phd1919
Member
- Dec 18, 2016
- 26
- 29
Habari za muda huu wadau, najua kila mmoja wetu anaelewa kuwa kabla ya bidhaa yeyote ile kabla ya kuingia sokoni na kumfikia mtumiaji wa mwisho lazima ipitie.
Kwenye majaribio mbalimbali kujidhihirisha ubora wake watu wa quality conteol watakuwa wanaelewa haya mambo... Swal langu je ni njia zipi zinatumika kufanya majaribio au kuchek quality ya hizi condomu kabla ya kutufikia sisi watumiaji wa mwisho?
Sababu naona zimekuwa too easy kuapsuka. Kias cha kwamba mtu unakiwa unauza. Mechi kijinga... Mwenye uelewa wa hili jambo anihabarishe.
Shukrani.
Kwenye majaribio mbalimbali kujidhihirisha ubora wake watu wa quality conteol watakuwa wanaelewa haya mambo... Swal langu je ni njia zipi zinatumika kufanya majaribio au kuchek quality ya hizi condomu kabla ya kutufikia sisi watumiaji wa mwisho?
Sababu naona zimekuwa too easy kuapsuka. Kias cha kwamba mtu unakiwa unauza. Mechi kijinga... Mwenye uelewa wa hili jambo anihabarishe.
Shukrani.