Televisheni ya taifa ya Iran ilitangaza kuwa chombo cha kijasusi cha Iran kimetoa pigo la kihistoria kwa Israel.
MOIS ilipata maelfu ya hati zinazohusiana na miradi na vifaa vya nyuklia vya...
Kama tujuavyo last weekend Ukraine ilifanya mashambulizi ya kimkakati katika AirBases za Russia na kufanikiwa kuharibu baadhi Ndege vita (Bombers) zake.
Kwanzia jana Usiku Russia imelipiza kisasi...
BREAKING: IDF imemwangamiza Kiongozi wa kundi la kigaidi la Mujahidina Brigedi huko Gaza, ambaye alihusika na utekaji nyara na mauaji ya Shiri, Kfir, na Ariel Bibas.
Yeye na familia yake wote...
Wanaharakati hao wameamua kufanya hivo kwa kupanda meli iliyoondoka bandari ya Catania kwenye visiwa vya Sicily ambavyo haviko mbali sana na Gaza.
Mwezi uliopita meli kama hiyo zinazoongozwa na...
Taarifa zinadai tetemeko la jana la Iran lilitokana na majaribio ya silaha mpya za nyuklia za Iran
BREAKING [emoji1130]
Speculation that Iran’s earthquake was the result of a nuclear test...
Huyu bwana oleg Gordievsky alikuwa ni jasusi wa KGB aliyeifanyia kazi MI6 ya uingereza , amefariki tokea mwezi march halafu mimi hata sikukumbuka kufuatilia habari zake. (of course...
kuna habari zimeenea sana hapa Tel Aviv kuwa Iz al-Din al-Haddad aliye chukua mikoba ya Mohamed Sinwar naye ameangamizwa alipokuwa kwenye maficho yake, Habari hizi zimeenea sana tv na radio...
Rais Trump wa Marekani anatarajiwa kuzungumza na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu leo Juni9, 2025, kwa mujibu wa maafisa wawili wa Ikulu ya Marekani. Wito huo unakuja wakati Trump akifanya...
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Times Israel. Advertisement
============
Serikali ya Israel imetuma mamia ya mamilioni ya shekeli kufadhili utaratibu mpya wa...
In commemoration of World Environment Day on 5th June 2025, residents of Nkonko Ward in Manyoni District, Singida Region, joined hands with the non-governmental organization Amani Girls...
Dakika chache zilizopita, Rais Donald Trump kaongea na waandishi wa habari ofisini kwake katika hafla ya kumuaga Elon Musk, ambaye amenaliza muda wake kama ‘Special Government Employee’.
Kinyume...
Rwanda quits Central African bloc in dispute with Congo
Rwanda has said it would withdraw from the Economic Community of Central African States (ECCAS), underscoring diplomatic tensions in the...
Mamluki Mwafrika katika Jeshi la Urusi: Mahojiano Kamili na Raia wa Senegal aliyetekwa
Wapiganaji kutoka kitengo cha 12 cha Azov Brigade - Kikosi cha 49 cha Carpathian Sich - wamemkamata...
China na nchi za Afrika zimekuwa na uhusiano uliodumu kwa miongo kadhaa, na uhusiano huu unagusa maeneo mbalimbali ikiwemo elimu, biashara na uchumi, sayansi na teknolojia, ujenzi wa miundombinu...
Na je Israel ilijuaje lini na wapi pa kumtoa Mohammed Sinwar na viongozi wengi waandamizi waliobaki wa Hamas?
Unakumbuka siku kadhaa zilizopita wakati watu wawili kwenye picha hapo chini...
Katika hali isiyo ya kawaida mtoto (15) amekamatwa kwa tuhuma za kumshambulia kwa risasi Seneta wa Colombia anayewania kuwa rais ajaye wa nchi hiyo.
Katika tukio hilo, seneta Miguel Uribe Turbay...
Huyu bwana alianza kwa mbwembwe kubwa akiwa analazimisha watumishi wote wa serikali kuu nchi nzima wawe wanamtumia email kila wiki kuelezea walichofanya kila wiki mwishowe ikaishia kwa yeye...
Baada ya maswahiba wawili Elon na DJT waliowahi kushibana sana kumwagana wiki ya karibuni siri zao mbalimbali zaendelea kuvuja au kuachiliwa, mojawapo ya hivi karibuni na Elon Musk kushikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.