Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,649
- 23,313
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Urusi vimethibitisha kuwa Kiongozi wa waasi huko Syria baada ya majadiliano ya muda amekubaliana na serikali ya Urusi kuendelea kutekeleza majukumu yake nchini humo
Itakumbukwa kuwa Urusi ana Kambi mbili za kijeshi nchini Syria.
Itakumbukwa kuwa Urusi ana Kambi mbili za kijeshi nchini Syria.