ALL COMMENTS (334)
Share your thoughts
Top comments
Stream
martin001pecheur1 day ago
Black are racist in Africa and they want to live wherever they want (Europe, China...
Wana jamvi, naomba kupata elimu kuhusu Watanzania wanao hudumu kwenye jeshi la marekani. Watanzania ambao si wanajeshi wa JWTZ lakini ni wanajeshi wa jeshi la Marekani,
Je wakirudi nyumbani...
Juzi huko marekanililitokea tukio la mtu kuwarushia bomu la petroli waandamanaji waliopinga vita Gaza na kutaka vita vikome
Mwanaume mmoja aliyetajwa kwa jina la Mohammed alitajwa kama muhusika...
Ripoti za milipuko mingi karibu na uwanja wa ndege wa kijeshi wa Hama nchini Syria. Baada ya jana Syria kurusha makombola 2 kuelekea Golan hata hivyo makombola hayo yalipopolewa..
Leo hii Israel...
Bill Gates kutoa zaidi ya utajiri wake wa $200bn kwa Afrika.
Mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates anasema kuwa sehemu kubwa ya utajiri wake utatumika kuboresha huduma za afya na elimu barani...
Katika ujumbe kwa familia za wanajeshi watatu waliouawa na bomu kando ya barabara, Waziri Mkuu Netanyahu anasema "Hawakufanyi bure." Anaviita "vita vya haki ya kipekee," akiahidi "kushinda Hamas...
Kwa muda mrefu imekuwa kawaida kwamba misaada ya kibinadamu inayoingia Gaza husimamiwa na Hamas. Lakini badala ya kuisambaza kwa raia wanaohitaji, mara nyingi misaada hiyo huuziwa sokoni au...
Yasser Abu Shabab, ambaye anajulikana waziwazi huko Gaza kwa kuipinga Hamas, anatoa wito kwa wananchi wa Gaza kuja kuishi chini ya ulinzi wa jeshi la Israel huko Rafah.
Ikiwa atafaulu, itakuwa...
Kuna watu wengi sana wakishakula Maharage ya jana wanakula mstari wa mbele kueneza uongo wa kila aina kuhusu Israel.
Wengi wanaoeneza uongo huo hata hawajui Historia ya Israel na hawajawahi...
Tukio la Drone za Ukraine kuteketeza madege ya thamani ya trillions za shilingi, Tena madege yaliyo ndani kabisa mwa Urusi ni tishio kuu ambalo likipuuzwa litakalofuata litavuja UTI wa magongo wa...
Waziri wa ulinzi wa Israel Katz anamtaja kwa jina Sharaa wa Syria kuwa ndiye aliyehusika na kurusha roketi, na kuapa 'jibu kamili' hivi karibuni
Kufuatia shambulizi la roketi kutoka Syria dhidi...
Zaidi ya ma box 20,000 ya chakula yamesambazwa leo katika eneo la Tel Sultan huko Rafah kama sehemu ya juhudi za misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza. Kulingana na hazina ya kibinadamu ya...
Mshukiwa ambaye aliwashambulia wafuasi kadhaa wanaoiunga mkono Israel katika hafla moja leo huko Boulder, Colorado, kwa kutumia Mabom ya Petrol, sasa ametambuliwa na vyombo vya sheria kama...
Mashambulizi hayo yanakuja wakati wapatanishi wa Urusi na Ukraine wanaelekea Istanbul, Uturuki, kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani siku ya Jumatatu.
Kulingana na Wizara ya ulinzi ya Urusi...
Habari zilizopita ziliripoti shambulizi. Habari hii inahusu jinsi shambulizi lilivyopangwa kwa muda muda mrefu na kufanyika.
Habari kamili;
Kwa mujibu wa vyanzo ndani ya kitengo cha SBU...
Waziri Mkuu wa Uholanzi, Dick Schoof, amejiuzulu leo Jumanne baada ya chama cha mrengo wa kulia, PVV, kuondoka kwenye muungano wa Serikali, hatua inayoweza kusababisha uchaguzi wa mapema.
Geert...
Marekani, China, Ujerumani, Japan na India ndizo nchi zenye uchumi mkubwa zaidi duniani kwa mwaka wa 2024, kulingana na data zao za Pato la Taifa.
Pato la Taifa hutumika kama kipimo muhimu cha...
Hivi ndivyo vijana Waarabu wa "Palestina", ambao wengi wenu mnawaunga mkono, huwatendea mbwa na kukosa adabu kwa wazee katika jamii zao.
Bila kuchokozwa kabisa vijana hawa walio kosa adabu wali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.