International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Hakuna Watu rahisi kuwagombanisha kama Wavaa Kobazi. Je unajua Iran Taifa la kiislam Lina ugomvi mkubwa wa maji na mpaka na Taliban. Katika Hali isiyotarajiwa Taliban yapendekeza Marekani ifungue...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Viboko katika Mbuga ya Taifa ya Virunga katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. / Getty Images Viboko wasiopungua 50 na wanyama wengine wakubwa ndani ya hifadhi ya taifa ya Virunga iliyoko katika...
0 Reactions
0 Replies
299 Views
Serikali ya Trump imepiga marufuku mahusiano ya mapenzi kati ya wafanyakazi wake walio China na Wachina nchini humo. Wachina wanamtisha sana mwendawazimu wannabe dictator Trump.
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Majeshi ya Israel leo hii yameingia na vifaru huko Jenin ambako majeshi hayo yamekuwepo huko kufanya Operation za kuwafyeka magaidi
2 Reactions
16 Replies
907 Views
Meet Ange Kagame the giant Daughter of Africa's Tallest President Paul Kagame of Rwanda Ange Kagame was born in Brussels, Belgium on the 8th of September, 1993 as the second child and only...
8 Reactions
57 Replies
20K Views
Shambulio la anga la Marekani nchini Yemen laua makamanda wakuu wa Houthi na wataalam wa Iran. Shambulio la anga la Marekani limewaua watu 70, wakiwemo makamanda wakuu wa kikundi cha kigaidi cha...
6 Reactions
94 Replies
3K Views
Tofauti na utamaduni wa marais wa Marekani ambao huwa hawafanyi parade za kijeshi wakati wa amani Trump anapanga parade kubwa la kijeshi linaloangukia siku ya birthday yake kuonyesha ukuu wa jeshi...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Baadhi ya wanamgambo wa Iraq wanaoungwa mkono na Iran wako tayari kusalimisha silaha chini ya shinikizo la Marekani - Reuters. Vikundi vya wanamgambo nchini Iraq vimejiandaa kusalimisha silaha...
2 Reactions
5 Replies
357 Views
Ripoti za koo za Gaza kushambulia Hamas wakitaka kulipiza kisasi kwa wale walioteswa na kunyongwa kwa kushiriki katika maandamano ya hivi majuzi. Gaza inaweza kuwa kwenye ukingo wa vita vya...
8 Reactions
187 Replies
6K Views
Waandishi wa habari wameendelea kulengwa na kupoteza maisha katika mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, hali inayozidi kuzua hofu na maswali kuhusu usalama...
1 Reactions
4 Replies
365 Views
Hii hapa taarifa iliyowekwa kwa mtindo wa taarifa kwa vyombo vya Ontario, Canada – Katika tukio la kusikitisha na la kushtua, mzazi mmoja wa kike amefariki dunia ghafla baada ya kupokea taarifa...
0 Reactions
2 Replies
501 Views
Barua ya Trump kwa Khamenei wa Iran: "Mheshimiwa Ayatullah Khamenei, Kwa heshima ya nafasi yako na watu wa Iran, ninakuandikia ujumbe huu kwa lengo la kufungua upeo mpya wa mahusiano yetu, mbali...
15 Reactions
78 Replies
3K Views
Mada hii itakuwa inakuletea updates zote zinazopangwa na US akishirikiana na Israel dhidi ya Iran Hadi siku ambayo Iran itaenda kupigwa...... Toka juzi kuna zaidi ndege 6 hatari za kivita za B-2...
25 Reactions
139 Replies
7K Views
Habari za wakati huu ndugu na jamaa popote mnakopatikana. Leo baada ya kusoma habari ya vifo vya watu takribani 46 huko Gaza baada ya shambulizi la Israel kuna maswali nimejiuliza hapa ambayo...
1 Reactions
56 Replies
2K Views
Hapa kazungumza na waziri mkuu wa Japan kuhusu hatua alizochukua kwa nyongeza ya ushuru na namna gani wanaweza fikia makubaliano na Japan. Huyu mzee kaona haitoshi katika kuzungumzia Japan kaamua...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Nchi za Africa zimefanya chaguo sahihi la kutafuta mshirika wa kiuchumi anayejali na kuheshimu mamlaka za Nchi hizo na kuepukana Ushirika wa Marekani na Ulaya ambao mara nyingi umekua haziheshimu...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa Marekani imerudi nchini Afghanstan kwenye kambi ya Baghram baada ya kufanya makubaliano na Taliban. Hayo yameonekana baada ya Marekani kuwaachilia na...
1 Reactions
5 Replies
711 Views
Makundi ya Waislam wa jamii ya Fulani wanaendelea kuua kwa kuwachinja Wakristu huko Nigeria safari hii Wakristu 52 wamechinjwa huko katika jimbo la Plateau katika eneo la Bokkos. Eneo hili ni...
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Gaidi aliyejifanya kuwa mwandishi wa habari, Hassan Masana, aliyeripoti mauaji ya Oktoba 7 na ambaye aliongozana na magaidi hao naye ameangamizwa baada ya mashambulizi ya ndege za israel huko Khan...
3 Reactions
4 Replies
579 Views
Wadau hamjamboni nyote? Gazeti la The Jerusalem Post limeripoti kuwa kundi la Hamas liliiomba Iran msaada wa kifedha wa dola milioni 500 mwaka 2021 kwa ajili ya kuliteketeza taifa la Israel ndani...
3 Reactions
92 Replies
3K Views
Back
Top Bottom