Watumishi Kada ya Elimu na Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda wanafanya kazi kwa presha sanaa, maana Wananchi wanawapigia viongozi sana kulalamika wakati kazi inafanyika.
Kinachotokea...
Ninatumia dawa za h-pylori dozi ya pili leo natimiza wiki moja ila sipati afueni yoyote kizunguzungu km nataka kuanguka bado kipo mwili kujiskia vibaya hali bado ipo,nikitembea kdg tu maruerue km...
Habari za muda huu wadau, najua kila mmoja wetu anaelewa kuwa kabla ya bidhaa yeyote ile kabla ya kuingia sokoni na kumfikia mtumiaji wa mwisho lazima ipitie.
Kwenye majaribio mbalimbali...
Ni karne nyingi tumekuwa tukiaminishwa kwamba chumvi ni hatari katika mwili wa binadamu lakini sijawahi kusikia habari za sukar kupigiwa chapuo kuwa ina athari.
Kama chumvi ina athari katika...
Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku...
Nimetimiza zile siku za kusubiria ili nikapime tena wakuu mdudu bado yupo ila hakuna kuumwa tumbo ni kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka, mwili kuchoka, kuhisi kama kuna kitu hapa...
Habari za wakati huu,
Usingizi sio anasa — ni tiba ya mwili na akili.
Watu wengi wanapuuza kulala vizuri wakidhani ni kupoteza muda. Ukweli ni huu: ukikosa usingizi wa kutosha, unajinyima nguvu...
Wale wenzenu mnaowaiga wanafanya enema na mitalo inakuwa misafi then wanafanya yao ila nyie mnaenda kichwa kichwa kuiga dhambi msizozijua.
Kushiriki uzibuaji bila ya kuvaa gloves kunaweza...
Vinyama vya Ajabu Vinavyotokea Kimya Kimya (HPV)
Mara nyingi vinaanza vidogo, bila maumivu au kuwasha, lakini huendelea kukua taratibu bila onyo.
Hivi si vinyama vya kawaida — ni genital warts...
Zifuatazo ni sababu kuu zinazoweza kusababisha mwanamke kukosa ujauzito (utasa). Tatizo linaweza kutoka kwa mwanamke, mwanaume, au wote wawili.
🌸 SABABU ZA MWANAMKE
1️⃣ Matatizo ya ovulation...
Habari zenu
Vipendhy nina shida kdg hapa kifuani upande wa kushoto kuna baadhi ya muda nahisi kama kuna kitu nimeenda hosptal wakaniambia ni gas tu wakanipa dawa ila nikawaomba wanipime moyo...
Msaada Wataalam: Kuanzia tarehe 8-9-10-11-12 mwezi huu nilifanya mapezi na shemeji yenu nikasafiri, nikiwa sipo nyumbani tarehe 20 alinipigia simu akaniambia anaumwa anatokwa maji maji ya rangi...
Kama title ya thread ilivyo hapo juu.
Naomba kwa anayefahamu dawa ya fangasi kando kando ya pumbu (korodani) zinakolalia (mapajani) zinasumbua sana sana Kwakweli.
Anaye fahamu dawa naomba...
Kipindi mgeni mazingira haya joto limenitesa sana ikafika kipindi najikuna sana makwapani mapele na mpaka leo makwapa meusi ingawa sijikuni tena
Sasa nilipooa na kumleta mke wangu naona naye...
Watoa huduma za afya nchini Tanzania wamepewa nyongeza ya mwezi mmoja kukamilisha usajili wa lazima wa kitaaluma, kufuatia malalamiko mengi kuhusu changamoto za kiufundi katika mfumo wa mtandaoni...
Daktari nguli toka Zambia ametoa tamko kupitia Facebook ambalo wapenda punyeto huenda wakalifurahia sana. Binafsi sina facts za kisayansi kumpinga ila kulingana na ongezeko la wauza dawa za nguvu...
Wakuu nasumbuliwa na maumivu makali upande mmoja wa uso kwenye shavu karibu na sikio. Maumivu haya yanakuja kila baada ya kupita muda fulani inaweza ikawa nusu saa, lisaa au masaa kadhaa, yakija...
Mambo vipendhy
Husika na mada apo juu je, macho yanachangia na mtu kujiskia kichwa kizito?
Mda mwengine kama kupata kizunguzungu mda huo huo ninavyojiskia hivyo na macho pia huwa kama yanavuta...
Habari za wakati huu wapendwa,Naomba niwaelezee tatizo langu pengine mnaweza kunisaidia Nina shida moja sijui ni aleji ama ni nini maana niliwai enda hosptal ya wilaya hawakuona tatizo,pia kipato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.