International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Jumapili njema WanaJF, Kwa waumini wa Kanisa Katoliki, kama mimi, huzingatia kwa umakini 'neno' la Papa. Kasema haya, nanukuu: " HATUTACHOKA KURUDIA KUWA JINA LA MUNGU HALIWEZI KUTUMIKA...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Gavana wa jimbo la North Carolina ametangaza hali ya hatari katika mji wa Charlotte, wakati ghasia zinaendelea kufuatia polisi kumuua mwanamume mweusi. Ghasia zilizuka kwa usiku wa pili baada ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika pita pita yangu, nimekutana na hii wanaJF, inatia hamasa kwa nchi kama yetu yenye kila aina ya resources kuendeleza nchi na watu wako. Bofya hapa chini ni dakika 10 tu, SOUTH KOREA...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Mtuhumiwa wa tukio la kuwapiga risasi watu watano kwenye maduka mjini Washngton akamatwa baada ya msako mkali wa masaa 24. Polisi wamesema Arcan Cetin alijulikana kwenye tukio hilo baada ya gari...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Raia wa USA walizoea kuangalia tu kwenye TV jinsi Jeshi lao linavyosurubu raia wa nchi nyingine oversees, sasa kama wenyewe wasemavyo chickens coming home to roost, baada ya raia wa USA aliyetokea...
2 Reactions
118 Replies
9K Views
Mahakama ya Gabon 'yahalalisha' ushindi wa Bongo Mahakama ya Katiba ya Gabon imeuthibitisha ushindi wa Rais Ali Bongo, ikitupilia mbali hoja ya mpinzani wake, Jean Ping, kwamba kiongozi huyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais wa Zimbabwe akihutubia Mkutano kwa wajumbe wa UN Jana ameziomba nchi za Marekani,Uingereza na marafiki zao kwa ujumla kuondoa vikwazo vya kiuchumi na fedha kwa Wazimbabwe wanaoumia kila...
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Polisi wamelinasa gari la aina yake linaloshukiwa lilitumika kurusha dawa za kulevya kutoka upande mmoja wa mpakani hadi mwingine, kati ya Arizona na Mexico. Kutokana na uimarishaji wa msako...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Kombora lililofyatuliwa na wanamgambo wa Islamic State dhidi ya kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq lilikuwa na kemikali, jeshi la Marekani limethibitisha. Hakuna aliyejeruhiwa katika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Marekani yaomba msamaha kwa rais wa Syria kutokana na mauaji ya askari wa Syria waliouwawa na mashambulizi ya ndege zinazoongozwa na washirika wa Marekani. =========================== Meanwhile...
0 Reactions
0 Replies
998 Views
'Don't shoot!' wife tells Charlotte police in video - 'Don't shoot!' wife tells Charlotte police in video - BBC News
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Marekani imesema ndege za kivita za Urusi zilihusika kushambulia msafara wa misaada nchini Syria siku ya Jumatatu na kusababisha vifo. Maafisa wa Marekani wameiambia BBC ndege mbili za...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ted Cruz endorsed Donald Trump for the presidency Friday afternoon, a stunning turn of events after a contentious primary filled with nasty personal attacks and a dramatic snub at the Republican...
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Mgombea uraisi wa Marekani wa chama cha Republican bwana Donald Trump sasa amekiri kwamba anakubali raisi Barack Obama ni raia halali wa kuzaliwa wa Marekani. Cheti halisi cha kuzaliwa cha raisi...
4 Reactions
54 Replies
8K Views
Boti iliyokuwa imebeba wahamiaji haramu wapatao 600 imezama katika pwani ya Misri na kupelekea kwa uchache watu 29 kufariki dunia. Ripoti zinasema kuwa, boti hiyo ilikuwa imewabeba abiria...
0 Reactions
7 Replies
914 Views
Maafisa waandamizi wa Misri wamesema jumla ya miili 148 itolewa katika maji katika Pwani ya nchi hiyo, ikiwa ni siku chache baada ya mamia ya wahamiaji kuwa safarini kuelekea Ulaya. ========...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Philippines President to extend violent war on drugs for six more months Philippine President Rodrigo Duterte has said his country's drug problem was far worse than he anticipated when taking...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Naomba kujua historia ya aliyekuwa Rais wa Ghana Jerry Rawlings.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wimbi la askari wa marekani kuwaua wamarekani weusi bado linaendelea ambapo askari mmoja wa kike mweupe kamuua mtu mmoja mweusi ambae hakua na silaha. Binafsi naona sehemu kubwa ya weusi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
illary Clinton aongoza kura za maoni Hillary Clinton WASHINGTON, Marekani KURA za maoni za taifa za urais Marekani zimekuja na habari njema kwa kambi ya mgombea urais wa Chama cha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…