UINGEREZA imepanga kujega ukuta mrefu utakaogharibu takribani bilioni 4 za kitanzania katika eneo la Calais nchini Ufaransa ili kuzuia wahamiaji kuingia.
==========
The U.K. is planning to build...
Korea ya Kaskazini yarusha makombora matatu angani Kaskazini mwa jimbo la Hwanghae.
==========
North Korea has fired three ballistic missiles into the sea off its east coast, South Korea has...
Uganda has given foreigners operating retail outlets in Kampala a three-month ultimatum to either invest in bigger businesses or return to their home countries.
The decision was reached Monday...
Serikali ya Burkina Faso imepiga maarufu shindano la kila mwaka kwa wanawake wenye makalio makubwa kwa maelezo kuwa shindano hilo halina maadili na linaleta ubaguzi katika jamii.
Tangazo la...
Nchi ya Rwanda imeingia makubaliano na kampuni ya Kireno kujenga uwanja wa ndege wa Bugesera utakaokuwa na thamani ya trilioni 1.7 mpaka kukamilika.
Uwanja huo ukikamilika utakuwa ndio uwanja...
I knew it was not because of marking errors, a miracle or new teachers. Since Magufuli came to power, civil servants know they must deliver. Seven of the bottom performing schools were from...
Rais Islam Karimov, wa Uzbekistan. nchi kutoka kati ya bara la Asia,amefariki dunia kwa ugonjwa wa kiharusi akiwa na umri wa miaka 78.
Alitawala nchi yake kwa mpini wa chuma kwa zaidi ya robo...
Nchini Korea Kaskazini ili uweze kumiliki computer unahitaji kibali cha polisi na hivyo basi unatakiwa kuandika maelezo ya ni kwa nini uruhusiwe kumiliki computer. Vipi hapa Tanzania?
Huduma ya...
Check out @realDonaldTrump's Tweet:
Sasa hivi mambo yanaanza kubadilika taratibu baada ya Russia kutoa email zilizoonyeasha Hillary alipendelewa dhidi ya Ben Sander
Sasa mambo yamebadilika...
Burkina Faso ni taifa linalopatikana Afrika magharibi na linakaliwa na wakazi wapatao 17.27 milioni (sensa report of 2014). Na limepakana na nchi ya Niger kwa kaskazini, Mali kwa...
Waziri wa Haki wa Gabon, Seraphim Moundounga ajiuzulu kufuatia utata wa matokeo ya uchaguzi wa urais nchini humo.
=========
Gabon's justice minister resigned Monday over the government's refusal...
Spanish firefighters are battling a huge forest blaze on the Costa Blanca that has forced the evacuation of thousands of people including tourists.
More than 300 firefighters have been deployed to...
Nchi ya Japan ambayo inaongoza kwa kuwa na vitega uchumi nchini Uingereza mapema leo, imetoa taarifa yake ya onyo kwamba ikiwa mazungumzo ya Brexit kati ya Uingereza na Jumuiya ya Ulaya EU...
Mama Teresa ambae amefanya kazi yake kwa wahindi maskini ametawazwa kuwa mtakatifu na Papa Franscis kwenye tafrija iliyofanyika Vatican. Papa amesema Mtakatifu Teresa amewalinda wanaoumwa...
Baada ya uzinduzi wa safari ya teksi kupitia mtandao wa Uber, sasa kampuni ya Uber, imedokeza kuanzisha njia ya usafiri kupitia ndege maarufu Uber Chopper nchini Kenya.
Kampuni hiyo inalenga...
Kundi moja la wanachama wa ANC nchini Afrika Kusini linapinga uongozi dhidi ya Jacob Zuma.
Wanayaita maandamano hayo #OccupyLuthuliHouse,wakitaja makao makuu ya chama hicho mjini Johannesburg,mji...
Drones zitarahisisha sana mambo,imagine ulimwengu wa drones,kupishana tu juu angani kupelekea mteja bidhaa au kitu.
=========
Domino's delivers pizza by drone in New Zealand
See Domino's...
Mahakama ya kikatiba nchini Zambia imetupilia mbali kesi ya mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha United Party for National Development Hakainde Hichilema na mgombea mwenza Geofrey Bwalya...
Watu 18 wanahofiwa kujeruhiwa baada ya eneo la maegesho ya magari kuporomoko katika mji wa Tel Aviv, Israel
=========
TEL AVIV, Israel – A building collapsed in a Tel Aviv construction zone on...
Polisi katika mji wa Sao Paulo watumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga kuundolewa Rais Rousseff.
==========
Police used tear gas on Sunday to disperse thousands of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.