Hali ni mbaya mno huko Israel, Iran anazidi kuipasua hilo taifa vipande vipande..
Jamaa wanashusha kipigo kama kile cha Sodoma na Gomora
Jana wamerusha kombora hatari la kohramshahr 4 lenye...
Kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Tawala za Mikoa, ilieleza kuwa vyama hivyo vimeshindwa kutimiza wajibu wao wa kisheria, na kuamuru kusitishwa kwa shughuli za vyama hivyo pamoja na...
China imesema inapinga hatua yoyote ya kumlenga kiongozi mpya wa juu wa Iran, Mojtaba Khamenei, kufuatia vitisho vilivyotolewa na jeshi la Israel dhidi ya mrithi huyo wa baba yake aliyeuawa, Ali...
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) limetangaza kufunga mfereji maarufu wa Harmuz (Strait of Hormuz) ambao ni maalum kwa kupitisha meli za mafuta kwa meli zinazotoka Marekani, Israel na...
Jeshi la Israeli lime toa tishio jipya dhidi ya viongozi wa Iran, likisema litawafuatilia wote watakaofuata Khamenei, ambaye aliuawa katika mashambulizi ya Marekani-Israeli mnamo Februari 28...
Jamaa wameanza kutumia makombora mapya na yenye kasi aina ya Hypesonic
[emoji599] BREAKING:
Iranian President Masoud Pezeshkian:
We have entered a new phase of the war. Tehran has finished its...
Simu moja toka ikulu ya dodom...aa,, hello captain natumai ni mzima//
Habari za mashariki nadhani unaziona,, Ziko tofauti usifaninishe na Goma//
Ripoti kikosi cha anga kile cha kigoma,, Usiage mtu...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hajafurahishwa na taarifa kwamba Mojtaba Khamenei amepewa nafasi ya kuwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran baada ya kifo cha Ayatollah Ali Khamenei.
Trump...
Kwenye vita inayoendelea kati ya Israel na Iran, Kuna mambo yananishangaza Sana, lakini hili moja limezidi mengine.
Kila Israel ikishambuliwa zinaonekana juhudi za kuficha madhara yanayotokana na...
Kwanza nianze kwakusema hakuna anayefurahia mauaji yanayotokea kwa raia wasio na hatia pande zote mbili Iran na Israel,kwakuwa wao ni victim tu au wahanga tu
Twende kazi.....
Mzee wa hovyo Trump...
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameashiria kuwa serikali yake bado inalenga kuiondoa madarakani serikali ya Cuba, licha ya vita vinavyoendelea kati ya Israel na Marekani dhidi ya Iran kuingia wiki...
Nimekaa na kuwaza kwa kina pamoja na ukweli kwamba imani yangu haifungamani na upande wowote, ni vizuri ukajiuliza.
Wengi wa wachambuzi wanakimbilia maandiko yamesema kwamba iran itapotea kwenye...
Nyumba ya Waziri Mkuu wa Israel Bwa Benjamin Netanyahu imepigwa na kombora la Iran Leo tarehe 10 March 2026.
Inasemekana Kaka wa Benjamin amekufa ila hatma ya Waziri Mkuu mwenyewe hajulikani...
Televisheni ya Iran imetangaza kwamba Mojtaba Khamenei amejeruhiwa vibaya.
Conspiracy Theory,
"Inawezekana Mojtaba Khamenei, mwana wa Ali na kiongozi mkuu mpya, TAYARI AMEKUFA na alikufa katika...
Nchi za Mashariki ya Kati na Ghuba, pamoja na Marekani, zimeiomba Ukraine iwauzie vifaa vya kuzuia ndege zisizo na rubani ili kukabiliana na ndege zisizo na rubani za "Shahed" za Iran. Lakini Kiev...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.