Baadhi ya wananchi wa Israel wanaopinga mkataba wa kusitisha mapigano na magaidi wa Hamas leo wamejitokeza njia kuzuia Msafiri wa malori yenye misaada kuwapelekea magaidi wa Hamas huko Gaza
Ushirikiano wa Marekani na Israel uliwaza sana namna ya kuwamaliza Hamas ambao wameonekana sugu kushindwa kwa mbinu zote zilizotumika mpaka sasa.
Chakula ikaonekana ndicho chambo kizuri cha...
Magaidi wa Hamas wanaendelea kuangamizwa huko Gaza!!! Na Gaza inazidi kusawazishwa na muda si mrefu itakuwa sawa!!
https://x.com/vividprowess/status/1928494110580896113?s=61...
Shambulio la Israel katika European Hospital kusini mwa Gaza, ambapo kamanda wa kijeshi wa Hamas Mohammed Sinwar aliangamizwa katika kituo chake cha kamandi kwenye Handaki lililojengwa chini ya...
Katika Operation ya Gideon Chariots inayoendelea huko Khan Younis mji huo umesawazishwa na makombola yaliyokuwa yanapigwa katika mji huo kuharibu miundombinu ya kigaidi iliyokuwa imejengwa na...
Ukanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli.
Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji...
Tangu raisi Trump atembelee nchi tatu za kiarabu za mashariki ya kati na kupewa zawadi kede kede minongono imekuwa mingi hasa juu ya Qattar kuipatia Marekani ndege moja ya fakhari sana kwa...
Hakuna Taifa duniani linaweza kuwa kichaka cha kizazi cha wanaharakati lialia wanaotukana serikali au kuchukua misimamo na mirengo hatari kwa usalama.
Hii ndio demokrasia.
Msikiti wa Al-Kawthar na jengo la makazi kusini mashariki mwa Khan Younis yameangamizwa mapema leo na zaidi ya watu 80 waliokuwa ndani nao wameangamizwa.
Hamas imewasilisha majibu yake kwa pendekezo lililowasilishwa na mjumbe wa Donald Trump wa Mashariki ya Kati, Steve Witkoff, kwa wapatanishi, ishara thabiti zaidi ya maendeleo kuelekea kusitisha...
Athari ya vita vya kionevu na kishenzi vya Gaza zimeanza kuenea kote duniani.Mwanzoni ilikuwa ni Marekani na Ulaya ambapo maandamano makubwa kwenye maeneo nyeti yamefanyika.
Kwa upande wa nchi za...
Baada ya siku mbili tu za majibu ya Pakistan kupitia opereshi Marsoos tulimsikia Mark Rubio wa Marekani akisema wamepata intelijensia na wakatumia usiku mzima kuzungumza na waziri mkuu wa...
Inatia simanzi kwa kweli!
Wote waliosababisha hayo madhila ya sasa, walaaniwe milele [if there’s such a thing].
Hamas are no heroes. They are suckers and losers.
Yahya Sinwar and Co. are punks...
Kuna clip zinasambaa zikiwaonyesha wananchi wa Gaza wakimsifu Rais Trump na hata Benjamin Netanyahu kwa juhudi mpya za Marekani na Israel kupeleka chakula moja kwa moja kwa wale wanaohitaji...
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameelezea kuwa Israeli itaendelea kudhibiti Gaza nzima licha ya shinikizo la kimataifa ambalo linaitaka kuondoa kizuizi cha vifaa vya misaada ambacho kimeiacha eneo...
Saudi Arabia imeionya Iran kufikia makubaliano ya nyuklia na Trump au kuhatarisha mashambulizi ya Israel.
Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia alitoa ujumbe mzito kwa maafisa wa Iran mjini Tehran...
Tarehe 25 Mei inatimia miaka mitano tangu Mmarekani mwenye asili ya Afrika George Floyd auawe na polisi kwa kukabwa na goti.
Tukio hili lilisababisha maandamano makubwa kote Marekani na hata...
Netanyahu aidhinisha kurejeshwa mara moja kwa misaada ya kibinadamu huko Gaza
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameidhinisha kurejeshwa mara moja kwa msaada wa kibinadamu huko Gaza wakati wa mkutano...
Wakuna race iliyoua waafrica wengi toka dunia iumbwe zaidi ya wazungu, wametufanyia Kila hila kila nyanyaso na Kila ubaya lkn ukikaa vijiwe vya kahawa unakuta ngozi nyani/Tako zinakaa zinaionea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.