International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemfuta kazi Spika wa Bunge la nchi hiyo, Jemma Nunu Kumba pamoja na Naibu wake, Permena Awerial Aluong, kupitia amri iliyosomwa bungeni Jumanne. Tangazo hilo...
1 Reactions
2 Replies
207 Views
Kitambulisho cha Mwokoaji wa Pambano cha Evader kiliwezesha ufuatiliaji salama, wa wakati halisi katika eneo la adui. Uokoaji uliofaulu wa rubani wa ndege ya kivita ya Marekani aina ya F-15E...
2 Reactions
1 Replies
143 Views
Ni ugunduzi wa muda kidogo. Namibia wamegundua karibu mapipa 11bilioni. Ni akiba ya tatu kwa ukubwa Afrika baada ya Libya na Nigeria. Mafuta hayo yamepatikana baharini na yanafika hadi South...
7 Reactions
19 Replies
314 Views
Waziri huyo wa ulinzi wa Marekani amesema kuwa vikosi vya Marekani vitafanya mashambulizi mengi zaidi dhidi ya Iran leo kuliko siku nyingine yoyote tangu vita vilipoanza, huku mipango ikiwa ni...
2 Reactions
2 Replies
212 Views
Rais wa Cameroon Paul Biya amemteua Mwanawe Franck Emmanuel Biya kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri na Mkuu wa Majeshi. Hivi karibuni Bunge la Cameroon liliidhinisha kwa wingi marekebisho ya Katiba...
3 Reactions
27 Replies
723 Views
Israel imetangaza askari wake wanne kuuawa huko Lebanon leo. Kinachozua maswali ni helicopter kumi kuhusika katika zoezi la uokoaji. Taarifa zingine zinadai askari 40 wa IDF walipoteza mawasiliano...
10 Reactions
64 Replies
996 Views
Hiyo ni taarifa ya Muda huuIran’s foreign ministry says the US operation to rescue a downed airman may have been a cover to “steal enriched uranium” from the country. . Iran’s foreign ministry...
2 Reactions
9 Replies
328 Views
Wengi wao hawajui sana dunia inavyoenda na huwa wanabase sana ktk maswali ya dini. Tofauti na wavhambuzi wa dini ya kiislam. Wengi wanaolikwa media za kimataifa ni wa dini ya kiislam Mfano vita...
3 Reactions
9 Replies
256 Views
Rais wa Marekani Donald Trump amezungumzia hali ya mvutano na changamoto za kiusalama zinazohusisha Iran akisisitiza ugumu wa kuingia katika mifumo ya Nchi hiyo kutokana na uimara wake wa kijeshi...
5 Reactions
7 Replies
279 Views
Burkina Faso imekanusha taarifa inayodai kuwa zaidi ya raia 1,800 wameuawa katika matukio yanayochukuliwa kama “uhalifu dhidi ya ubinadamu” tangu Ibrahim Traoré alipochukua madaraka kwa nguvu...
1 Reactions
2 Replies
155 Views
Wanaukumbi. Trump amekiri rasmi kwamba hakuna mshirika wake aliyejitokeza kumsaidia dhidi ya Iran 😭 Kwa mujibu wake, ametengwa kimataifa sasa. Yeye mwenyewe alitoa orodha hii 👇 🇰🇷 Korea Kusini...
3 Reactions
36 Replies
459 Views
Ndege ya MC‑130J iliyotumika kumuokoa mwanajeshi wa anga wa Marekani wa pili iligharimu zaidi ya dola milioni 100 (sawa na paundi milioni 77) kila moja, kulingana na Air Force Special Operations...
2 Reactions
10 Replies
248 Views
Kiukweli Iran imewangusha sana wafuasi wake kote duniani Kwa aibu kubwa aliyoipata ya kushindwa kulinda viongozi wao Wanazidiwa hadi na mchwa wanaolinda Malkia wao Kwa gharama kubwa Pili...
2 Reactions
6 Replies
244 Views
Zimbabwe today introduces a new series of ZiG banknotes — in denominations of 10, 20, and 50 — with citizens expected to queue outside banks nationwide to access the notes for the first time...
1 Reactions
1 Replies
185 Views
Taarifa ya jeshi la Israel muda huuIsrael warns Iranians to avoid trains nationwide, IDF says The Israeli military warned Iranians on Tuesday to avoid using trains and railways across the country...
3 Reactions
1 Replies
120 Views
Jeshi la Israel limetoa tahadhari likiwaonya wananchi wa Iran wasitumie treni hadi saa 3 usiku kwa saa za Iran. “Uwepo wenu ndani ya treni au karibu na reli unaweka maisha yenu hatarini,” jeshi...
2 Reactions
1 Replies
118 Views
Waandishi wa Al Jazeera wanaripoti kuwa kuna wimbi jipya la mashambulizi, huku ndege za kivita zikionekana zikizunguka angani juu ya mji mkuu wa Iran, Tehran. Angalau milipuko mitatu mikubwa...
1 Reactions
6 Replies
254 Views
Mtu mmoja ameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia majibizano ya risasi na polisi karibu na ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul, gavana wa jiji hilo amesema, akiongeza kuwa maafisa wawili...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Kumbuka Ni kuanzia saa 1 usiku wa leo kwa saa za Afrika mashariki na hii ni kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali
5 Reactions
17 Replies
363 Views
  • Redirect
Iran imeishiwa hadi inataka kutumia wananchi kama ngao, namna HAMAS walikua wanafanya.... The post came hours before an Iranian official urged young people to form human chains around the...
1 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…