International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Putin amewaweka wamarekani pabaya mno .wikileak huko kumekucha ,Wikipedia ya clintons hacked ,na ameshaanza kuweka majeshi Cuba .FBI wanasema machine za kura zinaonyesha dalili ya kuchezewa.Trump...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Raia wa Thailand wameanza kuomboleza kufuatia kifo cha Mfalme Bhumibol Adulyadej, ambaye alikuwa nguzo ya uthabiti wa kisiasa nchini humo wakati wa utawala wake uliodumu miaka 70. Mfalme...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mexico inapanga kumkabidhi mlanguzi hatari wa mihadarati Joaquin "El Chapo" Guzman kwa maafisa wa Marekani mwezi Februari, kwa mujibu wa afisa mmoja mkuu nchini Mexico Hata hivyo, Guzman anaweza...
0 Reactions
1 Replies
868 Views
My favourite line quote Putin alipoongea na waandishi wa habari. ''But we know that technologies advance, we een know in which year the Americans will accomplish a new missile, which will be...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwangu mimi D.Trump ni bonge la Inspiration, sijawahi kuona mtu strong-willed kama D.Trump, ukichukulia yote yanayomkumba Trump ni binadamu wachache sana wanaoweza kuhimili hiyo Stress Test na...
19 Reactions
48 Replies
5K Views
By Clement Uwiringiyimana | KIGALI Nearly 200 nations have agreed a legally binding deal to cut back on greenhouse gases used in refrigerators and air conditioners, a major move against climate...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Wakati Rais Barrack Obama alipochaguliwa kuwa kiongozi wa Marekani mwaka 2008 alikuja kauli Mbiu Change We Can Believe In. Rais Obama anaondoka madarakani akiacha dunia hii si salama na kama kuna...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Serikali ya Nigeria imetoa agizo kuwa wanawake wanaovaa suruali za kubana wachapwe viboko hadharani ili kufanya jamii iwe na adabu kabisa. Je, unauonaje uamuzi huu?-Voice of Zigua
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema kuwa watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kiislamu wamewaua wanajeshi 12 wakati wa shambulizi katika kuzuizi cha jeshi eneo la rasi ya Sinai. Wanajeshi 8...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amejibu onyo kutoka kwa mkewe ambaye alikuwa ametahadharisha kwamba hatamuunga mkono uchaguzi mkuu ujao iwapo hatafanya mabadiliko serikali. Bi Aisha, kwenye...
2 Reactions
2 Replies
984 Views
Ni ajabu na kweli ati Rais wa nchi anapotea vipi na kwa nini apotee? Au amejiteka mwenyewe? Maana toka atoke kwenye kikao marekani yapata mwezi sasa wamalawi hawamwoni rais wao
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mke wa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari, ameonya kuwa huenda asimuunge mkono mumewe kwenye uchaguzi mkuu ujao iwapo kiongozi huyo hatafanya mabadiliko kwenye serikali yake. Kwenye mahojiano na...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Barack Obama Rais wa marekani kupitia chama cha Democratic amesema Jana kuwa Trump ni mbaguzi wa hali ya juu na hawezi kuwa Rais wa taifa kubwa kama marekani . Amesema video iliyovuja na...
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Maafisa kumi waliokuwa wakihusika na ulipuaji wa bomu la nyuklia kwa amri ya rais wasaini barua ya kupinga Trump kukabidhiwa jukumu la ulipuaji wa nyuklia endapo atashinda na kuwa Rais wa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Rwanda’s liberation struggle initiated by the Rwanda Patriotic Front (RPF) on October 1, 1990 was an occasion for a series of commitments of French alongside HABYARIMANA’s regime that they would...
0 Reactions
3 Replies
945 Views
News broke that some people in the ruling Democratic Progressive Party (DPP) plan to bump Vice President Saulos Chilima off so that a favourite of theirs can take over power in the event of...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samuel Mugarula, Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda amevumbua njia ya kutengeneza mabomu ya kutoa machozi (Tear Gas) ambayo hutumika na vikosi vya polisi mara nyingi kuzima...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Je uamuzi uliochukuliwa na hilo shirika la Umoja wa Mataifa ni sawa? The proposal "strongly condemns the Israeli escalating aggressions and illegal measures against the Waqf Department and its...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…