Habari wanawake wenzangu,
Poleni na majukumu, leo nimependa niwaletee huu ujuzi kidogo ambao nina ushuhuda nao, niliona post sehemu nikajaribu na ikanipa majibu ndani ya siku 3.
Kuna wanawake...
Naomba anayefahamu ninapoweza kuusaidiwa matatizo ya ngozi, miaka mingi sasa vikiota usoni kama chunusi basi ni vijipu, kwapa huota kama vijipu vidogo vdogo, sehemu za masikio vile vile, na sehem...
Habar wakuu nauliza mtoto wangu Umri maiak9,tumeingia kwenye kipimo Cha MRI kwa ajili ya tatizo lake la mgongo Sasa mtoto anasumbua kweli hatulii kwenye mashine nikulia tu mwanzo mwisho,
Je kuna...
Salaam, mimi nilie mdogo kati yenu nawasalimu.
Kwanza kabisa napenda kutambua mchango mkubwa na matokeo chanya yatokanayo na kampeni ya huduma za kibingwa katika Hospitali za wilaya na baadhi ya...
Habarini ndugu Zangu, mwaka juzi nilikuja kuomba msaada hapa jukwaani wa kukosa uwezo wa kishiriki tendo la ndoa. Watu mbali mbali walijitolea kunielekeza matibabu na kunitia moyo, Mungu awabariki...
Habari wakuu, nimewaandalia video fupi kuelezea juu ya mbinu za kujiepusha na magonjwa hasa yatokanayo na kufeli au kudhoofika kwa Figo na mfumo wa mkojo kwa ujumla, hope utaelimika na kuiishi uwe...
Hello bosses and roses....
Afya Mingle App ni suluhisho lako kwa mambo ya Afya na Mahusiano.
Ni app pekee hapa Tanzania ambayo inakuwezesha kuwasiliana na madaktari wabobevu lakini pia kupata...
Habari ya asubuhi
Kuna uwezekano wa mtu kupata mimba ikiwa alitumia p2 baada ya tendo?
Na ikiwa within a week baada ya Kutumia P2 alifanya tena tendo lakini hakuchukua tahadhari yoyote, let's...
Human Papillomavirus (HPV) ni virusi ambavyo vinaenea kwa urahisi kupitia uhusiano wa kimwili. Ni moja ya maambukizi ya zinaa yenye ushawishi mkubwa katika afya ya uzazi...
Kama Rais msisitizo utakuwa kwenye hizi njia mbili
Predict all cycles of abnormal protein mutation
Integrate all cycles of target abnormal protein mutation into single equation so as it can be...
Karibu Dr'sonline polyclinic
Online Clinic – Huduma za Afya Mtandaoni, Haraka na Salama
Karibu kwenye kliniki ya kisasa ya mtandaoni inayokupa huduma bora za afya ukiwa popote ulipo. Kupitia...
Wakuu habari zenu, nina miezi 2 toka nioe.
Cha ajabu mke wangu kila ifikapo tendo la ndoa anadai anaumia na hata tukisex anataka bao 1 tu nikiongeza la pili anaumia tena sana.
MSAADA WAKUU MAANA...
Kuna tatizo la tumbo kuuma limenianza kama siku tano hivi
Chakula kikipungua kidogo tu tumbo linaniuma kitu ambacho sio kawaida yangu
Hapa penyewe linaniuma nafanya hima nikanywe supu ili...
Salaam! Huko mahospitalini tunaona kuwa gharama za baadhi ya vipimo ni za chini na nyingine ni za juu na vingine juu sana. Hii inapelekea hata baadhi ya vifurushi vya Bima za Afya kutokujumuisha...
READ NEXT
PID Kwa Mama Mjamzito.
Fangasi ukeni (vaginal yeast infection) husababishwa na kuongezeka kupita kiasi kwa fangasi aitwaye Candida albicans. Fangasi hawa kwa kawaida huishi ukeni bila...
Dawa ya miguu kuwaka moto🤔
🗣️leo nitapenda kuelekeza Dawa ya miguu kuwaka moto au kufa ganzi au kupoza au kuuma.
chukuwa shabu vijiko 4
vikubwa chemsha kwenye maji ya ya Lita mbili kisha...
Dear Doctors,
Kila nikiamka asubuhi nina mafua na chafya nyingi sana. Yani hii inaniumiza na situmii dawa yoyote kwa mazoea tu.
Pia muda mwingine kama mchana/ jioni nayapata kutokana na...
Wana Jf tafadhari naomba kama kunamtu anajua dawa ya kuzibua mirija ya uzazi , kwani nimepima hospitali wamesema mirija imeziba siwezi kupata ujauzito.
Habarini wanajukwaa la JF Doctor.
Nisiwachoshe na niende moja kwa moja kwenye mada, kutokana na matumizi ya vifaa vya kiumeme hasa runinga, kompyuta na smartphone kwa muda mrefu nimejikuta...
Naombeni ushauri nn nifanye
Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.