Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Nina mwaka wa nne sasa kwenye ndoa yangu. Mimi na mke wangu tuna watoto wawili, ila kuna jambo ambalo ashakum si matusi limekuwa likinipa kero sana na kuwa na maswali mengi. Mke wangu anapenda...
17 Reactions
237 Replies
57K Views
Ndugu poleni na mjukumu ya kutwa nzima. Wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote. Mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini...
11 Reactions
86 Replies
44K Views
Jamani mwanamke wangu nayetegemea kumuoa ana matatizo ya kukojoa kitandani na alishindwa kunambia hadi baadae alipoamua kufanya hivyo. Naombeni msaada wa jinsi ya kumsaidia ili tuendelee na...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo linaloathiri wanaume wengi, mara nyingi bila wao kujua, hadi pale hali inapokuwa mbaya na kuanza kuathiri heshima na furaha ya ndoa. Kupitia dalili hizi...
0 Reactions
1 Replies
797 Views
Wakuu habarini, Mimi siyo mtaalamu wa AFYA bali ni mdau tu wa Afya. Leo napenda kuwakumbusha ndugu zangu tuwe na utaratibu wa kunywa dawa za minyoo kila baada ya miezi mitatu. Ahsanteni natumai...
5 Reactions
50 Replies
15K Views
Wadau naomba anayejua sayansi hii, ni lazima kila nikikojoa nijambe?
4 Reactions
81 Replies
17K Views
Habari zenu Wana jf poleni na misukosuko ya maisha. Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani twenty four hours na hili tatizo lilianza tangu nije hapa kwa wahindi maana nakaa...
8 Reactions
88 Replies
7K Views
Habari wana Jf, mke wangu ana ujauzito wa wiki nane Kwa mjini wa ultrasound, ila amekuwa akipitia kipindi kigumu Sana ikiwemo tumbo kuuma sana Jambo ambalo naona kuwa linaweza kuwa hatari kwake...
1 Reactions
3 Replies
384 Views
Asubuhi Haianzi na Mkate Wala Chai ya Sukari… Asubuhi Haianzi na Mkate Wala Chai ya Sukari… Hiyo ni hatari kwa afya yako. Asubuhi ya kweli inaanza na heshima kwa mwili wako — kumpa lishe sahihi...
3 Reactions
5 Replies
622 Views
Naamini umeishakutana na watu wasemao: “Mimi sipendi ndizi, sipendi dagaa, mimi sipendi parachichi, sitaki mboga fulani, sitaki kula chakula hiki wala kile, chakula changu ni chips mayai na soda.”...
1 Reactions
7 Replies
711 Views
Nimewasiliana na Watabibu wengi wanaodai wana dawa za kuponya Kisukari (diabetes) lakini kila ninayemuomba atume sampo au dozi ya mgonjwa mmoja tuone kweli kama inafanya kazi wanataka ilipiwe...
15 Reactions
84 Replies
4K Views
Tembea KWA miguu umbali wa kukutosha. Kama Kuna vilima na miinuko itakuwa Bora zaidi. Kama huna muda, paki gari yako mbali au shuka KITUo kimoja au viwili kabla ya eneo lengwa Tembea KWA miguu...
37 Reactions
145 Replies
7K Views
Habari wanajamvi. Kuna mama ana mtoto wa miezi 4 na amepatwa na hali ya ajabu maziwa ya kumnyonyesha mtoto yamekata ghafla. Hii hali inasababishwa na kitu gani maziwa ya mama yakate ghafla?
1 Reactions
14 Replies
778 Views
Habari za jioni wakuu Nilienda kituo cha afya nikaambiwa jino la juu ukitoa linaweza kusababisha kifo maana limeunganika na mishipa ya fahamu,naomba kujua kama kuna ukweli wa swala hili? Pia...
0 Reactions
128 Replies
167K Views
Jamani naomba ushauri, nikisimamisha uume haya kidogo tu vinatoka vi ute ute kama maji mazito kama matone, nifanyaje kuzuia hiyo hali?
2 Reactions
13 Replies
983 Views
faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza karne ya 19 baada ya uvumbuzi wa viwanda na mapinduzi yake yaliyoambatana na...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Tafadhari wapwa tiba ya fasta ya ugonjwa wa Empox ni ipi..je kuna sindano au tiba mbadala ya kuponyesha fasta hivi vipele vyake.
4 Reactions
6 Replies
638 Views
Usipuuze Ukwaju – Dawa Asilia Inayofuta Maradhi Kimya Kimya! 💊 Ukwaju siyo tu kitamu kwenye juisi au mboga… ni hazina ya tiba ya asili iliyothibitishwa na sayansi. Wakati mwingine tunapuuza...
4 Reactions
9 Replies
670 Views
Siku hizi kila kona mitaani, mitandaoni na hata makazini, kila mtu anajua “dawa” fulani ya kuongeza nguvu za kiume. Lakini cha kushangaza, kadri muda unavyosonga, ndivyo tatizo la upungufu wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom