Huu ni unabii very simple lakini mtu mwenye kuchunguza maandiko kwa makini atang'amua maana yake iliyo pana.
1. Internet inasaidia
2. Vita za wenyewe kwa wenyewe zilizotokea nchi za Kiislamu na...
Jamaa wamesema sahivi wataanza kutumia yenye kubeba vichwa vya zaidi ya tani moja
Sasahivi Iran anajipigia anavyotaka tu
Hakuna cha Iron dome wala Arab Dome
Taifa teule linatangwa bila huruma...
Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.
Umewaona Hezbullah au bado
https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI...
Katika mahojiano maalum, Mshauri wa Sera za Mambo ya Nje katika ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Kamal Kharazi, alimwambia mwandishi wa CNN Frederik Pleitgen kuwa ni “simulizi la uongo” kudai...
CHANZO CHA PICHA,DIANA CHANDO
Maelezo ya picha,Balozi wa vijana Umoja wa Afrika -AUMaelezo kuhusu taarifa
Author,Na Esther Namuhisa
Nafasi,BBC News, Dar es Salaam
Saa 7 zilizopita
"Unajua mimi...
Kumekuwa na wasiwasi kuwa vita dhidi ya Iran huenda ikadumu muda mrefu! Lahasha kwa vita hii kinyume na hofu iliyopo utadumu muda mfupi na usikute Wayahudi wakasherehekea Pesach bila ya Tishio...
Israel imekua ikitumia mbinu wa kuua viongozi wa juu kisiasa au kijeshi katika serikali[ Iran ] na makundi hasimu kama Hamas,Hezbollah,Houthi je, mbinu hii ina faida kimedani kwao au ipo tu...
Hili ni onyo Kwa watu na mataifa yote yenye chuki juu ya Taifa Israel waache wafanye mambo mengine
Hili taifa Lina zaidi miaka elfu sita duniani na tangu kuanzishwa kwake ni vita tupu .
Kwa...
Hii meli ilikua imejificha baharini, kazi yake kutuma mamia ya drones, imekutwa huko huko na kufutwa kwenye uso wa dunia. Yaani Iran imesambaratishwa na kuachwa hoi kabisa, kiasi kwamba hivi...
⭕️Kim Jong Un has appointed his 13-year-old daughter as head of North Korea's nuclear forces — The Chosun Daily.
Experts believe that she will eventually take command of the People's Army.
The...
Wakuu,
Naona huko Zimbabwe napo wameanza kujifunza mbinu za Malawi. Yaani kuna huyu kiongozi wa upinzani hajulikani hadi sahivi.
Kiongozi wa Jukwaa la Watetezi wa Katiba (CDF), Tendai Biti huko...
Iran imerusha makombora yake ya kwanza kuelekea Israeli leo Jumatatu Machi 09, 2026 baada ya kuteuliwa kwa Kiongozi mpya mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu, Ayatollah Seyyed Mojtaba Khamenei.
Kituo cha...
Basi lililokuwa likibeba timu ya wanawake ya soka ya Iran lilipokuwa linatoka, hali ghafla ikageuka kuwa ya kutisha pale wachezaji walipoanza kutoa ishara ya kuomba msaada wakiwa ndani ya basi...
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.
Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho...
Ni kweli Meli ya Marekani ililipuliwa na makombora ya Irani kwa ushahidi wa vigezo vifuatavyo,unaweza kuondoa siraha muhimu katikati ya vita?na hii vita Mmarekani anaenda kupoteza na ndiyo utakuwa...
Magaidi waliokuwa wanatafutwa na Majeshi ya Israel kwa mauaji ya Oct 07,2023 hatimaye nao jana walipatikana na kuuwawa walipokuwa kwenye Gari lao.
Adiosamigo gallow bird zitto junior na 100...
Chuo Kikuu cha Karachi (KU) nchini Pakistan Machi 7 2026 kimetangaza kuwa vipindi vyote ya asubuhi vitafanyika kwa njia ya mtandao kuanzia hadi mwisho wa mwezi wa Ramazan.
Kwa mujibu wa msemaji...
Religion fanatics piteni mbali
Hakika natangulia kusema ni kazi tukufu kweli kweli inayofanywa na haya mataifa mawili.
Dunia ya sasa na ijayo ni dunia ya amani,uhuru na haki ile dunia ya zama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.