Wanajamvi,vita kubwa mbili tofauti zinazohusisha ma Supapawa wa asili,hivi Sasa zinapiganwa hapa Dunia.
Vita ya kwanza ni Urusi dhidi ya Ukraine.
Vita ya pili ni Iran dhidi ya USA pamoja na...
Raia wa Sudan nchini uingereza baada ya kumuona mtawala wa Dubei na makamu wa rais falme za kiarabu Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum akikatiza mitaa ya London akizingirwa na jopo la walinzi...
Rapa Megan Thee Stallion na kampuni yake ya Roc Nation watalazimika kukabiliana na kesi mahakamani baada ya jaji kukataa kufuta baadhi ya madai yaliyowasilishwa na aliyekuwa mpiga picha wake...
Peter Frederiksen, a Danish gun shop owner living in Bloemfontein, South Africa, was arrested in September 2015 after police raided his home and found 21 labeled packages of surgically removed...
Wakati alipopanda jukwaani kuonyesha ustadi wake wa matibabu ya jadi ya Kichina (TCM), Rebaone Monama, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Johannesburg nchini Afrika Kusini, aliibua shangwe kubwa kwa...
Vicheko na shangwe vinasikika katika ukumbi wa filamu jijini Harare, mji mkuu wa Zimbabwe, siku ya Jumamosi, wakati matukio ya filamu maarufu ya vichekesho ya Kichina inayoitwa “One and Only”...
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesisitiza tena kukataa mpango wa hivi karibuni wa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu Gaza, akisema Israel haitaukubali mpango huo kama ulivyo. Kauli...
Mkurugenzi wa Mossad, Roman Gofman, amewaondoa maafisa wawili waandamizi wa shirika la ujasusi ambao walihusika kwa karibu katika kutengeneza mpango usiofanikiwa wa kuangusha utawala wa Iran...
Vikosi vya Usalama wa Ndani vya Syria huko Tartus vilikamata shehena ya silaha iliyokusudiwa kupelekewa magaidi wa Hezbollah nchini Lebanon, vikosi hivyo vilikamata bunduki za kiotomatiki, risasi...
Mama ka ya silaha za magaidi wa Hezbollah zimekamatwa na Majeshi hodari ya Israel ndani kabisa ya Lebanon baada ya msako makali unaoendeshwa huko na IDF!!!!!
Adiosamigo na Mzee wa UHARO Ritz...
● Waziri wa Ulinzi wa Pakistani Khawaja Asif katika mahojiano baada ya kusainiwa kwa muungano wa pande tatu wa ulinzi kati ya Saudi Arabia, Uturuki, na Pakistani:
Pakistani, Saudi Arabia, na...
Serbia itafungua kiwanda cha kutengeneza ndege zisizo na rubani katika eneo lake pamoja na Israeli.
Rais wa Serbia, Aleksandar Vučić:
Mnamo Septemba, kiwanda cha kutengeneza ndege zisizo na...
Afrika bana.... yaani uchague ufe kwa Ebola au kuuawa na magaidi wa uislamu....."Ukiinama mchale, ukiinuka mchale"...kuzaliwa Afrika ni laana kuanzia mwanzo...
======================
Rebels...
China imeonyesha ndege isiyo na rubani ya KVD002 ya upelelezi na mapigano ikishambulia shabaha ya baharini inayosonga wakati wa mazoezi ya kijeshi ya hivi karibuni, ikiashiria maonyesho ya kwanza...
Inaripotiwa kwamba Israeli imeifahamisha Marekani kwamba iko tayari kuishambulia Iran yenyewe ikiwa ni lazima maana nia wanayo,Uwezo pia wanao wa kuitia adabu Iran
Taifa la Israel lina haki na...
Jana kulifanyika uchaguzi wa gharama zaidi katika historia ya chaguzi za ndani ya Democrats, ambapo mgombea mwenye mrengo wa pro-palestine
Abdul El Sayed amemshinda mgombea aliyefadhiliwa na...
Ghana imeunganisha mfumo wake wa kitambulisho cha taifa, hatua inayowaruhusu watumiaji kufanya malipo, kutumia ATM na kufanya miamala ya kimataifa kwa kutumia Ghana Card.
Taasisi inayosimamia...
Hunter Biden ambaye ni Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani Joe Biden, ametoa taarifa kuhusu hali ya afya ya Baba yake akieleza kuwa hali yake si nzuri kwani ugonjwa unaomsumbua wa Saratani ya Tezi...
Mahakama nchini Senegal imewahukumu watengeneza maudhui watatu wa mtandao wa TikTok kifungo cha jela pamoja na kulipa faini kwa kosa la kumtukana Rais, kwa mujibu wa wakili wao. Hatua...
Wanajeshi wa IDF walipata na kuharibu njia ya chini ya ardhi iliyokuwa na roketi nyingi za mashirika ya kigaidi yanayofanya Ugaidi huko Gaza!! Katika shambulio hilo magaidi wengi waliangamizwa...