitolea kunielekeza matibabu na kunitia moyo, Mungu awabariki...
9 Reactions
136 Replies
7K Views
Habari wakuu, nimewaandalia video fupi kuelezea juu ya mbinu za kujiepusha na magonjwa hasa yatokanayo na kufeli au kudhoofika kwa Figo na mfumo wa mkojo kwa ujumla, hope utaelimika na kuiishi uwe...
4 Reactions
10 Replies
752 Views
Hello bosses and roses.... Afya Mingle App ni suluhisho lako kwa mambo ya Afya na Mahusiano. Ni app pekee hapa Tanzania ambayo inakuwezesha kuwasiliana na madaktari wabobevu lakini pia kupata...
1 Reactions
5 Replies
456 Views
Habari ya asubuhi Kuna uwezekano wa mtu kupata mimba ikiwa alitumia p2 baada ya tendo? Na ikiwa within a week baada ya Kutumia P2 alifanya tena tendo lakini hakuchukua tahadhari yoyote, let's...
7 Reactions
53 Replies
2K Views
Human Papillomavirus (HPV) ni virusi ambavyo vinaenea kwa urahisi kupitia uhusiano wa kimwili. Ni moja ya maambukizi ya zinaa yenye ushawishi mkubwa katika afya ya uzazi...
5 Reactions
2 Replies
874 Views
Kama Rais msisitizo utakuwa kwenye hizi njia mbili Predict all cycles of abnormal protein mutation Integrate all cycles of target abnormal protein mutation into single equation so as it can be...
8 Reactions
71 Replies
2K Views
Karibu Dr'sonline polyclinic Online Clinic – Huduma za Afya Mtandaoni, Haraka na Salama Karibu kwenye kliniki ya kisasa ya mtandaoni inayokupa huduma bora za afya ukiwa popote ulipo. Kupitia...
0 Reactions
0 Replies
222 Views
Wakuu habari zenu, nina miezi 2 toka nioe. Cha ajabu mke wangu kila ifikapo tendo la ndoa anadai anaumia na hata tukisex anataka bao 1 tu nikiongeza la pili anaumia tena sana. MSAADA WAKUU MAANA...
12 Reactions
206 Replies
14K Views
Kuna tatizo la tumbo kuuma limenianza kama siku tano hivi Chakula kikipungua kidogo tu tumbo linaniuma kitu ambacho sio kawaida yangu Hapa penyewe linaniuma nafanya hima nikanywe supu ili...
5 Reactions
93 Replies
5K Views
Salaam! Huko mahospitalini tunaona kuwa gharama za baadhi ya vipimo ni za chini na nyingine ni za juu na vingine juu sana. Hii inapelekea hata baadhi ya vifurushi vya Bima za Afya kutokujumuisha...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
READ NEXT PID Kwa Mama Mjamzito. Fangasi ukeni (vaginal yeast infection) husababishwa na kuongezeka kupita kiasi kwa fangasi aitwaye Candida albicans. Fangasi hawa kwa kawaida huishi ukeni bila...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Dawa ya miguu kuwaka moto🤔 🗣️leo nitapenda kuelekeza Dawa ya miguu kuwaka moto au kufa ganzi au kupoza au kuuma. chukuwa shabu vijiko 4 vikubwa chemsha kwenye maji ya ya Lita mbili kisha...
2 Reactions
2 Replies
806 Views
Dear Doctors, Kila nikiamka asubuhi nina mafua na chafya nyingi sana. Yani hii inaniumiza na situmii dawa yoyote kwa mazoea tu. Pia muda mwingine kama mchana/ jioni nayapata kutokana na...
2 Reactions
443 Replies
276K Views
Wana Jf tafadhari naomba kama kunamtu anajua dawa ya kuzibua mirija ya uzazi , kwani nimepima hospitali wamesema mirija imeziba siwezi kupata ujauzito.
0 Reactions
149 Replies
143K Views
Habarini wanajukwaa la JF Doctor. Nisiwachoshe na niende moja kwa moja kwenye mada, kutokana na matumizi ya vifaa vya kiumeme hasa runinga, kompyuta na smartphone kwa muda mrefu nimejikuta...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Naombeni ushauri nn nifanye Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua. Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Back
Top Bottom