Mkurugenzi wa Mossad, Roman Gofman, amewaondoa maafisa wawili waandamizi wa shirika la ujasusi ambao walihusika kwa karibu katika kutengeneza mpango usiofanikiwa wa kuangusha utawala wa Iran...
Vikosi vya Usalama wa Ndani vya Syria huko Tartus vilikamata shehena ya silaha iliyokusudiwa kupelekewa magaidi wa Hezbollah nchini Lebanon, vikosi hivyo vilikamata bunduki za kiotomatiki, risasi...
Mama ka ya silaha za magaidi wa Hezbollah zimekamatwa na Majeshi hodari ya Israel ndani kabisa ya Lebanon baada ya msako makali unaoendeshwa huko na IDF!!!!!
Adiosamigo na Mzee wa UHARO Ritz...
● Waziri wa Ulinzi wa Pakistani Khawaja Asif katika mahojiano baada ya kusainiwa kwa muungano wa pande tatu wa ulinzi kati ya Saudi Arabia, Uturuki, na Pakistani:
Pakistani, Saudi Arabia, na...
Serbia itafungua kiwanda cha kutengeneza ndege zisizo na rubani katika eneo lake pamoja na Israeli.
Rais wa Serbia, Aleksandar Vučić:
Mnamo Septemba, kiwanda cha kutengeneza ndege zisizo na...
Afrika bana.... yaani uchague ufe kwa Ebola au kuuawa na magaidi wa uislamu....."Ukiinama mchale, ukiinuka mchale"...kuzaliwa Afrika ni laana kuanzia mwanzo...
======================
Rebels...
China imeonyesha ndege isiyo na rubani ya KVD002 ya upelelezi na mapigano ikishambulia shabaha ya baharini inayosonga wakati wa mazoezi ya kijeshi ya hivi karibuni, ikiashiria maonyesho ya kwanza...
Inaripotiwa kwamba Israeli imeifahamisha Marekani kwamba iko tayari kuishambulia Iran yenyewe ikiwa ni lazima maana nia wanayo,Uwezo pia wanao wa kuitia adabu Iran
Taifa la Israel lina haki na...
Jana kulifanyika uchaguzi wa gharama zaidi katika historia ya chaguzi za ndani ya Democrats, ambapo mgombea mwenye mrengo wa pro-palestine
Abdul El Sayed amemshinda mgombea aliyefadhiliwa na...
Ghana imeunganisha mfumo wake wa kitambulisho cha taifa, hatua inayowaruhusu watumiaji kufanya malipo, kutumia ATM na kufanya miamala ya kimataifa kwa kutumia Ghana Card.
Taasisi inayosimamia...
Hunter Biden ambaye ni Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani Joe Biden, ametoa taarifa kuhusu hali ya afya ya Baba yake akieleza kuwa hali yake si nzuri kwani ugonjwa unaomsumbua wa Saratani ya Tezi...
Mahakama nchini Senegal imewahukumu watengeneza maudhui watatu wa mtandao wa TikTok kifungo cha jela pamoja na kulipa faini kwa kosa la kumtukana Rais, kwa mujibu wa wakili wao. Hatua...
Wanajeshi wa IDF walipata na kuharibu njia ya chini ya ardhi iliyokuwa na roketi nyingi za mashirika ya kigaidi yanayofanya Ugaidi huko Gaza!! Katika shambulio hilo magaidi wengi waliangamizwa...
Mkuu wa majeshi wa zamani wa Ukraine ambae Sasa ni Balozi wa Ukraine nchini Uingereza amesema NATO wameshatumia silaha zao zote kwa Urusi,lakini Urusi imekua ikizitafutia suluhisho haraka sana...
Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani.
Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani.
Malalamiko...
Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani.
Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani.
Malalamiko...
China na Angola hivi karibuni zimesaini makubaliano kuhusu mradi wa ujenzi wa bandari mpya huko Barra do Dande wenye thamani ya dola milioni 900 za Kimarekani.
Angola ni moja ya nchi muhimu zaidi...
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali...
Lee Man-hee (wakati mwingine huandikwa Man Lee Hee), mwanzilishi wa Shincheonji Church of Jesus nchini Korea Kusini, alikamatwa tarehe 24 Juni 2026.
Sababu kuu za kukamatwa kwake ni tuhuma za...