International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni...
17 Reactions
73 Replies
4K Views
Uchumi wa Argentina umezidi kufanya vibaya chini ya utawala wa Rais Javier na kuwa katika hatihati ya kuanguka kutokana na utawala mbovu wa Rais huyo hali inayopelekea Marekani kuandaa kitita cha...
3 Reactions
10 Replies
614 Views
Katika hali ya kufedhehesha mamia ya wajumbe kwenye mkutano wa umoja wa mataifa wamesusia kumsikilizia Netanyahu mara baada ya kupanda jukwaani , Hivi karibuni kumekuwa na Matukio ya raia wengi...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Shirika la habari la BBC imeeleza kuwa kiongozi wa mtandao wa biashara ya ngono uliokuwa ukiwadhalilisha wanawake katika mitaa ya kifahari ya Dubai amekamatwa na mamlaka za Umoja wa Falme za...
2 Reactions
4 Replies
440 Views
Hayo sio maneno yangu bali ni reaction za media across the world; Ingawa fikra zangu ni kwamba kama huu ndio muendelezo na huyu ndio Mwenyeji bora si wabadilishe sehemu za kukutana au kutumia...
2 Reactions
7 Replies
350 Views
Jasusi wa Kizayuni akijifanya mpiganaji wa ISIS na Imamu akamatwa Libya Gazeti la Kihispania limefichua kuwa vikosi vya Libya vimekamata imamu wa msikiti kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa ajili...
6 Reactions
19 Replies
479 Views
Video ya kamera za ulinzi imeonyesha tukio la wizi wa kutumia silaha katika duka la vito la Heller Jewelers mjini San Ramon, California, Septemba 22, 2025 mida ya mchana. Polisi wamesema wahusika...
1 Reactions
8 Replies
463 Views
D.Trump kasema kwamba ilhan abdulahi omar ambaye alizaliwa nchini somalia na leo hii ni rep au Mbunge huko Minesota, aliolewa na kaka yake mzazi ili apate uraia wa USA, mambo yameanza kuiva huko...
4 Reactions
120 Replies
4K Views
Iran imeanza maandalizi ya kushambuliwa na Israel baada ya vyanzo vyake kudhibitisha kuwa wakati wowote wanaweza kushambuliwa na Israel. Juhudi mbalimbali zimefanya katika jeshi lake ili kuwaweka...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Mara kadhaa kwenye hili jukwaa na la tech nimekuwa na mijadala na watu wa Pro-Americanism. Huwa nawaambia Marekani ina uhaba wa skilled personnel hasa katika kutengeneza bidhaa ambazo ni complex...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Amnesty International imetoa wito wa kuachiliwa mara moja kwa wafuasi 36 wa chama cha upinzani cha Movement for the Renaissance of Cameroon (MRC) waliokaa gerezani kwa miaka mitano kwa kushiriki...
1 Reactions
6 Replies
374 Views
Jaji anayechunguza madai ya wizi wa fedha dhidi ya mke wa Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, Begona Gomez, ameagiza afikishwe mahakamani kusikilizwa kesi, kwa mujibu wa hati ya mahakama...
1 Reactions
5 Replies
371 Views
Septemba 18, 2025 mji mkuu wa Guinea, Conakry, ulijaa shughuli za kampeni huku wananchi wakijiandaa kupiga kura ya marekebisho ya katiba ambayo inaweza kumruhusu kiongozi wa mapinduzi Col. Mamadi...
1 Reactions
6 Replies
478 Views
Video hii inaonyesha Muonekano wa Mji wa Gaza July 2023 kabla ya Mashambulizi ya Jeshi la Israel kwenye Mji huo Septemba 1, 2025. -------------------- As Israeli bombardment intensified...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Serikali nchini Madagascar imepiga marufuku ya kutoka nje usiku kufuatia maandamano yaliyoendelea nchini humo ambapo polisi wamelazimika kutumia risasi za mpira na gesi ya kutowa machozi kutawanya...
2 Reactions
0 Replies
265 Views
Jeshi la anga la Israel likishirikiana na wanamaji jioni hii wameamua kwenda kuwasalimia wahouth huko Yemen, lengo lao kubwa ni kumuona kiongozi wao Mkuu Abd al-Malik al-Houthi. Taarifa Kamili...
1 Reactions
6 Replies
451 Views
Akili Mnemba (Artificial Intelligence au AI) hutumia kompyuta kufanya kazi ambazo kwa kawaida zingehitaji akili ya binadamu. Siku hizi AI inatumika katika maisha ya kila siku, mfano wasaidizi wa...
1 Reactions
2 Replies
323 Views
Akielekea New york City, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anasema atatumia hotuba ya United Nations General Assembly (UNGA) kuwashutumu viongozi wa dunia wanaoitambua Palestina Waziri Mkuu...
1 Reactions
6 Replies
442 Views
Rais wa Malawi, ambaye pia ni mwenyekiti wa SADC, Lazarus Chakwera ametoa wito kwa wananchi wa visiwa vya Shelisheli kujitokeza kupiga kura ili kushiriki mchakato wa maendeleo katika nchi yao...
1 Reactions
3 Replies
211 Views
Spika wa Bunge la Taifa la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Vital Kamerhe amejiuzulu muda mfupi kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni iliyolenga kumwondoa madarakani. Akitangaza hatua hiyo...
1 Reactions
3 Replies
323 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…