International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mwanaharakati wa umoja wa mataifa mahususi kufuatilia maslahi ya wapalestina bi Francesca Albanese ameungana na Webabu na taasisi 761 duniani kote ili upatikane msafara mkubwa wa kuingia ndani ya...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Msemaji wa Ikulu ya Urusi Dmitry Peskov, amesema rais Vladimir Puin hana mipango yoyote ya kuzungumza na rais wa Marekani Donald. Hivi Karibuni Trump ameonesha hadharani kukasirika kwake na rais...
1 Reactions
3 Replies
612 Views
Jana baada ya Israel kutoa amri ya watu kuhama kwenye maeneo yao na kwenda sehemu nyingine walioelekezwa, Majeshi ya Israel 🇮🇱 jiani talia za kugawa maji na bites kwa wanawake na watoto waliokuwa...
20 Reactions
146 Replies
6K Views
Tuliwambia Yemen hajawahi kushindwa vita USA ilibidi apige mogoti kwa njia ya Oman, alijipeleka kumsaidia Israel kuiondolea blockade alio wekewa kule Red Sea kipigo alicho kipata kutoka kwa Al...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu na wajuzi wa mambo Nyani Ngabu , Mayor Quimby Kiranga I huyu mtoto wa Elon Musk ana umuhimu gani kwenye shughuli za Trump maana kwenye ziara nzito za Trump na yeye huwa yupo tu. Naomba...
6 Reactions
30 Replies
1K Views
"Kitu ambacho Vladimir Putin hajui ni kuwa kama sio mimi mambo mengi mabaya yangekuwa yameitokea Urusi, namaanisha MAMBO MABAYA. Anacheza na moto! Donald J. Trump Rais wa Marekani Mei 27, 2025...
10 Reactions
33 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? The Israeli Air Force is carrying out strikes on the Houthi-held Sanaa International Airport in Yemen, according to local media. The strikes come after repeated...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Bilionea wa teknolojia Elon Musk ametangaza kuwa anaondoka katika utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump, ambako aliongoza mradi wa miezi kadhaa wa kupunguza gharama katika serikali ya...
0 Reactions
2 Replies
554 Views
Tayari minong'ono imesambaa kushangazwa na ushujaa wa wapalestina katika kutetea ardhi na imani zao. Viongozi wote wakuu wa Hamas kwa mujibu wa Israel wameshauliwa mpaka makamanda wadogo wadogo...
3 Reactions
12 Replies
915 Views
Mwanamitindo mchanga kutoka Mexico , Alikuwa na umri wa miaka 21 aliomba kujiunga na Elites ili apate Uhuru wa kimaisha akakataliwa kujiunga nao mpaka pale atakapokula mtu.. Jioni ya Agosti 3...
0 Reactions
2 Replies
555 Views
Raisi wa sasa wa Marekani ni mmoja ya watu hodari katika kutapeli ili kufanikisha mipango yake. Karibuni hivi baada ya Israel kushindwa kumuokoa mateka mwenye uraia wa Marekani raisi Trump...
3 Reactions
6 Replies
769 Views
Raisi wa sasa wa Marekani ni mmoja ya watu hodari katika kutapeli ili kufanikisha mipango yake.Karibuni hivi baada ya Israel kushindwa kumuokoa mateka mwenye uraia wa Marekani raisi Trump...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano na Baraza lake la Mawaziri na kusema kwamba usemi wa mwisho juu ya sera ya wafanyakazi utatolewa na wakuu wa mashirika ya shirikisho, sio mkuu wa...
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ametia saini mswada wa sheria unaowataka madereva wote wa magari nchini humo kulipia ushuru wa kusikiliza redio kabla magari yao hayajapewa bima ya magari...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Ugonjwa wa kipindupindu umeua watu 70 ndani ya siku mbili katika mji mkuu wa Sudani, Wizara ya Afya meitangaza leo Alhamisi, Mei 29. Haya yanajiri wakati Khartoum ikikumbwa na kuzorota kwa huduma...
0 Reactions
2 Replies
313 Views
Wizara ya Ulinzi yathibitisha idhini ya serikali ya makazi mapya 22 ya Ukingo wa Magharibi Katz, Smotrich wapongeza uanzishwaji wa jumuiya mpya, kuhalalisha vituo vya wanyama pori kama 'ukuta wa...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Historia yoyote itokeayo Duniani huacha fundisho. Kutokujifunza kutokana na historia ni tatizo binafsi. Leo Afrika madhehebu mengi yanaamini katika Mungu wa Israel. Sala nyingi humtaja Mungu wa...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
HARVARD vs TRUMP (2025): VITA KUU KATI YA ELIMU NA MADARAKA YA SERIKALI Na Goodluck Maleko J “Kwa mara ya kwanza katika historia ya Marekani ya kisasa, chuo kikuu kinapambana moja kwa moja na...
0 Reactions
8 Replies
768 Views
Katika Eneo moja linaitwa Ouagadougou Nchini Burkina Faso, Mapinduzi ya Teknolojia yanazidi kushika kasi baada ya Watoto walio na umri wa miaka 7 kupewa ujuzi wa kutengeneza Roboti. Watoto wao...
0 Reactions
1 Replies
305 Views
Ghadhabu inazuka katika kambi inayounga mkono Palestina baada ya Morocco kumkaribisha na kumuenzi Mkuu wa Jeshi la Wanahewa la Israel Tomer Bar.
2 Reactions
12 Replies
645 Views
Back
Top Bottom