Habari zilizopo kwa sasa na uthibitisho wa video ni kuwa Ukraine imefanikiwa haribu ndege vita zaidi ya 40 ndani ya Urusi.
Haijulikani wamefanikiwa vipi kwani umbali huo FPV drone haziwezi fika...
ni script kama ya mieleka wanayoicheza pamoja na Trump.
Elon kawa na mchango mkubwa sana hasa kwa kina Trump na chama chake cha Reoublicans, Pesa za Elon Musk ndizo zilifanikisha dunia ipate...
Uingereza imeripotiwa kuwawekea vikwazo mawaziri wa Israel Itamar Ben-Gvir na Bezalel Smotrich kutokana na misimamo yao mikali dhidi ya Gaza inayotawaliwa na Hamas na kuunga mkono makaazi ya...
Ndege zisizo na rubani za Ukraine zimeshambulia mji wa Cheboksary ndani kabisa ya Urusi hii inaonyesha wazi kuwa Drones za Ukraine hazina mpinzani huko Russia wanapiga popote wanapotaka!!!!!
🪐...
Greta Thunberg yule mtalii aliyejivika utoa misaada huko Gaza baada ya kuona askari wa Israel wanataka kuingia kwenye mtumbwi wao huo walianza kuhamasishana kutupa simu zao baharini, baada ya...
Zaidi ya Wafanyakazi 1,300 wa Voice of America wametakiwa kupumzika, maelekezo ambayo wamepewa ikiwa ni muda mfupi baada ya Serikali ya Marekani chini ya Rais Donald Trump kutoa maelekezo ya...
Rwanda imetuma wanajeshi kati ya 7,000 na 12,000 mashariki mwa Kongo kusaidia waasi wa M23, wachambuzi na wanadiplomasia waliiambia Reuters mapema mwaka huu, baada ya kundi la waasi kuteka miji...
Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa UNIFIL wakiwa wamevamiwa asubuhi ya leo na wafuasi wa Hezbollah kusini mwa Lebanon kuanza kupigwa makofi kama watoto!!
Kazi za UN ni za kijinga sana...
Kiongozi mpya wa wanamgambo huko Gaza, Abu Shabab, anapinga kundi la kigaidi la Hamas katika eneo hilo na anajitahidi kutoa makazi na chakula kwa Wagaza wanaoteseka kutokana na vita...
Kwanza nianze kwa kusema sijawahi kufika Ulaya, kila kitu nakiona kwenye TV na mitandao ya kijamii.
Katika kufuatilia kwangu kuna utofauti nimeuona kati ya Urusi na nchi nyingine za Ulaya. Wakati...
Yale yaliyotabiriwa awali na wachambuzi mahiri wa vita kati ya Hamas na jeshi la Isael sasa ndio yanakaribia kuwa kweli.
Msemaji wa jeshi lsrael kwa mdomo wake wakati wa mahojiano na kipindi cha...
Vyanzo vya habari kutokea Syria na Lebanon: Utawala wa Syria ulitibua jaribio la jana katika eneo la Homs la kusafirisha shehena ya roketi zilizotengenezwa na Iran hadi katika ardhi ya Lebanon...
Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran, Hossein Salami:
Anasema Ana’s humurukwa maelfu ya hati walizozipata kuhusu vituo vya nyuklia vya Israeli, mashambulizi yetu sasa yatakuwa sahihi zaidi...
Msemaji wa IDF kwa Kiarabu anatoa amri ya kuhama au kuondoka kabisa karibu na bandari tatu zinazomilikiwa na magaidi hao wa Houthi.
Amri hii imetolewa baada ya mashambulizi yasiyofanikiwa ya...
Mnamo mwaka 2016, nchini Iraq, kijana Ayham Hussein alikamatwa na wanajihadi alipokuwa akisikiliza muziki wa Kimagharibi katika duka la baba yake.
Alifikishwa katika mahakama ya Sharia ambayo...
Kufuatia IDF kumuangamiza Mohammed Sinwar, Izz al-Din al-Haddad (pichani) amechukua uongozi wa tawi la kijeshi la Hamas.
Israeli sasa hivi inamfatilia kwa nguvu zote ili imewaangamiza...
⚠️BREAKING: IDF ilipata mwili wa kiongozi wa Hamas Mohammed Sinwar kwenye handaki chini ya Hospitali ya Ulaya huko Gaza.
Hamas ilijenga chumba cha kulala chini ya ardhi chini ya hospitali ya...
Televisheni ya taifa ya Iran ilitangaza kuwa chombo cha kijasusi cha Iran kimetoa pigo la kihistoria kwa Israel.
MOIS ilipata maelfu ya hati zinazohusiana na miradi na vifaa vya nyuklia vya...
Kama tujuavyo last weekend Ukraine ilifanya mashambulizi ya kimkakati katika AirBases za Russia na kufanikiwa kuharibu baadhi Ndege vita (Bombers) zake.
Kwanzia jana Usiku Russia imelipiza kisasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.