International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kesho tarehe 6 Juni, 2025, ni siku ambayo nchi ya Burundi itakuwa na uchaguzi wa wabunge nchi nzima. Burundi, mojawapo wa nchi za jumuia ya Africa Mashariki, kwa miaka mingi, ilikumbwa na ghasia...
0 Reactions
3 Replies
478 Views
*Zoezi la uchaguzi lililotarajiwa saa kumi na mbili asubuhi, kuna vituo limeanza saa kumi alfajili. *Badhi ya maeneo, waliojitokeza kushiriki zoezi la kupiga kula, wamelalamikia vitendo vichafu...
0 Reactions
10 Replies
781 Views
Kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa Operesheni za kijeshi huko Gaza .wafanyikazi wa ujenzi wa China wanarejea Israeli. Takriban wafanyikazi 1,000 tayari wametua, kuashiria mwanzo wa wimbi kubwa la...
2 Reactions
1 Replies
427 Views
Trump is Musk and Musk is Tesla-in regard to their current diverging interests,what are sides effects that African countries will face
0 Reactions
6 Replies
431 Views
Wakati Marekani na Israel wakiendelea na kuwamaliza wapalestina kwa mabomu na njaa,Watu waliobaki na ubinadamu duniani wanazidi kutafuta mbinu za kufika Gaza kuwaokoa wahanga hao. Huku msafara...
2 Reactions
7 Replies
605 Views
Trump na Elon sasa hawaivi, maadui kabisa! Epstein files ni kitu gani? zina nini ndani? Umuhimu wake ni nini? Nimejaribu kutafuta kwenye mitandao nikapata kitu kama hiki , na nikiri sikufanya...
11 Reactions
25 Replies
2K Views
Trump apiga marufuku raia wa nchi 10 za Afrika kusafiri kwenda Marekani. Rais wa Marekani Donald Trump amesema hatua hiyo inalenga kuwalinda Wamarekani dhidi ya vitisho vya usalama vya "kigeni"...
0 Reactions
4 Replies
806 Views
Wadau hamjamboni nyote? Three Israeli soldiers were killed and two were wounded by an explosive device during operations in northern Gaza’s Jabalia yesterday evening, the military announces...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za jioni, Wakati wa misheni ya kiutendaji ya askari kutoka kwa Kikosi cha Kupambana na Kikosi cha Makomando, askari wetu wanne w alifariki katika mapigano asubuhi ya leo - Staff Sajenti...
2 Reactions
3 Replies
368 Views
Wanajeshi 4 wa IDF wameuawa na wengine 5 kujeruhiwa baada ya jengo lililokuwa limetek wa milipuko kusini mwa Gaza kuporomoka. Wanajeshi wanne wa Israel wameuawa na watano kujeruhiwa na mlipuko...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Kufuatia operesheni maalum ya IDF na Shin Bet katika eneo la Rafah, mwili wa marehemu Natthapong Phintha, ambaye alitekwa nyara kutoka Kibbutz Nir Oz mnamo Oktoba 7, umerudishwa Israeli...
1 Reactions
5 Replies
313 Views
Trump na Musk wanafanya biashara ya matusi huku mzozo ukizuka hadharani Mtafaruku kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na mshauri wake wa zamani Elon Musk umeibuka wazi, huku kila mmoja...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Yaani jamaa huwa wamejazwa ilmu ya dini, sio mchezo, mpaka mtu anaamua kujilipua...... Asuspected al-Shabab suicide bomber killed several people and wounded others Sunday in an attack on a...
2 Reactions
7 Replies
671 Views
Greta na marafiki wanakaribia Nchi Takatifu. Israel tayari imeamua kwamba Kiherehere maarufu huyo hatafika ufuo wa Gaza. Atapigwa na kitu kizito hukohuko!!
1 Reactions
6 Replies
605 Views
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer anashutumu hatua za Israel huko Gaza kuwa "haziwezi kuvumilika" na kutishia vikwazo zaidi, huku akipuuza ugaidi wa Hamas na mgogoro unaoendelea wa mateka...
0 Reactions
5 Replies
518 Views
Wanaukumbi. Israel’s Prime Minister Benjamin Netanyahu has said the country is using armed gangs in Gaza to help fight Hamas, his admission coming after a new wave of military strikes on the...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Kuna double standard hata katika nchi ambazo mnaona kuna utawala wa kisheria,Mwenye mamlaka daima hawezi kufanana na wewe hata iweje.
0 Reactions
9 Replies
304 Views
NATO wana ofisi( liaison officer) kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika ( AU) yaliyopo Addis Ababa Ethiopia. Ofisi za NATO ziko hapo tangu mwaka 2015. Viongozi wanaouhusika na masuala ya kijeshi...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kupiga marufuku raia wa nchi 12 kuingia Marekani. Nchi zilizopigwa marufuku kwa raia wao kuingia Marekani ni Afghanistan, Myanmar, Chad, Republic of the...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom