International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mahakama ya Katiba nchini Zambia imetoa maamuzi kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Edgar Lungu hawezi kuwania tena kiti cha Urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2026 kwa kuwa tayari amehudumu mihula...
1 Reactions
4 Replies
872 Views
Niaje niaje, katika kuendeleza msururu wa matukio baadaya kuanguka utawala wa mkono wa chuma kutoka kwa familia ya asad waasi waliopindua serikali wamechoma moto kaburi la baba yake na asad. Hii...
11 Reactions
23 Replies
2K Views
USIAANZISHE VITA USIYOIWEZA, UKILIANZISHA USILALAMIKE UKIKANDWA !! N:B: Majengo yanayolipuliwa kwenye video hayana watu, kama wamo ni magaidi
6 Reactions
68 Replies
4K Views
Ingekuwa Bongo angepigwa kofi kerbu moja na Tanganyika jeki akala mchanga. Akiamka anaongoza njia. Marekani wametumia sheria inayosema unaweza kupinga kusombwa sombwa ovyo ovyo bila utaratibu...
8 Reactions
9 Replies
879 Views
Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake, ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. Wadau hamjamboni nyote? Nafarijika nikisoma maneno hayo...
5 Reactions
10 Replies
624 Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini: December 12, 2024 Pope meets PA’s Abbas at the Vatican for first time in three years By Agencies and ToI Staff Today, 2:59 pm Pope Francis...
0 Reactions
6 Replies
718 Views
Amani kwenu watumishi Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa...
13 Reactions
83 Replies
3K Views
Jeshi la Urusi hii Leo limeuzuia msafara wa Majeshi ya Marekani uliokua unataka kuingia katika mji Qamishlo nchini Syria na kuualazimisha kugeuza kurudi ulipotoka. Source: Visegrad24 X account
8 Reactions
62 Replies
5K Views
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Urusi vimethibitisha kuwa Kiongozi wa waasi huko Syria baada ya majadiliano ya muda amekubaliana na serikali ya Urusi kuendelea kutekeleza majukumu yake nchini...
16 Reactions
128 Replies
6K Views
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east. Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au...
18 Reactions
127 Replies
6K Views
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) hivi karibuni liliamua kuorodhesha Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina kwenye mali za urithi za kiutamduni za bindamu...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Mkutano wa mwaka 2024 wa Kazi ya Uchumi wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China unafanyika hapa Beijing. Mkutano huo utachambua hali ya sasa ya uchumi wa China, na kuamua mwelekeo wa sera...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Wanajamii waswahili walisema kikulacho kimo nguoni mwako, usemi huu umedhihirika baada nyaraka kuvuja zikionyesha utawala wa aliyekuwa rais wa Syria Asad alikiuwa akishirikiana na serikali ya...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Amani kwenu waungwana Baada ya wakristo wa south Sudan kuwaachia wasudan nchi yao Mambo yanaendelea kuwa Mambo Watu wa Sudan waliwaita wasudan kusin kuwa ni makafiri na wakaitangaza Sudan kuwa...
6 Reactions
9 Replies
802 Views
Hii ni elimu ya juu Sana. Kama uelewa wako ni mdogo, utabaki kupolomosha matusi. Taifa LA Israel limejengwa juu ya watoto 12 wa Yakobo. Miongoni mwa wale watoto, alikuwepo mtoto kwa jina la...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Wanaukumbi. Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad. Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa...
23 Reactions
374 Replies
15K Views
Syrian rebel fighters have destroyed the tomb of late president Hafez al-Assad, father of ousted president Bashar, in the family's hometown. Videos verified by the BBC showed armed men chanting...
1 Reactions
3 Replies
663 Views
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa...
16 Reactions
163 Replies
6K Views
Behold what the West and Israel has done by overthrowing Assad in Syria America, Europe, Israel, Turkey, Saudi Arabia et.al., the three brief videos below demonstrate what YOU have done, by...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom