International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mkuu wa Mossad David Barnea: "Ahadi yetu itatimizwa tu wakati utawala uliokithiri nchini Iran utabadilishwa. Hatukufikiria kwamba misheni hiyo ingekamilika mara tu baada ya mapigano kupungua...
2 Reactions
2 Replies
168 Views
Serikali ya Lebanon imeamua kuingia katika mazungumzo na Israel kufuatia mashambulizi makali yaliyofanywa na jeshi la Israel (IDF), pamoja na hatua ya Israel kudhibiti sehemu kubwa ya ardhi kusini...
0 Reactions
3 Replies
166 Views
Iran’s President Masoud Pezeshkian urged Europe to play a more active role in pushing the United States toward an agreement, saying diplomacy remains the best way to resolve disputes, according to...
2 Reactions
5 Replies
310 Views
Russia imeingiza takribani dola bilioni 19 (Sh49.27 trilioni) kutokana na mauzo ya mafuta na bidhaa za nishati Machi, ikiwa ni ongezeko kubwa ikilinganishwa na miezi ya hivi karibuni ambayo...
1 Reactions
2 Replies
165 Views
Niaje waungwana Leo naomba niwaletee njia mbili ili mchague wenyewe wapi kwa kuelekea. Njia ya kwanza ni Russia. Russia ilianza vita yake na Ukraine miaka 4 iliyopita, na mpaka leo haijaonesha...
10 Reactions
67 Replies
1K Views
Papa Leo XIV akiwa Algeria: "Ushirika kati ya Wakatoliki na Waislamu unachukua sura chini ya ulinzi wa Mama Yetu wa Afrika. Hapa, nchini Algeria, upendo wa kimama wa Lalla Meryem (bikra Maria)...
1 Reactions
16 Replies
355 Views
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Jeshi la Wanamaji la Marekani litaanza mara moja kuzingira Mlango Bahari wa Hormuz, na kuamuru kukamatwa kwa nguvu Meli yoyote ya kimataifa iliyolipa...
14 Reactions
91 Replies
2K Views
Habari wandugu Tukiwa tumemka salama huku tukisubiri mlejesho wa kikao kutoka Pakistan,nimeona kila mtu akishuka kwenye ndege na makablasha kwapani kila upande umesheheni security expert maalumu...
12 Reactions
97 Replies
1K Views
Mwanafunzi wa zamani wa Shule ya Sekondari ya Ufundi iliyopo Siverek, Kusini Mashariki mwa Uturuki mwenye umri wa miaka 18 amefyatua risasi leo na kujeruhi Watu wasiopungua 16 kabla ya kujitoa...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Serikali ya Italia imefanya maamuzi ya kusitisha mkataba wao wa ushirikiano wa Ulinzi na nchi ya Israel. Waziri Mkuu Giorgia Meloni alitoa tangazo hilo leo Aprili 14, 2026, akielezea kuwa uamuzi...
1 Reactions
1 Replies
186 Views
Kufuatia ufuatiliaji endelevu wa kijasusi wa IDF tangu shambulio kubwa zaidi nchini Lebanon wakati wa Operesheni ya Kunguruma Simba - Operesheni ya Eternak Darkness, mnamo Aprili 8, 2026, IDF sasa...
1 Reactions
4 Replies
190 Views
Mzozo wa Mashariki ya Kati kunahitaji mtazamo mpana unaovuka mipaka ya kidini au kijiografia, kwa kuzingatia misingi ya sheria za kimataifa, usawa, na haki za binadamu. Hoja zangu za kusimama na...
0 Reactions
2 Replies
182 Views
Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini Enoch Godongwana hivi karibuni amethibitisha kuwa, yeye na Gavana wa Benki Kuu ya nchi hiyo Lesetja Kganyago hawajapata idhini ya Marekani ya kuingia kwenye nchi...
1 Reactions
5 Replies
272 Views
Kulingana na ripoti kutoka kwa The Free Press (na kuangaziwa na vyombo vya habari kama Yahoo, Hindustan Times, na Daily Beast), mnamo Januari 2026 Pentagon ilimuita kardinali Christophe Pierre...
7 Reactions
39 Replies
999 Views
Mahakama ya rufaa nchini Burundi imemwachia huru kwa masharti mwandishi wa habari Sandra Muhoza, hatua inayohitimisha kizuizini cha karibu miaka miwili kilichoibua hofu mpya juu ya uhuru wa habari...
1 Reactions
0 Replies
122 Views
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu katika Mkutano wa Serikali: "Mapigano yanaendelea wakati wote. Tunaunga mkono msimamo thabiti wa Rais Trump wa kuweka kizuizi cha majini dhidi ya Iran...
1 Reactions
2 Replies
199 Views
Kwa ufupi wanasiasa ndio wametufikisha hapa tulipo. Siasa za Trumpa na Netanyahu hazina muelekeo salama ilitakiwa Dunia iwatenge ikibidi hata kivita, Dunia inaaminishwa kuwa Marekani ndio walinda...
1 Reactions
0 Replies
130 Views
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani itaweka “kizuizi cha kijeshi” na kuudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani, kufuatia kushindwa kwa mazungumzo...
13 Reactions
72 Replies
2K Views
Wanaukumbi. "Kulinda maji ya eneo la Iran ni jukumu la kitaifa. Kama ilivyotangazwa hapo awali, meli zinazohusishwa na adui hazina na hazitakuwa na haki ya kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz...
5 Reactions
12 Replies
321 Views
Back
Top Bottom