International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Adui namba moja wa uchumi wa Marekana ni Ulaya iliyoungana na sarafu ya euro. Marekani inakasirishwa na upanuzi wa umoja wa ulaya kuelekea Mashariki. Upanuzi huu wa ulaya unaibana Marekani kwa...
13 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanakumbi. Kundi la Hamas limewaua wanajeshi kadhaa wa Israel huko Gaza na kuripotiwa kuwakamata wengine 4. Hata hivyo Israel imedai kuwa ni mwanajeshi mmoja tu aliyeuawa na wengine 11 wako...
11 Reactions
198 Replies
5K Views
Hawa Wairani kuwaelewa ni ngumu, baadhi ya viongozi waliodaiwa Kuuliwa na Israel wameonekana kwenye sherehe za kusherehekea ushindi huko Tehran. Miongoni mwao ni mkuu wa jeshi la mapinduzi ya...
21 Reactions
79 Replies
5K Views
IDF ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Houthis nchini Yemen. Walilenga idadi kubwa ya viongozi wa Houthi ambao walikuwa wamekusanyika pamoja kutazama hotuba ya mkuu wa Houthi Al-Malak...
4 Reactions
60 Replies
3K Views
Mwanamke mmoja ameuawa kwa kuchomwa moto na kundi la watu katika jimbo la Niger Kaskazini mwa Nigeria baada ya kutuhumiwa kumkufuru Mtume Muhammad (S.A.W). Polisi walilaani mauaji ya mwanamke...
6 Reactions
216 Replies
7K Views
Jamuhuri ya Demokrasia Congo imethibitisha mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola kusini mwa mji wa Kasai ambapo hadi sasa kuna wagonjwa 28 wanaoshukiwa kuambukizwa na idadi ya vifo 15. Wizara ya Afya...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Waziri wa zamani wa sheria Jamuhuri ya kidemokrasia Congo, Constant Mutamba, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu cha kazi ngumu kwa kosa la kufuja dola milioni 19 zilizotengwa kwa ujenzi wa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mytake:Sasa wavaa vipedo, misuli na makobazi wanapigwa kotekote,ardhini,majini na angani. ..... The IDF revealed a shift in Gaza warfare: suicide drones now kill most Hamas terrorists. The...
2 Reactions
9 Replies
934 Views
Leo mjini Lusaka, Zambia kumekuwa na gumzo la aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Mh Joe Malanji kupatikana na hatia za ufisadi mkubwa wakati wa utawala wa hayati Edgar Lungu. Kahukumiwa miaka minne...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF), Brigedia Jenerali Effie Defrin, amesema katika mkutano na waandishi wa habari kuwa Jeshi la Anga la Israel leo limeishambulia kituo cha nyuklia cha Iran...
2 Reactions
14 Replies
991 Views
Putin amesema Russia haina mpango wa kuwaondoa mamia ya wanasayansi wake wanaofanya kazi katika vinu vya nyuklia nchini Iran. Itakuwaje sasa, eeeeh...
5 Reactions
58 Replies
3K Views
Hatimaye makabiliano ya kuviziana kati ya Israel na Irani yameisitishwa huku Israel na Marekani wakifikia malengo Yao ya kuidhoofisha Irani na kuipokonya mradi wake wa nuklia, Irani kwa miaka...
7 Reactions
90 Replies
3K Views
Rais wa Marekani Donald Trump hii leo anatarajiwa kutia saini amri itakayobadili jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo kuwa wizara ya vita, jina ambalo lilitumika wakati Marekani iliposhinda vita...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Sera zisizotabirika za Rais Trump zinawafanya baadhi ya viongozi wa mataifa duniani kuzidi kushikamana! Ila kidogo kidogo hawa Wachina wanakuja juu sana kiteknolojia, hususan kwenye vifaa vya...
26 Reactions
90 Replies
5K Views
Huko Viterbo, Italia, polisi waliwakamata wahamiaji wawili wa Kituruki waliokuwa na bunduki, bastola, na risasi nyingi waliokuwa tayari kufyatulia umati wa Wakatoliki 40,000 waliokusanyika kwa...
2 Reactions
11 Replies
675 Views
ERDOGAN, Rais wa Uturuki amenukuliwa akisema hakuna namna zaidi ya kuingia vita kamili na israel ili kulinda utu. Maneno hayo yametamkwa Uturuki ikijiandaa kutuma wanajeshi tajriban laki moja...
5 Reactions
122 Replies
5K Views
Hii ni kupitia teknolojia yake ya NEURALINK.
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Benjamin Netanyahu anazidi kuchanganyikiwa na kuwa kama mwendawazimu huku akiwatukana viongozi wenzake wa nchi za nje kwamba ni madhaifu sana. Matusi hayo amekuwa akiyatoa bila kuzuizi jambo...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu Hivi mmepita huko X hivi karibuni Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi. Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na...
7 Reactions
103 Replies
10K Views
Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu: Kwa bahati mbaya, hii inazungushwa zaidi na magaidi wa Hamas ambayo hawana jipya. Vita vinaweza kumalizika mara moja kwa masharti yaliyowekwa na Baraza la...
2 Reactions
14 Replies
682 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…