Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Ni wazi kuwa tumepata kuona kwenye vituo vyetu mbalimbali vya afya wagonjwa wa Hydrocephalus, watoto wetu wamekuwa wakipata matatizo haya kwa kiwango kikubwa. Kwa zaidi ya miaka 10 nimekuwa...
0 Reactions
2 Replies
474 Views
Zaidi usiku ndio nawashwa sana wakuu. Halafu hakuna vipele wala redness. Nisaidieni dawa maana makebo yanaungua wakuu
13 Reactions
73 Replies
1K Views
Nimekuwa nikimletea chakula apendavyo na huwa ananiagiza yeye,lakini matokeo yake unakuta hajala,ukimuuliza why haujala atakwambia nlipoikula kdg nilitapika. Leo kaniagiza chapati, mandazi na...
2 Reactions
11 Replies
399 Views
Hayo amesema Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa wakati akizindua kampeni ya Jua Namba Yako, Mei 4, 2026, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sokou - Toure, Jijini Mwanza. Pia soma: ~ Kwanini...
0 Reactions
3 Replies
220 Views
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema hayo Mei 4, 2026 alipokuwa mkoani Mwanza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya “Jua Namba Zako”. Waziri Mchengerwa amesisitiza kuwa Taifa lina uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Je, ni kweli kuwa Mwanaume akiwa anapiga Katerero anakuna kwa nje katika Kisimi na kupitisha Uume kwa nje katika Uke (pasipo kuingiza Uume ndani) sehemu za Siri za Mwanamke aliyeathirika kamwe au...
0 Reactions
4 Replies
239 Views
Habari wakuu Naomba msaada wenu watoto wangu Kila ukifika usiku wakiwa wamelala hung'ata meno hili itakua ni tatizo Gani
3 Reactions
3 Replies
154 Views
Nina mgonjwa wangu ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure (Mwanza), moja ya changamoto ambayo nimeishuhudia hapa ni kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme kukatika mara kwa...
3 Reactions
3 Replies
500 Views
Wakuu kwema? Uume wangu linawasha kwambaali kipindi nakojoa kama sijanywa maji mengi. Hii ni kawaida?
3 Reactions
16 Replies
291 Views
Ukichunguza vizuri sio kwa ubaya wala majivuno utagundua watu wanaoishi kwakutegemea ngano na bidhaa zake kama chakula wana afya nzuri ya mwili na akili tofauti na mataifa yanayotegemea mahindi na...
4 Reactions
16 Replies
241 Views
Hi ni maalumu kwa wanawake wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ya mifumo ya uzazi. Kuhusu Wanaume nilishaandika Sana hapa. Leo ninawapa mchanganyiko maalumu wa mimea tiba ambao inaweza kuponya...
3 Reactions
6 Replies
618 Views
Skip breakfast mchana kula kwa kiasi tena mchemsho mpaka kesho mchana tena Achana na sukari mafuta pombe na vyakula vya kukaanga, yote kwa yote fasting ndio mpango mzima
17 Reactions
50 Replies
738 Views
Habari zenu ndugu zangu. Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto. Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona...
6 Reactions
131 Replies
6K Views
Naomba nielewesheni pole pole bila kunigombeza kwanini ndani ya siku 4 presha yangu imebadilika hivi? Je, hapa ndo mtu anakuwa tayari ni muhanga wa presha? Sijaonana na daktari nimepima tu kujua...
2 Reactions
30 Replies
438 Views
Waungwana hamjambo? Twende kwenye mada moja kwa moja . Kwa hivi karibuni nimefanya utafiti na kugundua kuwa watu wengi sana wanasumbuliwa na changamoto ya harufu mbaya kinywani sio Wanawake au...
9 Reactions
41 Replies
719 Views
😊, kujichua (masturbation) kwa mwanaume kuna faida kadhaa kiafya na kisaikolojia, ingawa pia ina mambo ya kuzingatia. Faida zinazojulikana Kupunguza msongo wa mawazo (stress) – Wakati wa kufika...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Mara nyingi watu wenye chuki na hasira huonekana kama watu hatari je vitu ivyo ni matatizo ya akili na je nikosa kisheria za kimataifa?
2 Reactions
1 Replies
107 Views
Je ni kweli bangi,sigara hazina faida hata kidogo kwa mvutaji au kuna jambo linafichwa na kwanini dunia nzima watu hutumia ingawaje inapigwa vita?
0 Reactions
3 Replies
136 Views
Kuna kamtindo cha baadhi ya watu kubeza wenzao kuhusu ugonjwa fulani ambao umemkuba au unamsumbua kwa sababu tu ya mambo ya ku view majambo ya dunia au ushabiki fulani, ikitoka kutofautiana huko...
2 Reactions
3 Replies
130 Views
Ilianza na kasehemu kadogo kuwasha then kuanza vipele vidogo, now vimekua kama kidonda ingawa ni kasehem kadogo ka uume, haviumi sana. Kuna dokta jiran nilimuonyesha nikamwambia last j'mosi...
2 Reactions
235 Replies
105K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…