International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Iran ilikuwa ikijivunia kuficha na ku hifadhi Mabomu na Makombola yao chini ya ardhi mpango wao huo umebuma baada ya tecknolojia ya Israel kuyagundua yalipo na kuwaangamiza. Hili ni pigo kubwa...
6 Reactions
43 Replies
946 Views
Wanaukumbi. Waziri wa Nishati wa Marekani Chris Wright anasema kuwa jeshi la wanamaji la nchi yake haliko tayari kusindikiza meli za mafuta kupitia Mlango wa bahari wa Hormuz. Hakuwa akisema...
5 Reactions
11 Replies
496 Views
Iliyoorodheshwa: Wauzaji Wakubwa wa silaha duniani. Biashara ya silaha duniani imejikita zaidi miongoni mwa nchi chache, huku Marekani ikiwa mbele sana kuliko wasambazaji wengine wote. Kuanzia...
4 Reactions
4 Replies
290 Views
Marekani amekuwa anaiwaza na kujipanga na vita dhidi ya Iran kwa miaka zaidi ya 40 sasa. Siku zimekwenda, nyakati zimefika, na vita nayo imefika. Pande zote mbili zipo kwenye "theater of war"...
11 Reactions
73 Replies
1K Views
Ukisoma Waamuzi 7 kuanzia 22, Wamidiani walidhamiria kuifuta Israel, wakaja wengi mno yaani kwa silaha na kwa walivyokua wamejiandaa, wangeifuta Israel isahaulike, ila Gidioni kwa idadi ya...
1 Reactions
5 Replies
203 Views
Kumekuwepo na propaganda nyingi sana Jamii forums 1. Serikali ya Iran haipendwi 2. Viongozi wamejificha kwa kuogopa USA. 3. Hakuna air defense wala chochote cha kulinda nchi dhidi ya...
9 Reactions
52 Replies
910 Views
Chama cha Scottish National Party (SNP) kimepitisha azimio linalounga mkono uhuru wa Scotland, likiitaka Serikali ya United Kingdom kuanza maandalizi ya kujitoa kwa Scotland katika Muungano wa...
2 Reactions
7 Replies
349 Views
Makampuni kadhaa makubwa ya mafuta pamoja na makampuni ya usambazaji wa mafuta na petroli yamesitisha kwa muda usafirishaji wa mafuta, petroli na bidhaa kupitia Strait of Hormuz kutokana na...
2 Reactions
4 Replies
282 Views
Ishu inaendelea kuwa serious....It seems kuna majasusi wa Mossad wanaofanya kazi kwa niaba ya Iran wamemuuza Last public appearance yake ilikua alivyoenda kutembelea sehemu palipoathirika na...
14 Reactions
152 Replies
3K Views
Uajemi na umedi ni Dola kubwa lilotawala ulimwengu miaka mingi kabla ya Kristo Baada ya hapo ndipo warumi wakatawala Dunia Kwa muda mrefu sana Hadi Leo alama zake tunaziona Baada ya Rumi...
2 Reactions
34 Replies
611 Views
Trump anaomba mazungumzo wala sio Iran, sababu ya Trump kuomba mazungumzo silaha zao zimesambaratishwa na Iran. Pia kuna habari wanaficha kuongelea walio kufa na walio umia kuna nchi moja uarabuni...
17 Reactions
116 Replies
2K Views
Hotuba yake imesomwa kwenye vyombo vya habari na haya ndiyo yaliyojiri:- Kiongozi Mkuu mpya wa Iran amezungumza sasa hivi, na ni mbaya zaidi kuliko nilivyotarajia. Kauli kuu: 1.“Vituo vyote vya...
11 Reactions
65 Replies
1K Views
Sri Lanka kurejesha mabaki ya wanamaji 84 wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani. Sri Lanka inarejesha mabaki ya wanamaji 84 wa Iran waliokufa wakati frigate yao ilizamishwa siku tisa...
2 Reactions
4 Replies
254 Views
  • Redirect
Chama cha SNP kimepitisha azimio linalotaka Serikali ya Uingereza ianze maandalizi ya kuondoka kwa Skotland kutoka Umoja wa Madola. Azimio hilo, lililotolewa na chama cha jimbo la Glasgow...
0 Reactions
Replies
Views
Nyumba za kifahari za kiongozi mkuu mpya wa Iran Mojtaba Khamenei jijini London zilinunuliwa kwa mkopo kutoka kwa kampuni inayomilikiwa na Israel na Uingereza kwa mujibu wa uchunguzi wa Shomrim...
3 Reactions
5 Replies
231 Views
Rais Putin asaini waraka wa kuamuru majeshi ya Russia kuingia Ukraine kulinda amani ktk majimbo-yenye-uasi ya Luhansk na Donetsk Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia amesaini tamko rasmi/...
11 Reactions
446 Replies
43K Views
  • Redirect
Ikumbukwe kaka yake naye aliuwawa kishujaa wakati wa Entebe operation Israel imekuwa na mashujaa tangu enzi za Daudi Samson na Leo Netanyahu ameingia kwenye hiyo historia ya mashujaa wakubwa wa...
0 Reactions
Replies
Views
Walijikusanya wote pamoja na kuanza kuandamana huku wakilaani Marekani na Israel na kule kubwatuka kwao akbar akbar, ghafla kukalipuka mlipuko wakapoteana.... hawa hawajifunzi kwamba Myahudi ni...
4 Reactions
11 Replies
491 Views
Kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Nielezee kwa kifupi sababu halisi za vita hivi, ili mtu akijitia upumbavu iwe ni shauri yake. Maana kuna watu tayari wamejazwa punzi kuwa Iran ni...
25 Reactions
137 Replies
3K Views
HAPA KATI MH TRUMP ALISEMA BAADA YA IRAN KITUO KINACHOFWATA CUBA SASA RAIS MIGUEL KAONA ISIWE TABUU HERI...NUSI SHARI KULIKO SHARI ZIMA KITUO KINACHOFWATA KIMEGOMA UNAHISI NANI ANAFWATA ??CUBA...
4 Reactions
9 Replies
226 Views
Back
Top Bottom