International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Nyuki wakijikusanya na kuruka kwa makundi katika mji wa kusini wa Netivot, hatua iliyopelekea mamlaka kuwataka watu kusalia ndani ya nyumba zao. Wataalamu wa nyuki wanasema jambo hilo linatoa...
0 Reactions
1 Replies
134 Views
Nukuu Kuu za JD Vance (Islamabad, Pakistan): Aprili 12, 2026 asubuhi na mapema. Kuhusu Msimamo wa Iran: "Tumekaa nao usiku kucha, tukiwapa nafasi ya wazi ya kurejesha amani na utulivu katika...
5 Reactions
34 Replies
712 Views
Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imevunja takriban mashirika 100 ya kiraia katika taarifa iliyotolewa Aprili 15, 2026, mamlaka zilitangaza kuwa vyama 118 mengi yakiwa yanajishughulisha na kazi...
3 Reactions
8 Replies
220 Views
Magaidi wa Hezbollah na wafuasi wao wanasherehekea kote Lebanon kuanza kwa usitishaji vita wanazodai kuwa walishinda na kuanza kwa watu waliokimbia makazi yao kurejea katika maeneo yao - huko...
1 Reactions
10 Replies
239 Views
Nakala kamili ya usitishaji vita wa siku 10 wa Israel-Lebanon, pande zote zinalenga 'amani ya kudumu' Makubaliano yathibitisha Israel na Lebanon 'haziko vitani,' Beirut inajitolea kuzuia...
1 Reactions
3 Replies
156 Views
Spain taifa kongwe liliogundua America zamani sana sasa ni wazi limeamua kuhamia kwa China. Jana Waziri Mkuu wake ametembelea China na kusaini mikataba ya ushirikiano kibiashara na ki diplomasia...
5 Reactions
7 Replies
205 Views
Namibia imekataa ombi la leseni ya huduma ya intaneti ya satelaiti ya Starlink, kampuni inayomilikiwa na Elon Musk, ikisema haiwezi kufanya kazi nchini humo bila angalau asilimia 51 ya umiliki...
0 Reactions
2 Replies
172 Views
Kauli ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuhusu Lebanon na Iran. "Tuna fursa ya kuunda makubaliano ya kihistoria ya amani na Lebanon. Rais Trump anakusudia kunialika mimi na Rais wa Lebanon ili...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Rasmi, kuanzia kesho, Israel itapeleka misaada ya kibinadamu kwa angalau vijiji 3 vya Wakristo ambavyo havijahamishwa, vilivyoko kusini mwa Lebanon. Kwa njia isiyo rasmi, baadhi ya misaada...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Katika chapisho lake la pili kwenye mtandao wa Truth Social baada ya kutangaza makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon, Rais wa Marekani Donald Trump amesema atawaalika...
4 Reactions
10 Replies
294 Views
Kiuhalisia inaaminika vizuizi vya Marekani kwa meli kupita Hormuz havipo na haviwezekani bila kuzusha mizozo mikubwa zaidi mashaariki ya kati na dunia kwa jumla. Meli za kichina zimepita kwa...
1 Reactions
7 Replies
279 Views
Pope Leo takes aim at 'handful of tyrants' spending billions on war amid tensions with Trump LAGOS, Nigeria — Pope Leo XIV has delivered striking remarks in Cameroon, condemning global leaders...
0 Reactions
1 Replies
217 Views
Mimi ni mkatoliki lakini kwa huyu Papa ni heri niendelee kumuunga mkono Trump, Papa yupo kisiasa zaidi Papa wa sasa anatoka Marekani, na baadhi ya kauli na mitazamo yake imeonekana wazi ana...
7 Reactions
46 Replies
812 Views
Kuna video moja nimekutana nayo mtandaoni kutoka NYUNDO TV inayozungumzia suala zito sana na la kusikitisha ambalo limekuwa likitokea hivi karibuni kwa ndugu zetu walioko Diaspora. Video hiyo...
9 Reactions
29 Replies
906 Views
  • Featured
Hukumu imetoka sasa hivi. Jela miaka 5 kwa kukutwa na silaha bila vibali, kuitumia bila vibali, kuhatarisha maisha ya wengine ..etc etc Naona wana mitigate rufaa asiwekwe ndani mpaka rufaa yake...
8 Reactions
33 Replies
981 Views
Waziri wa Habari na Mawasiliano nchini Burundi , Gabby Bugaga amekutwa amefariki ndani ya gari lake, asubuhi ya Aprili 16, 2026. Mwili wa Bugaga, ambaye pia ni mwandishi wa habari wa zamani...
2 Reactions
10 Replies
386 Views
kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa Brigadier General Hassan Hassanzadeh aliyetangazwa na Wateule kuwa wamemuuwa kwenye...
1 Reactions
1 Replies
234 Views
Rais Trump kakatiza ziara yake ya kikao cha G7 huko Canada. Tayari inadaiwa ndege za kivita za Marekani zimeanza kuruka kulizunguka anga la Iran. Endapo Marekani itaingia kwenye hiyo vita, Iran...
12 Reactions
178 Replies
9K Views
Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania, umezumgumzia kifo cha Mwanamitandao ya kijamii kutoka Miami, Ashly Robinson (31), aliyefariki dunia April 9, 2026, kwa mujibu wa Jeshi la Polisi akiwa Visiwani...
0 Reactions
41 Replies
778 Views
https://truthsocial.com/@realDonaldTrump/posts/116384077225474834 Trump ameichapisha mwenyewe. Ramani inaonyesha wazi. Meli kubwa za mafuta Supertanker tupu (VLCC), kila moja ikiwa na uwezo wa...
8 Reactions
23 Replies
756 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…