International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kwa miezi kadhaa Trump alikuwa akijaribu sana kuongea na Xi bila mafanikio. Pia alikuwa akitamani sana atembelee China aongee na Xi Hatimaye leo ndoto zake zote 2 zimetimia kwanza ya kuongea na...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Raia wa Misri Mohammed Sabri Suleiman amefunguliwa mashitaka 118 ya uhalifu baada ya kufanya shambulio kwenye maandamano ya Colorado yaliyofanyika kuwaunga mkono mateka wa Israel. Mashtaka dhidi...
1 Reactions
5 Replies
351 Views
Naona ushosti kati ya Trump na Elon unaelekea kufa vibaya mno. Leo imekuwa siku yao ya kupeana vijembe kupitia kurasa zao za mitandao ya jamii
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Donald Trump ameendelea kumshambulia Elon Musk kupitia mtandao wa Truth Social, akisema: "Elon alikuwa ‘anavuka mipaka’, nilimwambia aondoke, niliondoa amri ya magari ya umeme (EV Mandate)...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Jeshi la Israel lilidai siku ya Alhamisi kuwa “maandalizi yanaendelea kwa ajili ya kushambulia miundombinu kadhaa ya chini ya ardhi inayotumika kutengeneza ndege zisizo na rubani (UAVs) ambayo...
2 Reactions
15 Replies
913 Views
Bila shaka kuna vitu Trump kajifunza kuhusu Xi katika hivi vita vya biashara na ushuru mpaka tulipo fikia hapa inawezekana alikuwa ana mchukulia kawaida Rais wa China Xi kama anavyo vichukulia...
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Kiongozi wa Upinzani huko Israel bwana Yair Lapid ameishutumu serikali ya Israel chini ya Benjamin Netanyahu kwa kuunda kundi jingine la wanamgambo huko Gaza na kuwapa Silaha. bwana Yair amesema...
0 Reactions
8 Replies
765 Views
Lebanon yalaani shambulizi la anga la jana usiku huko Beirut. Israel inasema Lebanon ijilaumu yenyewe pamoja na magaidi wa Hezbollah inaowakumbatia. Waziri wa Ulinzi Israel Katz alijibu matamshi...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Elon Musk jana akitokea hadharani akiwa na ngeu usoni ameulizwa kuhusu taarifa za yeye kutumia dawa za kulevya akawa mkali sana bila kukanusha hayo madai.
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Naona wameshibana sasa, mpaka Musk kumwambia Trump bila yeye, asingeshinda Na pia Musk amekasirika baada ya Trump kuweka kodi kubwa kwa matajiri Tulisema hawa hawafiki mbali Yamefika sasa...
1 Reactions
10 Replies
583 Views
Marekani yapinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kutaka kusitishwa kwa mapigano Gaza Marekani inapiga kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka...
1 Reactions
15 Replies
919 Views
Toka jana, waandishi na watangazaji wengi nchini Burundi, wamekwama jijini Bujumbura. Lengo lao lilikuwa kufuatilia mchakato mzima wa uchaguzi. Chama tawala cha CNDD-FDD, kiligawa nchi na kupata...
1 Reactions
6 Replies
464 Views
Toka jana na leo Mafahali wawili walikuwa wakijibizana maneno lakini Mwamba waziri Mkuu wa Israel amekuwa kimya sana na kama tujuavyo kimya Kingi kina Mushi do mkubwa. Maji Iza hayo ya Iran na...
1 Reactions
8 Replies
794 Views
Hongera wapiganaji wetu wa M23, kwa sasa Afrika Mashariki, Afrika ya Kati na jumuiya ya SADC itashuhudia Uhuru Wa Taifa jipya la Congo Mashariki. Taifa Hili teule litalinda amani na rasilimali za...
9 Reactions
89 Replies
6K Views
Kwanini hizi taarifa hazitangazwi kwenye vyombo vya habari vya mataifa ya magharibi? Check video ina maelezo ya kiswahili
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hili zee kiburi hili!!! https://x.com/khamenei_ir/status/1930218825028415985 Khamenei : "You Americans possess atomic bombs and have the massive destruction of the world at your disposal. What...
2 Reactions
1 Replies
321 Views
ALL COMMENTS (334) Share your thoughts Top comments Stream martin001pecheur1 day ago Black are racist in Africa and they want to live wherever they want (Europe, China...
0 Reactions
57 Replies
10K Views
Wana jamvi, naomba kupata elimu kuhusu Watanzania wanao hudumu kwenye jeshi la marekani. Watanzania ambao si wanajeshi wa JWTZ lakini ni wanajeshi wa jeshi la Marekani, Je wakirudi nyumbani...
8 Reactions
64 Replies
3K Views
Juzi huko marekanililitokea tukio la mtu kuwarushia bomu la petroli waandamanaji waliopinga vita Gaza na kutaka vita vikome Mwanaume mmoja aliyetajwa kwa jina la Mohammed alitajwa kama muhusika...
2 Reactions
111 Replies
4K Views
Ripoti za milipuko mingi karibu na uwanja wa ndege wa kijeshi wa Hama nchini Syria. Baada ya jana Syria kurusha makombola 2 kuelekea Golan hata hivyo makombola hayo yalipopolewa.. Leo hii Israel...
1 Reactions
5 Replies
524 Views
Back
Top Bottom